Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 11,375
- 23,355
πππππβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈ
Asante sana Sanaπ₯°
Asante sana Sanaπ₯°
Nakupenda sana sana sana sanaHappy mothers day my mom ππΉππ.
Mungu aendelee kukutunguza kipenzi asante kwa ukarimu wako na upendo wako
Uendelee kuwatunza wadogo zangu vizuri πβΊοΈπ€π€π€
I love you mummy πππ
View attachment 2988569
Kitambo sanaMorning sisssπ₯°π₯°π₯°π₯°π₯°!
Hahaha hilo jina Antonia Long Time kitamboooo
Kichwa kama kichwaa πππππ!
Mimi pia nimewasha VPN ndiyo inasaidia kuweza kuperuzi humu, japo speed yake sio nzuri kivile πInternet leo ipo vibaya nilidhani ni kwenye simu tu, hadi hizi home internet na penyewe hali ni mbaya, nimeingia jf sioni page ikabidi niwashe VPN.
Hapa nadhani natembea na 30Kbps kama sio 100Kbps.
BBC wanasema EA yote kuanzia Rwanda, Tz, Ke, UG hakuna internet, ina maana hawa wote itakuwa wanatumia access point moja, i think so...Mimi pia nimewasha VPN ndiyo inasaidia kuweza kuperuzi humu, japo speed yake sio nzuri kivile π
Kenya si nilisoma humu wameanza kutumia internet ya StarLink ya Bwana Elon Musk?BBC wanasema EA yote kuanzia Rwanda, Tz, Ke, UG hakuna internet, ina maana hawa wote itakuwa wanatumia access point moja, i think so...
Ndio mkuu, lakini kile ki dish cha star link wanavyo baadhi.Kenya si nilisoma humu wameanza kutumia internet ya StarLink ya Bwana Elon Musk?
Kama EA yote imekumbwa na hili tatizo basi tujitafakali, we need to think out of the box regarding huduma za Internet
Me nafikiri Serikali ingeridhia huyo StarLink aanze kazi Tanzania, kutakapokuwa na scramble for the market huenda gharama za vifurushi/Data zikapungua pamoja na kuongezeka Kwa Kasi ya InternetNdio mkuu, lakini kile ki dish cha star link wanavyo baadhi.
Ni kweli inahitajika back up.
Mkuu hilo ni jambo lisilowezekana.Me nafikiri Serikali ingeridhia huyo StarLink aanze kazi Tanzania, kutakapokuwa na scramble for the market huenda gharama za vifurushi/Data zikapungua pamoja na kuongezeka Kwa Kasi ya Internet
Wiki iliyopita nilinunua Vocha ya 5,000 Kwa gharama ya shilingi 5,500 hii inaonesha bei ya Vocha pia zikapanda Mwaka mpya wa fedha 2024/25 π
Hayo mambo yanatugharimu kama Taifa, na Hawa Viongozi mbaya zaidi kwenye Mali na Madeni yao kupitia Viapo vyao kwenye time ya maadili ya Viongozi wa Umma huwa hawazitaji hizo Mali zao.Mkuu hilo ni jambo lisilowezekana.
Starlink itaua biashara nyingi za hawa wezi.
Issue hapa ni kulindana, wakubwa wengi wana hisa kubwa kwenye hizi Internet service provider companies.
Kwa kasi ya starlink na bei yake ilivyo chini itapelekea sells kwa hizi local companies kupoteza uelekeo.
Starkink inaweza connect devices 120 na speed ikawa stable.
Issue hapa si kuwatatulia wananchi matatizo issue hapa ni kulinda biashara za watu binafsi na vigogo.
Sahihi sana mkuu.Hayo mambo yanatugharimu kama Taifa, na Hawa Viongozi mbaya zaidi kwenye Mali na Madeni yao kupitia Viapo vyao kwenye time ya maadili ya Viongozi wa Umma huwa hawazitaji hizo Mali zao.
Ukishakuwa na Viongozi Wafanyabiashara hakuna unafuu unapatikana Kwa Wananchi, maana wao muda wote wanawaza kutuibia tu π
Kabisa Mkuu, na bahati mbaya system inawalea ndiyo maana wameendelea kuwapachika watoto zao kwenye uongozi kuanzia Chamani hadi Serikalini...Sahihi sana mkuu.
Na nini tena myHebu mtupumzishe ππ
Tutajinyonga
Mbully basi mwananguKwa sisi watetezi wa haki za watoto. Umekosea kuweka picha ya mtoto bila udhini yake mtandaoni. Inaweza kutumika vibaya kumbully huyu mtoto