Tinokwalutoma
Member
- Aug 26, 2015
- 11
- 0
join instructions znatoká lini
vipi jamani kuhusu wale wa community health[/QUoe
pengine wiki hii wataachia, kwani profile yako inasomekaje?
wadau vp msharipoti vyuoni coz kuna vyuo jana tar 5 ilitakiwa mripoti..mim niliambiwa niripoti chuoni tar 5 ila mpk leo hii bado sijaenda nataraji kuripoti kesho morning
vp mkuu kuhusu bei za vifaa zikoje?
Kozi gani mkuu, njoo usome... Ni chuo bora kabisa Hapa Tz....
vp ustadh na hii koz ya dental kwa level ya diploma, maslahi yake yakoje (wages)?
kwa ngazi ya diploma nurse,medical lab officer,clinical officer,lab technician,denta wote tunalipwa sawa mkuu
Jamani anayekifahamu chuo cha St Agrey cha Mbeya hasa ada yake anijuze kwa diploma ya clinical medicine
Karibun sana, kuna mtu wa St. Bakhita humu....
xamahan naomba uni pm 0719196882
hv kaka zangu medical lab unakua unahusika na nini hospital???
Kupima choo,mkojo na maleria na magonjwa mengine chungu nzima ushindwe wewe 2 MKUU
kwahiyo medical lab ngaz ya diploma ina ajira za fasta na mshahara wake ni sh ngap?