DENICE ADRIAN
Senior Member
- Feb 14, 2014
- 127
- 30
Jaman kuulza si ujinga hivi TCU wakishafunga dirisha lao huchukua muda gani kuja kutoa majina ya waliopata chuo kwa round ya kwanza...mwenye mawazo au uzoefu!
Swali zuli
Hahaaa, SWALI ZURI (Don't break the chain)
Swali zuri sana mdau
swali zuri
Swali zuri
Swali zuri kwa kwel
nasubiria majibu ya hili swali na kama likikosa ommky hauwezi kwepa lawama zanguumeuliza swali nzuri sana mdau ,