huyu bwana anachangia upuuzi ambao hata ccm hawezi kusema.amesifu shule za kata,amelaumu maandamano vyuo vikuu eti ni ya kisiasa na waachane na siasa.sasa huyu haendani na kasi za cdm.amenichefua sana
YawezekanaLabda jimboni kwake kaona shule za kata zina manufaa.
Da... Ananilazimu 2015 nikachukue Lile jimbo...