Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 265
- 240
Yaani hadi Shirika la Posta limewagomea halitaki hii Taasisi iwatafutie wafanyakazi ujue siasa zimetawala.
Toka aondoeke Daudi Xevier yaani hii Taasisi imekuwa ya kisiasa kabisa. Nimefuatilia kwa kina ajira wanapewa hata wale ambao hawakushiriki kabisa kwenye usaili - sababu ni eti ni mtoto wa mkubwa.
Wapo - tena wengi tu. Hebu nenda pale TCRA na hata REA - watoto wa vibosile ambao tulikuwa nao class wakiwa vibone ile mbaya kwa sasa shavu shavu na hata usaili hawakushirki kamwe!
Toka aondoeke Daudi Xevier yaani hii Taasisi imekuwa ya kisiasa kabisa. Nimefuatilia kwa kina ajira wanapewa hata wale ambao hawakushiriki kabisa kwenye usaili - sababu ni eti ni mtoto wa mkubwa.
Wapo - tena wengi tu. Hebu nenda pale TCRA na hata REA - watoto wa vibosile ambao tulikuwa nao class wakiwa vibone ile mbaya kwa sasa shavu shavu na hata usaili hawakushirki kamwe!