Seif Tumekusikia; Sasa jiuzulu na iondoe CUF kwenye SUK!

Nguruvi3, ukitaka utumie akili yako vizuri katika kuangalia mambo na kujenga hoja, basi kwanza jaribu kuondoa chuki kwa hilo jambo husika! Ukijenga hoja zako kwenye misingi ya chuki tu kama ulivyofanya hapo juu, basi unasababisha watu waone the other side of you (Ujinga na upuuzi wako)!

Sasa nianze kuku elimisha kidogo! CDM hawakuwahi kuwa na sera ya serkali 3, hata ukikataa mpaka kesho, sera ya CDM ni majimbo, wakimaanisha nchi nzima (Tannganyika na Zanzibar) kutakuwa na serkali za majimbo na hizo serkali za majimbo zitakuwa chini ya central goverment (serkali kuu), ingawa hawakuweka wazi, kama Zanzibar itakuwa jimbo moja au 2 au 3, lakini haiwi nchi tena!

Hii sera ya serkali 3, imeibuka hivi karibuni, wala sio sera rasmi ya CDM! Bado wapo wahafidhina (kama Nassari) wanaokereketwa na ukabila na umajimbo wanaodai ARUSHA iwe nchi (ijitenge)!

CUF wao sera ya serkali 3 wameona haifai tena kwa mazingira ya sasa, sababu wameshaona kwamba kamwe uwepo wa serkali 3 hautakidhi matarajio na mipango ya Zanzibar katika kujikwamua kiuchumi na kisiasa! Hawaamini juu ya ushirika usio na mkataba na Tanganyika!

Naomba ukajifunze tofauti ya Muungano wa katiba na Muungano wa mkataba! Huu uliopo sasa ni muungano wa katiba! Wanaoudai CUF na Wazanzibar walio wengi ni Muungano wa mkataba!

Wazanzibar hawana hofu ya kuvunjika kwa Muungano, kama wewe unavyoona Tanganyika haifaidiki na muungano,ingawa unang'ang'ania huu muungano (hujawahi kudai kuuvunja muungano), basi wazanzibar ndo kabisa, hawaoni faida hata moja ya kuwepo huu muungano!

Eti wazanzibar wamejaa tele Tanganyika,muungano ukivunjika watarudi kwao! Ebo hoja ya kijinga kabisa! Kwani hao wachina walojaa tele hapo Tangayika, mpaka wengine wanajiuza usiku..achilia mbali wahindi waliofikia mpaka kuwahamisha kwenye nyumba zenu za serkali NHC, jee hao wapo hapo Tanganyika kwa sababu ya Muungano wa Tanganyika na China au Tangyika na India? Hivi wale waZanzibar walojaa tele pale London, Ottawa (Canada), Stockholm (Sweden), Burundi,Oman, USA, name it...jee nchi hizo zimeungana na ZANZIBAR?

Kama mnaardhi ya kuwapa waZANZIBAR bure, kwanini msiwape bure wale watanganyika wenzenu wanaouwana kwa mapanga huko bara kupigania ardhi? Eti bure, bure?! Wazanzibar waliopo hapo Tanganyika ndio wanaofanya nyinyi wafanyakazi wa serkali msiozalisha kitu zaidi ya ufisadi mupate mishahara yenu! Kupitia biashara zao halali, maduka na dalala , hoteli, viwanda,migahawa n.k, wanalipa kodi TRA, nyinyi mnapata mishahara yenu! Ukimuona mZanzibar mshukuru badala ya kuleta kiburi chako cha kipumbavu!

Dhahabu yenu mmehonga kwa wazungu wa Canada, Almasi mmegawa kwa makaburu afrika kusini, mbuga za wanyama mnauza vifaru, tembo na meno yake kwa wachina na waarabu, mlima kilimanjaro unaingiza mapato Kenya nyinyi mnaishia kuuangalia tu,gesi ya songo songo ufisadi mtupu....hakuna mnachopata kutoka katika mali ghafi zenu...maisha yenu yanategemea kodi za Wazanzibar ((Bakhresa et al), wahindi, na wachina! Hamna jeuri ya kuwafukuza waZanzibar, mtakufa njaa! K.koo itageuka sehemu ya wakabaji,wala unga na wauza uchi! Na hilo ndilo mnaloliogopa kuuvunja muungano! Mnaogopa waZanzibar watapata fursa kuendesha biashara kwao....! Lakini nikufahamishe tu, ukivunjika muungano wazanzibar wataishi na kufanya biashara Tanganyika kama wafanyavyo hivi sasa, huko Kenya, China, Msumbiji n.k!

Halafu unasema Zanzibar nje ya muungano itakuwa dhiki sana...we unaelimu ya unajimu (utabiri) kama marehemu Sheikh Yahaya eeh...?! Basi kama hufahamu, Zanzibar ilishawahi kuepo kabla ya Tangayika, tena ilikuwa ni nchi yenye maendeleo kuliko hata baadhi ya nchi za Ulaya na Mashariki ya mbali! Kwa mfano tu katika nchi za E.A Zanzibar ndo nchi ya kwanza kuwa na umeme, wakati huo Tangyika haipo (inaitwa mzizima)! Imeanza kuwa na TV ya rangi kabla ya hata Israel!, achilia mbali Tangyika iloanza kuona TV 1990!

Tayari au niendelee...
Waelimishe hao vichogo,bishara zao huku z'br ni sumu ya panya,mende,kunguni,viroboto,ukahaba,madanguro,ujambazi,watuache tupumueeee!
 
..muungano wa mkataba hukuTanganyika na Zanzibar zikiwa wanachama pekee utaendelea kutunyonya tu wa-Tanganyika.

..nyinyi lianzisheni tu kuvunja mkataba kuliko kuja na hoja ya kinafiki na kinyonyaji ya muungano wa mkataba.
Bro, kama tunasema Muungano wa mkataba nao utaendelea kutunyonya iweje sasa tutegemee Zanzibar hiyo hiyo ndio iwe na incentive ya "kulianzisha kuvunja" Muungano?
Watanganyika tunakwepa juhukumu letu la kutetea national interests tunasema Wazanzibar ndio "walianzishe."

Tulipokuwa tunacheza mpira uswahilini halafu tunaona tunaonewa, rafu zimezidi, refa haoni, mkimwambia mwenzenu "we lianzishe" maana yake tunatafuta chanzo tu, lakini likiwaka wote tunam join, sio kumuachia peke yake. Wenzetu Wazanzibar wakilianzisha against the government (Uamsho kwa mfano) sisi Watanganyika tumekaa tu, tunasema tunanyonywa tumekaa tu!
 
Unajua watu wa aina yako mnajulikana duniani kote kwamba hamna kazi za kufanya na mnapenda kupoteza muda kwa ajili ya malumbano. Hobby yenu ni kurushiana maneno hadi mnaanza kuua. As for me, sitakuwa sehemu ya tabia hiyo. Wala usinilazimishe. Naifahamu psychology yako. Kindly leave me alone!

Isitoshe, am not interested with your communication traits. Pili niliandika statement yangu ya kwanza kama comment. Ningependa kumvua nguo huo Seifu ningeanzisha thread maalum kwa ajili hiyo. Usipdned kuwafanya watu wote wawe daraja lako la uelewa na lugha zenu ambazo tangu upate ufahamu ndizo umezikuta katka mazingira yako. Usidhani kuandika kwa ufupi ilikuwa foolishness ndiyo maana watu wenye hekima hawajahoji. Ila wewe kwa kuwa una matatizo ya uelewa, huwezi kuelewa. Na mtu akikuambia kwamba hataki kuendelea na wewe, usije ukaona eti umeshinda. Ni mtu kakudharau kwamba kuendelea kusema nawewe mwisho wa siku ataonekana mwehu kama wewe. Please leave me alone am not your type! PERIOD
 
Kule Ulaya kuna nchi zimeungana zaidi ya miaka 200 nyuma na hivi sasa wanataka kuitisha kura ya maoni ya kukubali ama kukataa hivyo kwa nini Muungano huu ambao una miaka 48 usijadiliwe?
Wewe kama unasema kuwa na wazo la kuvunja Muungano ni Mawazo ya kishetani sisi Wazanzibari tunasema kuendelelea kubaki katika Muungano huu ni Ushetani na ni Dhambi hata mbele ya Mungu Muumba, na ndio maana katika ukusanyaji wa maoni hata watoto wa miaka 8 bila kusahau wazee wenye miaka zaidi 90 wanajitokeza kutaka Muungano wa Mkataba (Kwa vile mulijifanya Wakoloni tunaamini Mkataba utawashinda njiani) hivyo Muungano utavunjika tuu. Wewe endelea kubaki na akili zako za samaki sisi tunatia nyavu baharini!!
usichukulie ulaya, chukulia tamaa za kibanadamu zipo sehemu zote duniani, ndio maana usa wana congress, wana hse of representative, wana ma governor, ma mayor nk huko kote ni kujaribu kukidhi kiu ya kiubinadamu, hata hizo nchi zilizo jetenga from east block, si kwa ajili ya maendeleo ya nchi zao bali tamaa za kibinadamu, ndio maana utaona georgia raisi wake alikuwa waziri wa mambo ya nje Edward Sharvaraznade? nk nk, na ndio maana visiwa kuna cuf wana nguvu Pemba, na ccm-asp wana nguvu unguja, ukienda comoro kuna mayote, anjoun, na granda comoro kila moja anataka kutawala, matokeo yake ni kutawala kwa zamu, sasa hivi Wapemba tumeweza kuwapa Shein, ndio vp tuka mpa muunguja, lakini kabla ya hapo, muunguja ndio kiongozi wa visiwani na vp Mpemba, na ndio maana leo Maalim Sief kapewa, maana anaendeshwa na kiu a kiubinadamu madaraka.
 
Nguruvi3, ukitaka utumie akili yako vizuri katika kuangalia mambo na kujenga hoja, basi kwanza jaribu kuondoa chuki kwa hilo jambo husika! Ukijenga hoja zako kwenye misingi ya chuki tu kama ulivyofanya hapo juu, basi unasababisha watu waone the other side of you (Ujinga na upuuzi wako)!

Sasa nianze kuku elimisha kidogo! CDM hawakuwahi kuwa na sera ya serkali 3, hata ukikataa mpaka kesho, sera ya CDM ni majimbo, wakimaanisha nchi nzima (Tannganyika na Zanzibar) kutakuwa na serkali za majimbo na hizo serkali za majimbo zitakuwa chini ya central goverment (serkali kuu), ingawa hawakuweka wazi, kama Zanzibar itakuwa jimbo moja au 2 au 3, lakini haiwi nchi tena!

Hii sera ya serkali 3, imeibuka hivi karibuni, wala sio sera rasmi ya CDM! Bado wapo wahafidhina (kama Nassari) wanaokereketwa na ukabila na umajimbo wanaodai ARUSHA iwe nchi (ijitenge)!

CUF wao sera ya serkali 3 wameona haifai tena kwa mazingira ya sasa, sababu wameshaona kwamba kamwe uwepo wa serkali 3 hautakidhi matarajio na mipango ya Zanzibar katika kujikwamua kiuchumi na kisiasa! Hawaamini juu ya ushirika usio na mkataba na Tanganyika!

Naomba ukajifunze tofauti ya Muungano wa katiba na Muungano wa mkataba! Huu uliopo sasa ni muungano wa katiba! Wanaoudai CUF na Wazanzibar walio wengi ni Muungano wa mkataba!

Wazanzibar hawana hofu ya kuvunjika kwa Muungano, kama wewe unavyoona Tanganyika haifaidiki na muungano,ingawa unang'ang'ania huu muungano (hujawahi kudai kuuvunja muungano), basi wazanzibar ndo kabisa, hawaoni faida hata moja ya kuwepo huu muungano!

Eti wazanzibar wamejaa tele Tanganyika,muungano ukivunjika watarudi kwao! Ebo hoja ya kijinga kabisa! Kwani hao wachina walojaa tele hapo Tangayika, mpaka wengine wanajiuza usiku..achilia mbali wahindi waliofikia mpaka kuwahamisha kwenye nyumba zenu za serkali NHC, jee hao wapo hapo Tanganyika kwa sababu ya Muungano wa Tanganyika na China au Tangyika na India? Hivi wale waZanzibar walojaa tele pale London, Ottawa (Canada), Stockholm (Sweden), Burundi,Oman, USA, name it...jee nchi hizo zimeungana na ZANZIBAR?

Kama mnaardhi ya kuwapa waZANZIBAR bure, kwanini msiwape bure wale watanganyika wenzenu wanaouwana kwa mapanga huko bara kupigania ardhi? Eti bure, bure?! Wazanzibar waliopo hapo Tanganyika ndio wanaofanya nyinyi wafanyakazi wa serkali msiozalisha kitu zaidi ya ufisadi mupate mishahara yenu! Kupitia biashara zao halali, maduka na dalala , hoteli, viwanda,migahawa n.k, wanalipa kodi TRA, nyinyi mnapata mishahara yenu! Ukimuona mZanzibar mshukuru badala ya kuleta kiburi chako cha kipumbavu!

Dhahabu yenu mmehonga kwa wazungu wa Canada, Almasi mmegawa kwa makaburu afrika kusini, mbuga za wanyama mnauza vifaru, tembo na meno yake kwa wachina na waarabu, mlima kilimanjaro unaingiza mapato Kenya nyinyi mnaishia kuuangalia tu,gesi ya songo songo ufisadi mtupu....hakuna mnachopata kutoka katika mali ghafi zenu...maisha yenu yanategemea kodi za Wazanzibar ((Bakhresa et al), wahindi, na wachina! Hamna jeuri ya kuwafukuza waZanzibar, mtakufa njaa! K.koo itageuka sehemu ya wakabaji,wala unga na wauza uchi! Na hilo ndilo mnaloliogopa kuuvunja muungano! Mnaogopa waZanzibar watapata fursa kuendesha biashara kwao....! Lakini nikufahamishe tu, ukivunjika muungano wazanzibar wataishi na kufanya biashara Tanganyika kama wafanyavyo hivi sasa, huko Kenya, China, Msumbiji n.k!

Halafu unasema Zanzibar nje ya muungano itakuwa dhiki sana...we unaelimu ya unajimu (utabiri) kama marehemu Sheikh Yahaya eeh...?! Basi kama hufahamu, Zanzibar ilishawahi kuepo kabla ya Tangayika, tena ilikuwa ni nchi yenye maendeleo kuliko hata baadhi ya nchi za Ulaya na Mashariki ya mbali! Kwa mfano tu katika nchi za E.A Zanzibar ndo nchi ya kwanza kuwa na umeme, wakati huo Tangyika haipo (inaitwa mzizima)! Imeanza kuwa na TV ya rangi kabla ya hata Israel!, achilia mbali Tangyika iloanza kuona TV 1990!

Tayari au niendelee...

kuna point nzuri umeongea hapo juu zinaweza kumtoa mtu ujinga kuhusiana na zanzibar na wazanzibar umeaharibu hapo kwenye TV ya rangi, wayahudi ndo wagunduzi wa tv sasa wewe end user mzee wa kunyonga tasibihi utaweza kuona tv ya rangi kabla ya mvumbuzi? very stupid.
 
Kule Ulaya kuna nchi zimeungana zaidi ya miaka 200 nyuma na hivi sasa wanataka kuitisha kura ya maoni ya kukubali ama kukataa hivyo kwa nini Muungano huu ambao una miaka 48 usijadiliwe?
Wewe kama unasema kuwa na wazo la kuvunja Muungano ni Mawazo ya kishetani sisi Wazanzibari tunasema kuendelelea kubaki katika Muungano huu ni Ushetani na ni Dhambi hata mbele ya Mungu Muumba, na ndio maana katika ukusanyaji wa maoni hata watoto wa miaka 8 bila kusahau wazee wenye miaka zaidi 90 wanajitokeza kutaka Muungano wa Mkataba (Kwa vile mulijifanya Wakoloni tunaamini Mkataba utawashinda njiani) hivyo Muungano utavunjika tuu. Wewe endelea kubaki na akili zako za samaki sisi tunatia nyavu baharini!!
Pole sana mupemba mubichi, nenda unakojua hamna wa kuigawa nchi hii. Usiseme uongo kwa kusema kunamuungano aw Miaka 200,una Miaka ya Hiyo kulikuwa kuna nini? Sema history taratibu hasa ya nje. Eu mnayoiongelea imezaliwa 1957 kw Mara ya kwanza kuiongelea., jaribun kujitenga poa, si hata kisiwa Cha ukerewe rubondo na vinginevyo vingependa? Someni kwanza Kabla hamjaleta maneno ya amani diria Karume. Yeye hoteli zone 52 za kitalii alizotapeli kazifunga nusu, sasa kwa hasira za kushindwa kufanya udikteta unatarajia nini Kama sio kuleta uchechezi?
 
Eti Zanzibar ilipata TV ya rangi mwanzo, huu ndio ushuzi unaohadisiwa Zanzibar kila siku, kwa taarifa yenu nchi ya mwanzo ni Congo Brazzaville ya kwanza, Miaka 6 Kabla ya Znz ya bingwa wa ushuzi kwe kochi... Aka Sultani.
pole watumwa, you miss the master sio?
 
Eti Zanzibar ilipata TV ya rangi mwanzo, huu ndio ushuzi unaohadisiwa Zanzibar kila siku, kwa taarifa yenu nchi ya mwanzo ni Congo Brazzaville ya kwanza, Miaka 6 Kabla ya Znz ya bingwa wa ushuzi kwe kochi... Aka Sultani.
pole watumwa, you miss the master sio?

inaonekana utumwa una raha yake, jamaa wanavyokomaa sultan arudi, ngoja arudi awatie uhanithi hawezi kukubali mzae na binti zake
 
Nimesoma hayo matapishi yako hapo juu sioni point hata moja...zaidi nnachokiona naona mtu wa kijiweni anaongea bila kujuwa anachoongea!

1. WaZanzibar wanakuja Tanganyika bila vibali sababu ya Muungano kama vile waTanganyika wanavyokuja Zanzibar! Sioni anae mbeba mwenzake! Muungano ukivunjika waZanzibar waliopo Tanganyika watafanya kazi na biashara huko Tanganyika kwa vibali, kama vile wale waTanganyika walipo Zanzibar watakavyofanya kazi kwa vibali maalum kutoka Zanzibar!

2.Kuhusu kusema eti Zanzibar inafaidikia kwa soko la Tanganyika kwa sababu wao ni laki 2....sio hoja ya kisomi! Mbona China wanafaidika na soko la Tanzania, kuanzia K.koo mpaka kibororoni bidhaa za mchina zimejaa, Jee wao wameUngana na Tanganyika? Hata muungano usingekuepo, nyinyi kwa wingi wenu (48+ million) mngehitaji bidhaa kutoka Zanzibar, wala tusingewafuata mngekuja wenyewewe! Bila muungano biashara bidhaa zingeingia Tanganyika, kama zinavyoingia za kenya, India, china n.k! Sioni itakachokosa ZANZIBAR!

3.Eti wasomi wa KiZanzibar wa hivi sasa wamesomeshwa na Tanganyika! Huu ni ufedhuli mkubwa! Hakuna chuo kikuu hata kimoja cha Tanganyika, vyuo vikuu vyote ni vya Tanzania (nchi mbili zilizo ungana, Tanganyika na Zanzibar), wasomi hao, akiwemo Seif wamesoma kwa kodi za WaZanzibar wenzao, waliochangi a katika kuvijenga na kuviendeleza vyuo vikuu hivyo! Utakapovunjika muungano tutagawana pasu pasu, tuliungana kama nchi mbili huru (regardless ukubwa wa maeneo), kila ncho nna haki sawa juu ya nchi nyengine.

Zanzibar ilibanwa isijenge vyuo vikuu vyake sababu, pesa yake yakujenga vyuo hivyo ilikuwa inakwenda kwenye kujenga na kuendeleza vyuo vikuu vya Tanzania vilivyoko kwenye ardhi ya Tanganyika (UDSM, UDOM,SUA, MZUMBE etec).

4.Kuhusu Bajeti ya jeshi au elimu ya juu, jibu unalo, hivyo vyote ni vya muungano, Zanzibar inaweka fedha zake kwenye JWTZ na Elimu ya juu kwa Tanzania. Haipati service hizo kutoka kwa Tanganyika, inagharamia service hizo kwa fedha zake. Hivyo wakati unalialia eti Zanzibar haina budget ya jeshi na elimu, ujuwe kwamba na TAANGANYIKA vile vile haina bajeti ya Jeshi, elimu, biashara, mambo ya nje, n.k!Au unieleze ni wapi bunge la Tanganyika linakutana kupanga bajeti za wizara hizo? Lini walipanga bajeti? Tunawabeba hapo hapo kwenye Bunge la MUUNGANO ndipo tunapowapangia bajeti ya viwizara vyenu visivyo vya muungano, lakini hapo hapo kwenyebunge la muungano ndio tunapopanga bajeti za wizara za muugano ikiwemo Jeshi! Muungano ukivunjika mtaanza mwanzo (starting from scratch)!

5.Mna hasara kubwa sana! Uchumi wenu utaanguka balaa, maana kila mnachokiona hivi sasa under the name Tanzania, mtapata nusu yake tu! Yet, wafanyabiashara wa kiZanzibar wengi watarudi ZANZIBAR, na kama mtajaribu uwafukuza (kama alivyofanya Iddi Amin kuwafukuza wahindi), basi zile zama za kula dona la njano itarudi! Mtabaki na ufisadi wenu unaowatafuna!!

katika watu mapunguani ambao wameandika nafikiri we unaongoza,twende kwenye utumbo wa kwanza,hilo la kuja kuishi huku kwa vibali kama vile wakenya wanavyokuja kuishi kwa vibali mi sina tatizo nalo mana kwao si kuna shida zenji nfuu iko bara tu,sisi kitu ambacho hatutaki ni nyie wala ulojo kuja kukaa na kujenga kwetu kwa kisingizi cha muungano ndio hatuwatki huku lkni mkija kama wawekezaji sabab kwenu soko dogo mkaja huku kwa vibali kama wageni wowote wale basi atuna tatizo nanyi mana ardhi yetu itkuwa salama.

utumbo wako wa pili,sasa hapo umbumbumbu wako ndio unajionesha kwa kujiringanisha nyie na china,unasema sisi tutafuata bidhaa znz??sasa najiuliza hivi mbaka leo hii kuna bidhaa gani kila siku inakuja toka znzb??halwa?!?tende?!?ulojo?!?mana vilivobakia vyote bara vip na hamna haja ya kuagiza toka znzb!!sana sana wao ndio kila siku wanachukua bidhaa huku na kuzipeleka kwao na kipindi kile boti zilipozuiliwa kwa ajili ya ukaguzi kutokana na ajali a mv.spice,vitu vilipanda bei znz kuanzia nyanya,nyama,viazi,mchele na kila kitu mana wao hawalimi na hata wakilima haviwatoshelezi mana hawana ardhi ya kuweza kujilisha mwaka mzima,kuhusu china,china inauza bidhaa hadi bara na sisi tunakwenda china kununua bidhaa ni kwa sababu china ina viwanda je znzb inavyo viwanda kutufanya tuje kununua bidhaa huko?!?bidhaa za mchina zimejaa kote tngnka si sababu china wana viwanda na sie tunakwenda kuzinunua,na bidhaa zao hazipo tanzania bara tu bali hata marekani kwenyewe zimejazana,ulaya kote huko,sasa na nyie mnazalisha nini ili tuje tukilete bara au hizo bidhaa tulizokuwa tunakuja kununua kwenu zamani mlikuwa mnazizalisha nyie?sasa ziko wapi au na nyie mlikuwa mnanunua used toka kwa wajanja??

utumbo wa tatu wa vyuo hapa we ndio pauka pakawa kabisa!!unasema znzb ilikatazwa isijenge vyuo vyake??hivi we una akili sawa kweli au ulikuwa mtoto haujazaliwa wakati huo?!?ningependa tu nikujulishe kuwa znz hawakuwa na vyuo sababu baba yenu wa taifa karume alipiga marufuku watu wasisome mwisho ni darasa la saba tu,alikuwa hataki wasomi mana alikuwa anasema wasumbufu mno,alikataa hadi mawakili akisema eti wanawatetea wahalifu wakati wanajua kuwa ni waharifu,hio ndio iliyokua sera ya baba yenu na ndio kina sefu waliyopitia mpaka pale alipokufa ndipo wakapata nafasi a kuja kusoma bara,hivyo kutokuwa na vyuo ilikuwa ni sera ya baba yenu.unasema hela zilikuwa zinatoka znzb kuja kujenga vyuo huku??we ndio mfa maji kwa kweli!!udsm ilijengwa kabla ya muungano,mzumbe ilikuwepo tangu ukoloni sasa wapi na wapi tena,nyie hamkuona umuhimu wa elimu na mkathamini sana elimu ahera mpaka mwinyi na sefu wakawaambia msome na elimu dunia kwa nini hamtaki kukubali ukweli?!?kuhusu kugawana sa sijui tutagawana vipi mtakuja kuvibeba mvihamishie znzbr??kama mnaweza haya fanyeni!!

utumbo wako wako wa nne,znzb ushaambiwa hela ya kuwalipa mawaziri na wajumbe wa baraza la wawakilishi hawana wanapata ruzuku toka bara sasa wtachangiaje tena jwtz??elewa kuwa hela ya kuchangia jeshi inatoka kwenye kodi na znzb haina watu wa kuweza kuwapa capital ya kutosha kugharimia vitu vote hivo,tatizo ni kisiwa kidogo!!kuhusu kuwa tanganika haina jeshi sasa hapo unaleta mzaa!!tanganyika hapo ndio tanzania mana tumebadilisha jina la nchi yetu kuwa tanzania muungano wa maneno ma-2 yaani tanganika na azania!! ndio ikapatikana tanzania!! na hilo jwtz ndio jeshi la tngnka ya zamani sasa tanznia au ulikuwa hujui hilo??kuhusu bunge sisi letu ndio hilo la tanzania nyie tunawaarika tu mule mana si mna bunge lenu kule visiwaani??

utumbo wa tano unasema kuwa mkirudi kwenu uchumi utaanguka!?!wacha kunichekesha wewe embu nenda k'koo halafu uangalie wenye maduka wapo waznz wangapi??wapemba siku hizi wamefilisika kiasi cha kuuza magenge a nyanya!!muungano ukifa lazima tuwarudishe kwenu kwa nguvu hata kama hamtaki kama vile wa s.sudan walivytimuliwa khartoum na kurudishwa kwao.sisi nyie hatuwataki hata mtutishe vipi tushasema kitu cha kwanza muungano ukivunjika ni kuwarudisha kwenu tu muende mkaijenge chakechake,siku hizi waswahili wa bara wanaenda wenyewe china na japan na dubai kuleta vitu huku na si wahindi wala waarabu kama zamani hivo nie jitengeni tu hatutawazuia.
kuhusu sisi kudai muungan kuvunjika,sisi hatutaki kuwa wakwanza kuuvunja muungano nie anzisheni sie tutafuatia muone kazi yetu.
 
Ah hawa hawawezi kutuachia, wanafaidika sana na sisi, lakini wanajifanya hawaoni, wananichekesha hawa, kisha wanajifanya wana confidence! Haya mnatupa ardhi uko bara, sisi tumewapa bahari mtumie mtakavyo, meli zinakuja dar bila ya wasiwasi! Sasa tukijitenga, bahari itakua mtihani kwenu, mana tunaweza kujenga articial islands karibu na katanganyika which will pose a threat! Afu mnapesa zetu nyingi sana nyinyi, kisha hamuna shukrani ata kidogo, bandari ya dar es salaam tumewajengea sisi, yani hamujiweziiiii, mnatuita mdebwedo lakini katika vita mnawaweka wazanzibari mbele, wakishinda mnajisifia nyinyi, ovyooo! Mnaboa kichizi

Naona marashi ya karafuu yameingia kwenye ubongo sasa unatapika. Mmetupa bahari kwani ilikuwa yenu? Ndio maana mnafeli mitihani mnalaumu NECTA. Nani alikwambia bahari ni mali ya wachuma karafuu?

Articial islands ndio nini? Au ulimaanisha artificial islands? Tehe tehe tehe......unafikiri hiyo kazi ni sawa na kulima mwani au kusuka ukiri? Kweli akili nzuri ukiwa nayo. Mawazo ya darasa la ngapi hayo? Mi ningefurahi tu ungenieleza hiyo ndoto ya kujenga articial islands mchanga mnautoa wapi? Au mtatumia mbegu za karafuu?

Tunakuboa eeeh? Kusanya wapemba wenzio Tanga na Buguruni rudisha kwenu mkazae kwa mpango
 
Ah hawa hawawezi kutuachia, wanafaidika sana na sisi, lakini wanajifanya hawaoni, wananichekesha hawa, kisha wanajifanya wana confidence! Haya mnatupa ardhi uko bara, sisi tumewapa bahari mtumie mtakavyo, meli zinakuja dar bila ya wasiwasi! Sasa tukijitenga, bahari itakua mtihani kwenu, mana tunaweza kujenga articial islands karibu na katanganyika which will pose a threat! Afu mnapesa zetu nyingi sana nyinyi, kisha hamuna shukrani ata kidogo, bandari ya dar es salaam tumewajengea sisi, yani hamujiweziiiii, mnatuita mdebwedo lakini katika vita mnawaweka wazanzibari mbele, wakishinda mnajisifia nyinyi, ovyooo! Mnaboa kichizi


vita ipi unayosema, nakumbuka vita ya kagera wazenj wote walikuwa wapishi wakisaidiana na wahaya, kama kuna vita nyingine ambayo mimi sijui ambayo mlitangulizwa mbele ebu saidia mimi kuelewa we binti usi
 
vita ipi unayosema, nakumbuka vita ya kagera wazenj wote walikuwa wapishi wakisaidiana na wahaya, kama kuna vita nyingine ambayo mimi sijui ambayo mlitangulizwa mbele ebu saidia mimi kuelewa we binti usi

Kabisa unapeleka jeshi vitani mbele unatanguliza UKWAJU na UROJO. Atakuwa amelewa huyu. Labda neno VITA kwa kipemba maana yake ni kukaa kwenye meza pale darajani kula tambi jioni
 
Body language yake inasema mengi. UKITAKA KUJUA ZAIDI, MUTE VOLUME NA JIKITE KWENYE BODY LANGUAGE YAKE. Ama kweli Tanzania ina viongozi wa kila aina.
 
Hivi ni nani aliyempa madaraka Seif kwenda kufanya negotiation na serikali ya CCM hata kuingia kwenye maridhiano ambayo yalisababisha serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar?
 
Hivi ni nani aliyempa madaraka Seif kwenda kufanya negotiation na serikali ya CCM hata kuingia kwenye maridhiano ambayo yalisababisha serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar?

Kwani ni nani aliyempa madaraka Amani Karume ya kukubali kufanya negotiation na CUF hata kuingia kwenye maridhiano ambayo yalisababisha serkali ya umoja wa kitaifa Zanzibar? Ukiweza kujibu swali hilo, basi na hilo swali lako jibu liko humo humo!

Lakini kwa kukuelimisha tu, hata iwe kajituma mwenyewe (wamejituma wenyewe), wao wanabaki kama kuwa initiators tu (hilo ndo jukumu la kiongozi), waamuzi walikuwa waZanzibar wenyewe, ambao waliulizwa kupitia kura ya maoni, na kwa kauli moja (64 %) walikubali uwepo wa maridhiano hayo na kuundwa SUK Zanzibar!

By the way sioni mantiki ya swali lako...unajidhalilisha ndugu MM, punguza chuki kwa waZanzibar wanaodai haki ya kuwa huru, hatokusaidia kitu, utaishia kujidharaulisha tu.
 
Bro, kama tunasema Muungano wa mkataba nao utaendelea kutunyonya iweje sasa tutegemee Zanzibar hiyo hiyo ndio iwe na incentive ya "kulianzisha kuvunja" Muungano?
Watanganyika tunakwepa juhukumu letu la kutetea national interests tunasema Wazanzibar ndio "walianzishe."

Tulipokuwa tunacheza mpira uswahilini halafu tunaona tunaonewa, rafu zimezidi, refa haoni, mkimwambia mwenzenu "we lianzishe" maana yake tunatafuta chanzo tu, lakini likiwaka wote tunam join, sio kumuachia peke yake. Wenzetu Wazanzibar wakilianzisha against the government (Uamsho kwa mfano) sisi Watanganyika tumekaa tu, tunasema tunanyonywa tumekaa tu!

Taso,

..safari ni hatua.

..hata wa-ZNZ walikuwa hawaupingi muungano waziwazi kama wanavyofanya sasa hivi.

..wa-Tanganyika tuna kazi kubwa kuelimishana kuhusu UNYONYAJI unaondelea kupitia muungano huu.

..waelimishe wenzake wa karibu kuhusu kinachoendelea.

..tafadhali usikate tamaa.
 
We ndo wale wenye vichwa vya samaki alosema Karume...yaani karne hii 21 unazungumzia Sultani! Ebo! Eti Seif anataka usultani? Hata hueleweki! Unahoji eti kwanini hawasaidii wazanzibar hivi sasa? Atasaidia nini na kwa vipi ikiwa njia zote kuu za kiuchumi zimebanwa na watanganyika kupitia muungano! Hivi hujui kwamba Zanzibar haina uwezo wakufanya mashirikiano na nchi yoyote au jumuiya yoyote ya kimataifa bila kupata kibali cha Tangayika? Hivi hujui kwamba hata rais wa Zanzibar akitaka kwenda nje kutafuta wawekezaji lazima apate kibali cha Membe?

Hili la kudai Zanzibar huru, ni mchango wake mkubwa na wamaana sana katika kwa wazanzibar, kwa hiyo wakati unajiuliza amefanya nini hivi sasa kwa ajili ya wazanzibar, jibu ni hili anawapigania nchi yao ili wapate kujiendesha kiuchumi na kisiasa! Na jee alifanya nini alipokuwa Waziri kiongozi...muulize Nyerere au Mwinyi au wazanzibar wenyewe watakwambia!

Ni wakati wake akiwa waziri kiongozi ndipo ule msemo wa "Zanzibar ni njema atakae aje" ulipoanza! 1984, wakati Tangayika mnagombea unga wa mahindi ya njano....mnapanga foleni kuuziwa sukar kwa idadi ya wanakaya (lakini isizidi kilo 2.5), mnakufa njaa, kule Zanzibar mambo ni shwari, neema tupu, watu wanakula wali kwa ulopikwa kwa samli ya mauwa! Wakati Tanganyika mnavaa nguo za vitambaa vya kaniki na mrekani, kule Zanzibar watu wanavaa nguo za vitambaa vya hariri, satini n.k! Wakati bara mnapanga foleni kupanda UDA, zanzibar watu wanachaguwa gari za abiria zakupanda! Hayo yamefanyika kipindi cha Seif, na kwenye siasa na utawala bora ndo usiseme, ni katika kipindi chake ndipo presidential decree ilipoondolewa na mahakama zilianza kufanya kazi, mwanzo watu wakiwekwa ndani kwa ambri ya rais kwisha! Mfano Akina Kassim Hanga na wenzake! Ni kwakudai kwake fursa zaidi za kiuchumi na kisiasa kwa Zanzibar kulikopelekea kulazimishwa kujivua uongozi, na hatimae kufukuzwa CCM na BABA YENU Nyerere!
Bablii, unaendelea kutuunga mkono hoja zetu. Umesahau kuwa huko nyuma ulishawahi kusema muungano umeidumaza ZNZ. Sasa mwaka 1984 ndani ya muungano ZNZ ilikuwa na neema kama unavyodai! unaona jinsi unavyojichanganya.

Pili, Seif alikuwa kiongozi tena waziri kiongozi na mjumbe wa NEC na CC. Tupe kumbu kumbu wapi na lini aliwahi kusimama na kutetea ZNZ itoke katika muungano.

Tatu, umesahau kuwa wakati Seif anadai serikali 3 hadi wiki mbili zilizokwisha alipogeuka kutaka mkataba ni Seif huyo huyo alimchomea Mzee Jumbe kwa Nyerere akisema anataka kuvunja muungano. Sasa akili kazipata wapi na lini kiasi cha kuamini kuwa si Seif yule msaliti na mroho wa madaraka aliyemtosa na kundahlilisha Mzee Jumbe kwa kuwa hana rangi ya kiarabu.

Mwisho, wakati Tanganyika wanapata dhiki hizo ulizotaja ilikuwaje Wazanzibar nusu yao wakahamia Tanganyika na kuikimbia nchi ya neema?

Kwa taarifa yako, Wazanzibar wanaoishi dunia nzima ukiwachanganya na wale waliobaki ZNZ nusu yao tu inaishi Tanganyika. Kama ZNZ ni njema atakae aje, laki 4 wanafanya nini Tanganyika?

Ujumbe ni kuandaa mabegi kwasababu Seif anataka kuwarudisha kwa Sultan, hiyo ni hiari yenu. Wazanzibar wenye uchungu wa Mapinduzi hawataki kusikia hilo. Kwa bahati mbaya siku ya kubeba mabegi na mifuko ya rambo mzanzibar yoyote hatakuwa salama, usalama wake utakuwa bandari ya Dar es Salaam. Soon it gonna happen, just a matter of time
 
Taso,

..safari ni hatua.

..hata wa-ZNZ walikuwa hawaupingi muungano waziwazi kama wanavyofanya sasa hivi.

..wa-Tanganyika tuna kazi kubwa kuelimishana kuhusu UNYONYAJI unaondelea kupitia muungano huu.

..waelimishe wenzake wa karibu kuhusu kinachoendelea.

..tafadhali usikate tamaa.
Na tayari umma unaelewa.

Chochote kile kitakachoamuliwa lazima tuangalie masilahi ya Tanganyika.
Hakuna wakati wa kusema huyu ni mdogo au nini. Kwahiyo umma umeshaanza kuelewa kuwa muungano unaong'ang'aniwa si muungano ni njia ya Wazanzibar kusitiri aibu na dhiki watakayopambana nayo nje ya muungano.

Umma sasa unaelewa kuwa hakuna sababu ya kijana wa Kitanganyika kutafuta kazi iliyochukuliwa na Mzanzibar kwa kisingizio cha muungano. Tutapita kila ofisi na kuwang'oa kwa sheria, kwa mbinu na kwa ulazima.
Vijana wanajua wakati tu unasubiriwa.

Umma unaelewa kuwa tunalipa umeme ili watu wacheze bao usiku kucha na asubuhi wamelewa matusi na kubwabwaja.
Umma unaelewa tunalipa kodi ili watoto wa nchi jirani wasome bure tena kwa nafasi za upendeleo hata kama ni Division G

Umma unaelewa kuwa hatuna sababu ya kutafuta kodi mipaka mingine wakati kuna uchochoro wa kodi kutoka ZNZ kwa kisingizio cha Muungano. TRA wanakaba hadi kisiwandui na tutahakikisha hakuna kontena linalovuka bila kodi.

Umma unaelewa kuwa kuna Bilioni 32 zimetolewa watu wakalipwe tu bila kujua zinakwenda kwa nani na kwanini.

Umma unaelewa kuwa Bandari ya Tanga inaweza kuwa bandari huru bila kusubiri au kuona haya kutoka ZNZ

Umma unaelewa kuwa wakati wa kuweka sheria za ardhi kwa Mzanzibar zimetimu kwasababu hakuna Mtanganyika anayeweza kupewa ardhi ZNZ.

Umma unaelewa kuna asilimia 7 ya pato la taifa inakwenda ZNZ wakati uchangiaji wao ni 0

Kikubwa zaidi umma umeelewa kuwa Tanganyika ni adui mkubwa sana wa ZNZ kuliko mwananchi wa nchi nyingine. Kwahiyo hakuna sababu ya kuoneana haya ubaguzi huo utaanza kwa kasi ukimlenga Mzanzibar.
Hapo ndipo tunasema waandae mabegi kwasababu itafika wakati kila mmoja atavuka bahari hata kwa baiskeli

Ikifika hapo Tanganyika itakuwepo tena yenye neema atakae aje na ZNZ yenye dhiki itashamiri atakaye arudi.
 
Bablii, unaendelea kutuunga mkono hoja zetu. Umesahau kuwa huko nyuma ulishawahi kusema muungano umeidumaza ZNZ. Sasa mwaka 1984 ndani ya muungano ZNZ ilikuwa na neema kama unavyodai! unaona jinsi unavyojichanganya.

Pili, Seif alikuwa kiongozi tena waziri kiongozi na mjumbe wa NEC na CC. Tupe kumbu kumbu wapi na lini aliwahi kusimama na kutetea ZNZ itoke katika muungano.

Tatu, umesahau kuwa wakati Seif anadai serikali 3 hadi wiki mbili zilizokwisha alipogeuka kutaka mkataba ni Seif huyo huyo alimchomea Mzee Jumbe kwa Nyerere akisema anataka kuvunja muungano. Sasa akili kazipata wapi na lini kiasi cha kuamini kuwa si Seif yule msaliti na mroho wa madaraka aliyemtosa na kundahlilisha Mzee Jumbe kwa kuwa hana rangi ya kiarabu.

Mwisho, wakati Tanganyika wanapata dhiki hizo ulizotaja ilikuwaje Wazanzibar nusu yao wakahamia Tanganyika na kuikimbia nchi ya neema?

Kwa taarifa yako, Wazanzibar wanaoishi dunia nzima ukiwachanganya na wale waliobaki ZNZ nusu yao tu inaishi Tanganyika. Kama ZNZ ni njema atakae aje, laki 4 wanafanya nini Tanganyika?

Ujumbe ni kuandaa mabegi kwasababu Seif anataka kuwarudisha kwa Sultan, hiyo ni hiari yenu. Wazanzibar wenye uchungu wa Mapinduzi hawataki kusikia hilo. Kwa bahati mbaya siku ya kubeba mabegi na mifuko ya rambo mzanzibar yoyote hatakuwa salama, usalama wake utakuwa bandari ya Dar es Salaam. Soon it gonna happen, just a matter of time

Mkuu jaribu kuangalia Diaspora ya wazanibar wanachofanya huko waliko, unaweza kushangaa. The fact kuwa Seif anataka kurudisha usultani is not a secret, na hata siku moja Seif hakuwahi kusupport mapinduzi kwa kuwa yaliwaliza ndugu zake wengi ambao walikuwa wananufaika na kuwasulubu weusi.......i pray that the day come waanze kuja na Rambo Dar wakiwa wamechoka.
 
Back
Top Bottom