Seif Tumekusikia; Sasa jiuzulu na iondoe CUF kwenye SUK!

huyu si mke wa mtu(CCM) mbona anaongea kama anataka kuzini nje ya ndoa

Watoto wa haramu hawajifichi lazima waoneshe kidole tu kama wewe! Kichwa kimejaa mawazo machafu tu, huna kingine unachofikiria zaidi ya uzinifu. Acha kuwadhalilisha wazazi wako humu kuwa hawakukufunza adabu.
 
Mimi nilikuuliza Wazanzibari wanataka nini?

Hoja tuliokua nazungumza na mke mwenzio ilihusiana na haya uliokuja nayo wewe au umeona tu usipoteze hii nafasi ya kuonesha ujinga wako? Acha kukurupuka.

Kwanza ukiwa na akili kidogo, utajijibu hili swali wewe mwenyewe. Kama Wazanzibari wote wanataka muungano uvunjike au chochote kile, basi kuna shida gani kulifikisha jukwaani kupitia wawakilishi wao?

Macho juu ka unaangua kungu, hovyo! Na nijuavyo mimi, ukiona juu lemba ujue chini busha

wee kweli ni mwana mtoka pabaya kama unavyojiita
 
tutawarudisha kwao kwa nguvu hata kama hawataki mana huku sio kwao ni muungano peke ake umewafanya wao kuweza kujenga kwenye nchi yetu sasa mungano ukifa wao hawana sababu ya wao kukaa kwetu wakati wao watakuwa na nchi yao,huku kwetu sisi hatuwataki sijui kwa nini wanakung'ang'ania sana kwetu.

Kwa nini upate tabu ya kumaliza mabomu yenu ya machozi wakati nafasi iko wazi sasa? Zamani ilikuwa ni vigumu, ila sasa mabadiliko ya katiba ndio haya. Tumieni hii fursa ili mziz wa fitna ukatike. Ninachohisi ni kuwa watanganyika ndio wanaoupenda zaidi muungano. Ndio maana rais Kikwete alipiga marufuku kuujadili.
 
Umedhani sivyo, hoja yangu ni hoja yangu ni "Mapambano ya kudai haki, yanweza kufanywa ukiwa ndani ya system inayopora haki au nje ya system hiyo"

Upuuzi wa MM ni kutaka Maalim Seif eti ajiuzulu kwanza ndipo adai Uhuru wa Zanzibar...

Sera ya serkali 3, ilikuwa sera ya CUF, ambayo kwa mazingira ya sasa (sio sababu ya JF) wameona haifai, kama vile ilivyo CHADEMA ambao sera yao ya asili ilikuwa ni serkali ya majimbo, lakini sasa wamerukia sera ya serkali 3!

Kwanini Seif (au Wanzibar) wanadai muungano wa mkataba? Jee wanaitegemea sana Tanganyika? Jee hawawezi kuishi bila Tanganyika? Jibu ni HAPANA! Wanadai muungano wa mkataba ili kukidhi masharti ya hadidu rejea za tume hiyo ya kukusanya maoni tu....Sharti linasema lazima maoni yawe yakuboresha muungano na sio kuuvunja! Hivyo kuanza kudai kuvunja muungano ni wazi maoni yako yatakuwa nje ya hadidu rejea, hayatachukuliwa! Hivyo basi, alternative ya kuwa na ZANZIBAR huru na wakati huo huo unaboresha muungano ni kuwa na mkataba wa muungano. Si kweli kwamba katika muungano huu kuna atakae nyonywa! Jusa amejitahidi kuwaelezea, lakini naona wagumu kuelewa (au hamutaki kuelewa)!

Muungano wa mkataba hufuata baada ya mataifa husika kuwa na uhru kamili wa kujiamulia mambo yao ya ndani na nje. Huu ni mkataba wa mambo mnayoamuwa kwa ridhaa yenu kushirikiana, chini ya mkataba huu mshiriki yoyote akiona jambo husika linamkandamiza au halina maslahi kwake basi anayo haki ya kuliondoa au kuvunja huo mkataba! Sasa hebu niambie Tangayika itanyonywa vipi katika muungano huu?

Unadai eti wazo (wewe unaita upuuzi) hili limeletwa na Ahmed Rajab kutoka London...naiwe hivyo usemavyo! So what? Kwani ili liwe wazo zuri mpaka alete nani? Sioni hoja yenye mantiki katika hili!Kwani ni mawazo mangapi tumeletewa na wageni na tumeyafanyia kazi?! Achilia mbali yeye Mzanzibar mwenye uchungu na nchi yake!

Eti unasema ana uhusiano na Sultani? Hahah...hapa ndo ulipodhihirisha ujinga wako! Hivi unataka kutwambia nini hasa! Akiwa na uhusiano na Sultani (sijui yupi uliekusdia, maana sultani wako wengi ki vyeo na ki majina) kuna uhusiano gani na hoja ya MKATABA? Mbona unakuwa na kichwa cha samaki sasa! Eti na Jussa nae ana uhusiano na Sultan!Hivi unaandika kwa hisia na chuki tu au unamaanisha! Kwani ukiwa na asili ya Sultani (huyo wa Oman) ndo hufai kudai haki ya nchi yako? Mbona tunapokea mawazo kutoka kwa watawala wa Tanganyika Uingereza na Ujerumani, tunawasikiliza wenye uhusiano na Malkia wa Uingereza? Hoja yako ni ipi katika hili la kutaja masultani?
Ndugu Bablii, kwanza tuliza moyo, poza joto. Ukiingia katika mambo mazito kama haya unatakiwa uwe na akili iliyotulia na usiwe na jazba.

Kwanza napenda nikufahamishe kuwa sera za majimbo za CDM hazina uhusiano na muungano na wala hawajakana sera hizo na wala haihusiani na serikali 3, kwahiyo mfano wako ni irrelevant.

Ni kwasababu hizo CUF na Wazanzibar hawasemi ni kwanini sera ya serikali 3 hawaitaki serikali 3.
Hata wewe Bablii huwezi kusema kwa kutambua kuwa kauli yako itaunga mkono hoja zetu kuwa uwepo wa serikali 3 ni mzigo kwa Tanganyika na wala hakuna manufaa kwa Tnganyika.
Kama sivyo tueleze kwanini serikali 3 hazikubaliki tena.

Pili, sijui kama una habari kuwa Maalimu ameleta hoja za kutetea muungano wa serikali 3 hapa Jamvini.
Wote akina Ahmed, Maalim na Jusa wamo ndani ya jamvi.

Tulichambua hoja yake ya serikali 3 ikaonekana kama imeandikwa na mwanafunzi wa darasa la 7B na si mtu aliyewahi kuwa waziri kiongozi(mungu ashukuriwe hakuwahi na hatawahi kuwa kiongozi Tanganyika).
Tunakumbu kumbu hapa JF.

Pili, Ahmed, Jusa, Maalim, Mansour hawa ni watu wasioamini katika Mapinduzi. wanaamini kuwa mapinduzi yalikuwa uonevu kwa Sultan ambaye wana ukaribu na unasaba hasa tena wa karibu sana.
Wameyasema haya wazi kwa kauli kuwa ZNZ ilikuwa bora wakati wa sultani na kabla ya muungano.

Hili ndilo linawatia wazimu WZN wasio na unasaba na Sultani kwa kuelewa kuwa mapinduzi ni daima, ni halali na kuna watu wamepoteza roho zao ili kumuondoa Sultan. Kumrudisha kwa mlango wa nyuma ni kusaliti Mapinduzi halali.

Kuhusu hoja kuwa hawawezi kutamka mbele ya Warioba huo ni uongo uliotukuka.
Katika kongomano la Oktoba 6 pale bwawani wamesema wazi kuwa wao wana mkataba tayari, kinyume cha matakwa yao muungano unavunjwa kupitia BLW. Swali ni kuwa wanasubiri nini kuvunja muungano ili hali wana uwezo huo?

Katika kongamano hilo, WZN wote akiwemo Jusa na Mansour wamesema wazi wanataka muungano kwa vile ni muhimu kijiografia, kiuchumi na kisiasa. Sasa wewe unasemaje, je maneno yao ni upuuzi kama unavyosema!

Muungano wa mkataba upo ambao WZNZ wanasema ni mambo 11 ya mwaka 1964, sasa huu wa mkataba ni upi tena.
Kama unakubali kuwa upo tayari kwanini tuwe na mwingine na wala si kupitia EAC, SADC au UN.

Hoja ya kuwa muungano wa mkataba unatoa nafasi ya kujitoa pale kunapokuwepo na kutoelewana kama usemamvyo. Huko nyuma umesema ZNZ inataka ijatawale, sasa kwanini wachukue taabu zote wasifanye short cut ya kuvunja muungano na kujitawala.

Muungano wa mkataba ni kuwanyonya Watanganyika kama ilivyo sasa.
Hakuna jambo hata moja la mkataba ambalo Tanganyika itafaidika nalo.
Kama lipo tutajie maana sisi tuna mambo 32 ya kuonyesha unyonyonyaji.
Tunaomba ujenge hoja kwa kutumia akili na si akili za Jusa. Kama huwezi kutetea jambo kaa kimya.

Unaposema ni upuuzi kutaka maalim ajiuzulu nadhani upuuzi ni kuamini kile anachokisema maalimu.
Huyu mnafiki na mlafi wa madaraka amesahau kuwa ndani ya muungano kuna WZNZ wanaoishi bara kuliko wanaoishi ZNZ. Seif na kundi lake wote wana makazi ya kudumu Dar es salaam sasa kama si unafiki ni kitu gani.

Kuhusu uwepo wa ZNZ, ni kweli nje ya muungano ZNZ itakuwepo lakini itakuwa nchi ya dhiki sana.
Katika mazingira yaliyopo tu kuna wakimbizi wa ZNZ zaidi ya laki 4 Tanganyika na nje ya muungano wote watarudi kwao wakiwa na mabegi tu na hapo ni vita kati ya wafuasi wa sultani na wazawa wa ZNZ.

Napenda nikuhakikishie kuwa kama lipo jambo linalowatia hofu wzn ni muungano. ZNZ inaihitaji Tanganyika kwa namna yoyote ile na hicho ndicho chanzo cha kung'ang'ani mkataba.

Sisi hatutaki mkataba, kwanini mnadhani kuwa mna haki ya kuamua aina ya muungano.
Kwanini msifuate matakwa ya baadhi ya watu wanaotaka serikali moja au la sivyo ondokeni!

Bablii, jenga hoja kwa mantiki na si matusi. ZNZ haina ujanja mbele ya Tanganyika, Seif, Jusa, Mansour wanafahamu hivyo. Mkataba mnaoutaka ni wa kitu gani na mfano upi. Na kwanini mnataka mkataba hilo ndilo swali muhimu sana katika mjadala.

Nadhani utaelewa hoja za wanajamvi, matusi na kashfa ni kule mzalendo.net hapa ni fikra tu.
 
Kila mtu anaongea lake laki UKWELI ni kuwa hatuuhitaji tena Muungano na Zanzibar. Muungano umepitwa na wakati.

Sababu ni nyingi sana sana. Chache ni kuwa: Muungano wetu una gharama nyingi sana kiserikali na katika vyama vya siasa. Viongozi wakuu ni wengi kuliko wanaotakiwa. Rais, Makamu, waziri mkuu na wengine wengi sana.

Kihistoria MIUNGANO yote duniani imeshindwa. Balkans, Soviet na wengine wengi wameshindwa.

Tangu tuungane 1964 hatujawahi kupata amani na furaha ya muungano. Siku zote ni kugombana na kuwa mikutano ya Muafaka isiyoisha. Kila mwaka mpaka imeundiwa kamati ya pamoja. Hiyo nayo ni gharama nyingine. Uamsho wametuonyesha kuwa wananchi Hawataki................
 
Kila mtu anaongea lake laki UKWELI ni kuwa hatuuhitaji tena Muungano na Zanzibar. Muungano umepitwa na wakati.

Sababu ni nyingi sana sana. Chache ni kuwa: Muungano wetu una gharama nyingi sana kiserikali na katika vyama vya siasa. Viongozi wakuu ni wengi kuliko wanaotakiwa. Rais, Makamu, waziri mkuu na wengine wengi sana.

Kihistoria MIUNGANO yote duniani imeshindwa. Balkans, Soviet na wengine wengi wameshindwa.

Tangu tuungane 1964 hatujawahi kupata amani na furaha ya muungano. Siku zote ni kugombana na kuwa mikutano ya Muafaka isiyoisha. Kila mwaka mpaka imeundiwa kamati ya pamoja. Hiyo nayo ni gharama nyingine. Uamsho wametuonyesha kuwa wananchi Hawataki................

Kidogo umesema ukweli,
 
Ndugu Bablii, kwanza tuliza moyo, poza joto. Ukiingia katika mambo mazito kama haya unatakiwa uwe na akili iliyotulia na usiwe na jazba.

Kwanza napenda nikufahamishe kuwa sera za majimbo za CDM hazina uhusiano na muungano na wala hawajakana sera hizo na wala haihusiani na serikali 3, kwahiyo mfano wako ni irrelevant.

Ni kwasababu hizo CUF na Wazanzibar hawasemi ni kwanini sera ya serikali 3 hawaitaki serikali 3.
Hata wewe Bablii huwezi kusema kwa kutambua kuwa kauli yako itaunga mkono hoja zetu kuwa uwepo wa serikali 3 ni mzigo kwa Tanganyika na wala hakuna manufaa kwa Tnganyika.
Kama sivyo tueleze kwanini serikali 3 hazikubaliki tena.

Pili, sijui kama una habari kuwa Maalimu ameleta hoja za kutetea muungano wa serikali 3 hapa Jamvini.
Wote akina Ahmed, Maalim na Jusa wamo ndani ya jamvi.

Tulichambua hoja yake ya serikali 3 ikaonekana kama imeandikwa na mwanafunzi wa darasa la 7B na si mtu aliyewahi kuwa waziri kiongozi(mungu ashukuriwe hakuwahi na hatawahi kuwa kiongozi Tanganyika).
Tunakumbu kumbu hapa JF.

Pili, Ahmed, Jusa, Maalim, Mansour hawa ni watu wasioamini katika Mapinduzi. wanaamini kuwa mapinduzi yalikuwa uonevu kwa Sultan ambaye wana ukaribu na unasaba hasa tena wa karibu sana.
Wameyasema haya wazi kwa kauli kuwa ZNZ ilikuwa bora wakati wa sultani na kabla ya muungano.

Hili ndilo linawatia wazimu WZN wasio na unasaba na Sultani kwa kuelewa kuwa mapinduzi ni daima, ni halali na kuna watu wamepoteza roho zao ili kumuondoa Sultan. Kumrudisha kwa mlango wa nyuma ni kusaliti Mapinduzi halali.

Kuhusu hoja kuwa hawawezi kutamka mbele ya Warioba huo ni uongo uliotukuka.
Katika kongomano la Oktoba 6 pale bwawani wamesema wazi kuwa wao wana mkataba tayari, kinyume cha matakwa yao muungano unavunjwa kupitia BLW. Swali ni kuwa wanasubiri nini kuvunja muungano ili hali wana uwezo huo?

Katika kongamano hilo, WZN wote akiwemo Jusa na Mansour wamesema wazi wanataka muungano kwa vile ni muhimu kijiografia, kiuchumi na kisiasa. Sasa wewe unasemaje, je maneno yao ni upuuzi kama unavyosema!

Muungano wa mkataba upo ambao WZNZ wanasema ni mambo 11 ya mwaka 1964, sasa huu wa mkataba ni upi tena.
Kama unakubali kuwa upo tayari kwanini tuwe na mwingine na wala si kupitia EAC, SADC au UN.

Hoja ya kuwa muungano wa mkataba unatoa nafasi ya kujitoa pale kunapokuwepo na kutoelewana kama usemamvyo. Huko nyuma umesema ZNZ inataka ijatawale, sasa kwanini wachukue taabu zote wasifanye short cut ya kuvunja muungano na kujitawala.

Muungano wa mkataba ni kuwanyonya Watanganyika kama ilivyo sasa.
Hakuna jambo hata moja la mkataba ambalo Tanganyika itafaidika nalo.
Kama lipo tutajie maana sisi tuna mambo 32 ya kuonyesha unyonyonyaji.
Tunaomba ujenge hoja kwa kutumia akili na si akili za Jusa. Kama huwezi kutetea jambo kaa kimya.

Unaposema ni upuuzi kutaka maalim ajiuzulu nadhani upuuzi ni kuamini kile anachokisema maalimu.
Huyu mnafiki na mlafi wa madaraka amesahau kuwa ndani ya muungano kuna WZNZ wanaoishi bara kuliko wanaoishi ZNZ. Seif na kundi lake wote wana makazi ya kudumu Dar es salaam sasa kama si unafiki ni kitu gani.

Kuhusu uwepo wa ZNZ, ni kweli nje ya muungano ZNZ itakuwepo lakini itakuwa nchi ya dhiki sana.
Katika mazingira yaliyopo tu kuna wakimbizi wa ZNZ zaidi ya laki 4 Tanganyika na nje ya muungano wote watarudi kwao wakiwa na mabegi tu na hapo ni vita kati ya wafuasi wa sultani na wazawa wa ZNZ.

Napenda nikuhakikishie kuwa kama lipo jambo linalowatia hofu wzn ni muungano. ZNZ inaihitaji Tanganyika kwa namna yoyote ile na hicho ndicho chanzo cha kung'ang'ani mkataba.

Sisi hatutaki mkataba, kwanini mnadhani kuwa mna haki ya kuamua aina ya muungano.
Kwanini msifuate matakwa ya baadhi ya watu wanaotaka serikali moja au la sivyo ondokeni!

Bablii, jenga hoja kwa mantiki na si matusi. ZNZ haina ujanja mbele ya Tanganyika, Seif, Jusa, Mansour wanafahamu hivyo. Mkataba mnaoutaka ni wa kitu gani na mfano upi. Na kwanini mnataka mkataba hilo ndilo swali muhimu sana katika mjadala.

Nadhani utaelewa hoja za wanajamvi, matusi na kashfa ni kule mzalendo.net hapa ni fikra tu.

Kama muungano huu ni wa hiari vireje tena paanze vitisho na ubabe?hivi hapo tanganyika hakuna raia wengine zaidi ya waz'br na je mmeungana na nchi zao?y zanzibar?
 
Kama muungano huu ni wa hiari vireje tena paanze vitisho na ubabe?hivi hapo tanganyika hakuna raia wengine zaidi ya waz'br na je mmeungana na nchi zao?y zanzibar?
Ukweli si vitisho.
Ni kweli kuna raia wengine lakini si kwa malaki kama Wazanzibar! Ndio maana tunasema vunja muungano ili waishio hapa waishi kama raia wengine kuna kitisho gani?

Hao raia wa nchi nyingine hawalalamiki kutawaliwa, wanaishi kwa adabu na heshima. Muda ukifika wanarejea makwao.
Tunachokitaka hapa si kuwatisha wazanzibar ni kuwasaidia wapate uhuru na mamlak kamili wajitoe katika ukoloni wa Tanganyika. Hii habari ya kutaka Utanganyika moyoni na matusi mdomoni, aah a! sasa inatosha.

Kwa taarifa yako, Tanganyika ndilo taifa lililobeba wazanzibar wengi duniani! hapo kuna kitisho gani.
Ndilo taifa linalowapa uhuru wa kuishi kama raia wake bila kipande cha karatasi au ID, hapo kuna kitisho gani?

Kusema warejee nyumbani kwao kuna kitisho gani? Nadhani hiyo ni taarifa na wala si kitisho, ni suala la muda tutawapungia mikono bandarini na kuwatakia kheri huko waendako kwenye nchi ya asali na neema tele. Kuna kitisho gani?

Kwanini msikubaliane na ushauri wa Maalim Seif ili muachane na dhiki ya muungano kabisa. Kwanini mnahaitaji muungano na Wakoloni wa Tanganyika nanyi mwataka mamlaka kamili.

Ndipo hoja ya MM kuwa wabunge wa CUF wajitoe, wale mnaotumikia serikali ya muungano muondoke halafu mkae pamoja na Seif kuijenga Zanzibar. Mbona hoja ya MM ni ya kuwatakia kheri mnaigeuza na kuiita majina kadha wa kadha!

Kitu ambacho hatutakubali ni ZNZ kuburuza aina ya muungano, kudai haki wasizostahiki na kujibanza ubavuni mwa Tanganyika kukidhi dhiki zao! hilo this time no! mkitaka muungano wowote ule lazima kwanza mtueleze sisi tutafaidika na nini! kama hamna hoja ni wakati mchukue mabegi kwasababu muda unakwisha! Mabegi tu!
 
Ndugu Bablii, kwanza tuliza moyo, poza joto. Ukiingia katika mambo mazito kama haya unatakiwa uwe na akili iliyotulia na usiwe na jazba.

Kwanza napenda nikufahamishe kuwa sera za majimbo za CDM hazina uhusiano na muungano na wala hawajakana sera hizo na wala haihusiani na serikali 3, kwahiyo mfano wako ni irrelevant.

Ni kwasababu hizo CUF na Wazanzibar hawasemi ni kwanini sera ya serikali 3 hawaitaki serikali 3.
Hata wewe Bablii huwezi kusema kwa kutambua kuwa kauli yako itaunga mkono hoja zetu kuwa uwepo wa serikali 3 ni mzigo kwa Tanganyika na wala hakuna manufaa kwa Tnganyika.
Kama sivyo tueleze kwanini serikali 3 hazikubaliki tena.

Pili, sijui kama una habari kuwa Maalimu ameleta hoja za kutetea muungano wa serikali 3 hapa Jamvini.
Wote akina Ahmed, Maalim na Jusa wamo ndani ya jamvi.

Tulichambua hoja yake ya serikali 3 ikaonekana kama imeandikwa na mwanafunzi wa darasa la 7B na si mtu aliyewahi kuwa waziri kiongozi(mungu ashukuriwe hakuwahi na hatawahi kuwa kiongozi Tanganyika).
Tunakumbu kumbu hapa JF.

Pili, Ahmed, Jusa, Maalim, Mansour hawa ni watu wasioamini katika Mapinduzi. wanaamini kuwa mapinduzi yalikuwa uonevu kwa Sultan ambaye wana ukaribu na unasaba hasa tena wa karibu sana.
Wameyasema haya wazi kwa kauli kuwa ZNZ ilikuwa bora wakati wa sultani na kabla ya muungano.

Hili ndilo linawatia wazimu WZN wasio na unasaba na Sultani kwa kuelewa kuwa mapinduzi ni daima, ni halali na kuna watu wamepoteza roho zao ili kumuondoa Sultan. Kumrudisha kwa mlango wa nyuma ni kusaliti Mapinduzi halali.

Kuhusu hoja kuwa hawawezi kutamka mbele ya Warioba huo ni uongo uliotukuka.
Katika kongomano la Oktoba 6 pale bwawani wamesema wazi kuwa wao wana mkataba tayari, kinyume cha matakwa yao muungano unavunjwa kupitia BLW. Swali ni kuwa wanasubiri nini kuvunja muungano ili hali wana uwezo huo?

Katika kongamano hilo, WZN wote akiwemo Jusa na Mansour wamesema wazi wanataka muungano kwa vile ni muhimu kijiografia, kiuchumi na kisiasa. Sasa wewe unasemaje, je maneno yao ni upuuzi kama unavyosema!

Muungano wa mkataba upo ambao WZNZ wanasema ni mambo 11 ya mwaka 1964, sasa huu wa mkataba ni upi tena.
Kama unakubali kuwa upo tayari kwanini tuwe na mwingine na wala si kupitia EAC, SADC au UN.

Hoja ya kuwa muungano wa mkataba unatoa nafasi ya kujitoa pale kunapokuwepo na kutoelewana kama usemamvyo. Huko nyuma umesema ZNZ inataka ijatawale, sasa kwanini wachukue taabu zote wasifanye short cut ya kuvunja muungano na kujitawala.

Muungano wa mkataba ni kuwanyonya Watanganyika kama ilivyo sasa.
Hakuna jambo hata moja la mkataba ambalo Tanganyika itafaidika nalo.
Kama lipo tutajie maana sisi tuna mambo 32 ya kuonyesha unyonyonyaji.
Tunaomba ujenge hoja kwa kutumia akili na si akili za Jusa. Kama huwezi kutetea jambo kaa kimya.

Unaposema ni upuuzi kutaka maalim ajiuzulu nadhani upuuzi ni kuamini kile anachokisema maalimu.
Huyu mnafiki na mlafi wa madaraka amesahau kuwa ndani ya muungano kuna WZNZ wanaoishi bara kuliko wanaoishi ZNZ. Seif na kundi lake wote wana makazi ya kudumu Dar es salaam sasa kama si unafiki ni kitu gani.

Kuhusu uwepo wa ZNZ, ni kweli nje ya muungano ZNZ itakuwepo lakini itakuwa nchi ya dhiki sana.
Katika mazingira yaliyopo tu kuna wakimbizi wa ZNZ zaidi ya laki 4 Tanganyika na nje ya muungano wote watarudi kwao wakiwa na mabegi tu na hapo ni vita kati ya wafuasi wa sultani na wazawa wa ZNZ.

Napenda nikuhakikishie kuwa kama lipo jambo linalowatia hofu wzn ni muungano. ZNZ inaihitaji Tanganyika kwa namna yoyote ile na hicho ndicho chanzo cha kung'ang'ani mkataba.

Sisi hatutaki mkataba, kwanini mnadhani kuwa mna haki ya kuamua aina ya muungano.
Kwanini msifuate matakwa ya baadhi ya watu wanaotaka serikali moja au la sivyo ondokeni!

Bablii, jenga hoja kwa mantiki na si matusi. ZNZ haina ujanja mbele ya Tanganyika, Seif, Jusa, Mansour wanafahamu hivyo. Mkataba mnaoutaka ni wa kitu gani na mfano upi. Na kwanini mnataka mkataba hilo ndilo swali muhimu sana katika mjadala.

Nadhani utaelewa hoja za wanajamvi, matusi na kashfa ni kule mzalendo.net hapa ni fikra tu.

Nguruvi3, ukitaka utumie akili yako vizuri katika kuangalia mambo na kujenga hoja, basi kwanza jaribu kuondoa chuki kwa hilo jambo husika! Ukijenga hoja zako kwenye misingi ya chuki tu kama ulivyofanya hapo juu, basi unasababisha watu waone the other side of you (Ujinga na upuuzi wako)!

Sasa nianze kuku elimisha kidogo! CDM hawakuwahi kuwa na sera ya serkali 3, hata ukikataa mpaka kesho, sera ya CDM ni majimbo, wakimaanisha nchi nzima (Tannganyika na Zanzibar) kutakuwa na serkali za majimbo na hizo serkali za majimbo zitakuwa chini ya central goverment (serkali kuu), ingawa hawakuweka wazi, kama Zanzibar itakuwa jimbo moja au 2 au 3, lakini haiwi nchi tena!

Hii sera ya serkali 3, imeibuka hivi karibuni, wala sio sera rasmi ya CDM! Bado wapo wahafidhina (kama Nassari) wanaokereketwa na ukabila na umajimbo wanaodai ARUSHA iwe nchi (ijitenge)!

CUF wao sera ya serkali 3 wameona haifai tena kwa mazingira ya sasa, sababu wameshaona kwamba kamwe uwepo wa serkali 3 hautakidhi matarajio na mipango ya Zanzibar katika kujikwamua kiuchumi na kisiasa! Hawaamini juu ya ushirika usio na mkataba na Tanganyika!

Naomba ukajifunze tofauti ya Muungano wa katiba na Muungano wa mkataba! Huu uliopo sasa ni muungano wa katiba! Wanaoudai CUF na Wazanzibar walio wengi ni Muungano wa mkataba!

Wazanzibar hawana hofu ya kuvunjika kwa Muungano, kama wewe unavyoona Tanganyika haifaidiki na muungano,ingawa unang'ang'ania huu muungano (hujawahi kudai kuuvunja muungano), basi wazanzibar ndo kabisa, hawaoni faida hata moja ya kuwepo huu muungano!

Eti wazanzibar wamejaa tele Tanganyika,muungano ukivunjika watarudi kwao! Ebo hoja ya kijinga kabisa! Kwani hao wachina walojaa tele hapo Tangayika, mpaka wengine wanajiuza usiku..achilia mbali wahindi waliofikia mpaka kuwahamisha kwenye nyumba zenu za serkali NHC, jee hao wapo hapo Tanganyika kwa sababu ya Muungano wa Tanganyika na China au Tangyika na India? Hivi wale waZanzibar walojaa tele pale London, Ottawa (Canada), Stockholm (Sweden), Burundi,Oman, USA, name it...jee nchi hizo zimeungana na ZANZIBAR?

Kama mnaardhi ya kuwapa waZANZIBAR bure, kwanini msiwape bure wale watanganyika wenzenu wanaouwana kwa mapanga huko bara kupigania ardhi? Eti bure, bure?! Wazanzibar waliopo hapo Tanganyika ndio wanaofanya nyinyi wafanyakazi wa serkali msiozalisha kitu zaidi ya ufisadi mupate mishahara yenu! Kupitia biashara zao halali, maduka na dalala , hoteli, viwanda,migahawa n.k, wanalipa kodi TRA, nyinyi mnapata mishahara yenu! Ukimuona mZanzibar mshukuru badala ya kuleta kiburi chako cha kipumbavu!

Dhahabu yenu mmehonga kwa wazungu wa Canada, Almasi mmegawa kwa makaburu afrika kusini, mbuga za wanyama mnauza vifaru, tembo na meno yake kwa wachina na waarabu, mlima kilimanjaro unaingiza mapato Kenya nyinyi mnaishia kuuangalia tu,gesi ya songo songo ufisadi mtupu....hakuna mnachopata kutoka katika mali ghafi zenu...maisha yenu yanategemea kodi za Wazanzibar ((Bakhresa et al), wahindi, na wachina! Hamna jeuri ya kuwafukuza waZanzibar, mtakufa njaa! K.koo itageuka sehemu ya wakabaji,wala unga na wauza uchi! Na hilo ndilo mnaloliogopa kuuvunja muungano! Mnaogopa waZanzibar watapata fursa kuendesha biashara kwao....! Lakini nikufahamishe tu, ukivunjika muungano wazanzibar wataishi na kufanya biashara Tanganyika kama wafanyavyo hivi sasa, huko Kenya, China, Msumbiji n.k!

Halafu unasema Zanzibar nje ya muungano itakuwa dhiki sana...we unaelimu ya unajimu (utabiri) kama marehemu Sheikh Yahaya eeh...?! Basi kama hufahamu, Zanzibar ilishawahi kuepo kabla ya Tangayika, tena ilikuwa ni nchi yenye maendeleo kuliko hata baadhi ya nchi za Ulaya na Mashariki ya mbali! Kwa mfano tu katika nchi za E.A Zanzibar ndo nchi ya kwanza kuwa na umeme, wakati huo Tangyika haipo (inaitwa mzizima)! Imeanza kuwa na TV ya rangi kabla ya hata Israel!, achilia mbali Tangyika iloanza kuona TV 1990!

Tayari au niendelee...
 
Nguruvi3, ukitaka utumie akili yako vizuri katika kuangalia mambo na kujenga hoja, basi kwanza jaribu kkuondoa chuki kwa hilo jambo husika! Ukijenga hoja zako kwenye misingi ya chuki tu kama ulivyofanya hhapo juu, basi unasababisha watu waone another side of you (Ujinga na upuuzi wako)!

Sasa nianze kuku elimisha kidogo! 1. CDM hawakuwahi kuwa na sera ya serkali 3, hata ukikataa mpaka kesho, sera ya CDM ni majimbo, wakimaanisha nchi nzima (Tannganyika na Zanzibar) kutakuwa na serkali za majimbo na hizo serkali za majimbo zitakuwa chini ya central goverment (serkali kuu), ingawa hawakuweka wazi, kama Zanzibar itakuwa jimbo moja au 2 au 3, lakini haiwi nchi tena!

Hii sera ya serkali 3, imeibuka hivi karibuni, wala sio sera rasmi ya CDM! Bado wapo wahafidhina (kama Nassari) wanaokereketwa na ukabila na umajimbo wanaodai ARUSHA iwe nchi (ijitenge)!

CUF wao sera ya serkali 3 wameona haifai tena kwa mazingira ya sasa, sababu wameshaona kwamba kamwe uwepo wa serkali 3 hautakidhi matarajio na mipango ya Zanzibar katika kujikwamua kiuchumi na kisiasa! Hawaamini juu ya ushirika usio na mkataba na Tanganyika!

Naomba ukajifunze tofauti ya Muungano wa katiba na Muungano wa mkataba! Huu uliopo sasa ni muungano wa kkatiba! Wanaoudai CUF na Wazanzibar walio wengi ni Muungano wa mkataba!

Wazanzibar hawana hofu ya kuvunjika kwa Muungano, kama wewe unavyoona Tanganyika haifaidiki na Zanzibar, unang'ang'ania kuungana nae (hujawahi kudai kuuvunja muungano), basi wazanzibar ndo kabisa, hawaoni faida hata moja ya kuwepo huu muungano!

Eti wazanzibar wamejaa tele Tanganyika,muungano ukivunjika watarudi kwao! Ebo hoja ya kijinga kabis! nKwani hao wachina na wahindi walojaa tele hapo Tangayika, mpaka wengine wanajiuza usiku, jee wapo hapo Tanganyika kwa sababu ya Muungano wa Tanganyika na China au Tangyika na India? Hivi wale waZanzibar walojaa tele pale London, Ottawa (Canada), Stockholm (Sweden), Burundi,Oman, USA, name it...jee nchi hizo zimeungana na ZANZIBAR?

Kama mnaardhi ya kuwapa waZANZIBAR bure, kwanini msiwape bure wale watanganyika wenzenu wanaouwana kwa mapanga huko bara kupigania ardhi? Eti bure, bure?! Wazanzibar waliopo hapo Tanganyika ndio wanaofanya nyinyi wafanyakazi wa serkali msiozalisha kitu zaidi ya ufisadi mupate mishahara yenu! Kupitia biashara zao halali, maduka na dalala , hoteli, viwanda,migahawa n.k, wanalipa kodi TRA, nyinyi mnapata mishahara yenu! Ukimuona mZanzibar mshukuru badala ya kuleta kiburi chako cha kipumbavu!

Dhahabu yenu mmehonga kwa wazungu wa Canada, Almasi mmegawa kwa makaburu afrika kusini, mbuga za wanyama mnauza vifaru, tembo na meno yake kwa wachina na waarabu, mlima kilimanjaro unaingiza mapato Kenya nyinyi mnaishia kuuangalia tu,gesi ya songo songo ufisadi mtupu....hakuna mnachopata kutoka katika mali ghafi zenu...maisha yenu yanategemea kodi za Wazanzibar ((Bakhresa et al), wahindi, na wachina! Hamna jeuri ya kuwafukuza waZanzibar, mtakufa njaa! K.koo itageuka sehemu ya wakabaji,wala unga na wauza uchi! Na hilo ndilo mnaloliogopa kuuvunja muungano! Mnaogopa waZanzibar watapata fursa kuendesha biashara kwao....! Lakini nikufahamishe tu, ukivunjika muungano wazanzibar wataishi na kufanya biashara Tanganyika kama wafanyavyo hivi sasa, huko Kenya, China, Msumbiji n.k!

Halafu unasema Zanzibar nje ya muungano itakuwa dhiki sana...we unaelimu ya unajimu (utabiri) kama marehemu Sheikh Yahaya eeh...?! Basi kama hufahamu, Zanzibar ilishawahi kuepo kabla ya Tangayika, tena ilikuwa ni nchi yenye maendeleo kuliko hata baadhi ya nchi za Ulaya na Mashariki ya mbali! Kwa mfano tu katika nchi za E.A Zanzibar ndo nchi ya kwanza kuwa na umeme, wakati huo Tangyika haipo (inaitwa mzizima)! Imeanza kuwa na TV ya rangi kabla ya hata Israel!, achilia mbali Tangyika iloanza kuona TV 1990!Tayari au niendelee...
Ndugu yangu, nimekwambia mapema sana kuwa hapa kinachosomwa ni hoja. Tunajua kuwa ukweli una uma lakini tutazidi kuwaeleza.

Kuna jambo hulielewi na elimu ya umma ni kitu muhimu sana. Punguza matusi utapata darsa tena zuri sana.
Ni hivi, sera ya majimbo ya Chadema inahusu jinsi watakavyotawala wakipewa ridhaa. Yaani badala ya mikoa wao watafanya majimbo. Kwanini watafanya hivyo, soma sera zao.

Hili ni tofauti na muundo wa Muungano. Muundo wa muungano unahusu nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar. Hili halina uhusiano kabisa na muundo wa utawala. Hebu tofautisha vitu hivi viwili maana unavyozidi kuandika unaonyesha ima kutojua unachozungumzia au uchanga wa fikra, A au B kimoja ni jibu.

CDM wana msimamo kuwa wao wanataka serikali 3, hiyo haiwazui kuwa na sera za majimbo wakipewa ridhaa. Narudia majimbo au mikoa ni miundo ya utawala. Muungano ni mfumo wa ushirikiano.

Pili,CUF hawaijakataa hoja yao ya serikali 3, ipo na bado ndicho wanachokiamini. Aliyeikana hiyo ni Maalimu Seif ambaye ni katibu mkuu wa CUF. Sasa kama CUF ni Maalim Seif na si chama basi nakubaliana nawe vinginevyo huna ufahamu wa dunia inayokuzunguka.

Tatu, umetoa mifano ya Wazanzibar wnaoishi kote duniani. Nimekuambia kuwa hata Tanganyika wataishi kama wlaivyo wahindi, wachina, wakenya, waganda na warundi. Nje ya muungano itabidi waishi kwa vibali, hawatapewa haki kama umiliki wa ardhi usio na utaratibu, hawatasomeshewa watoto wao, hawapewa ajira ndani ya Tanganyika na wataishi kama wawekezaji wengine.

Kwa Bakhresa na Maalimu hilo ni jepesi, kw mvua samaki na muuza duka pale Ilala huo ni mwiba.
Ni kwa msingi huo hujaweza kujibu hoja kuwa Tanganyika ndilo taifa pekee lililowapa Wazanzibar makazi na uhuru wa kutenda walitendalo.

Hao wazanzibar walioko Australia, US, UK n.k. walipitia kwenye mateso kupata vibali vya kuishi huko na hata hivyo hawana nafasi kama Mzanzibar anayepanda meli na kuja Tanganyika bila kudai ukimbizi au kuulizwa kitambulisho.
Tofauti ya makundi hayo inahitaji mtu mwenye akili, mjinga atadhani ni rahisi kwenda kuishi Uingereza tu kama wanavyokuja Ilala. Kwa taarifa yako wapo Wazanzibar wasioweza kurudi makwao kutoka huko ughaibuni kwasababu hawana vitambulisho. Hakuna nayezuiwa kurudi kwao kutoka Tanganyika.

Hoja ya kuwa ZNZ haina hofu inaweza kuwa kweli, cha kujiuliza kwanini wao wameshikilia mkataba?
Nani kasema tunataka mkataba! Tanganyika inataka mkataba ili iweje na ifaidike na nini.
Kama ZNZ haina hofu makongamano ya nini kila siku, si waamue siku moja.

Nimekupa mifano, Mzee Nasor Moyo mwanamapinduzi na mzee wa ASP amesema ZNZ inataka muungano! video ipo
Mansour kasema ZNZ inataka muungano, Jusa, Ahmed na Maalimu pia. Hakuna hata mmoja anayefungua kinywa na kusema muungano uvunjike. Nitajie mmoja tu
Sasa wewe bwana mdogo hata shule hujamaliza unataka kusema nini?

Kuna hoja dhaifu na ya kitoto sana, nalazimika kuijibu kwasababu si wewe tu ni sehemu kubwa ya wazanzibar wanaamini hivyo. Eti, ZNZ ni nchi ya kwanza kuwa na TV EAC. Wasichojua watu hawa ni kuwa ZNZ ni ya mwisho kuwa na Chuo Kikuu EAC! unaoana akili inavyokuwa muhimu wakati wa kuandika kitu eeh! Hivi TV ya rangi inakusaidiaje wewe usiweza kusomesha mtoto shule, usiyeweza kulipa umeme au mshahara hadi ukatiwe fungu kutoka Tanganyika!
Ilikuwa na umeme, na hadi sasa haiwezi kusomesha wananchi wake! umeona jinsi mnavyodanganywa na hoja za kitoto.

Kijigrafia,Uchumi na Siasa bwana mdogo, ZNZ inaihitaji Tanganyika, unahitaji kurudi darasani hapa si mahali pako.
Hebu kajipange halafu utulie kwasababu akina Mansour na Jusa hupata hoja na hujibiwa hoja zao hapa JF, sasa wewe unatakiwa ukae kitako. Bwan mdogo, please usichafue ukumbi.

Ujumbe muhimu sana kwa wazanzibar, kaeni mkao wa kuondoka! Pangeni mabegi vizuri ni suala la muda tu.
Mabegi tu!
 
Mzee Mwanakijiji you have to remember that the main intention of Seif is not for Zanzibar to be independent country. As of now Zanzibar is independent state(semi autonomous country) , to him that is not good enough, because it does not suit his political ambitions. The man is a little bit of a power maniach, and he will settle for nothing other than supreme leadership.

If you look at what he stands for you can not clearly tell what it is, his main intentions are highly questionable Is he for the good of islanders? the answer is big NO, NO NO. If was good for them he has powers to do that now, because he is half of the GNU, but why is he not doing it now? Simple answer is anataka usultan.

Jamaa alikuwa Waziri Kiongozi kwenye serikali ya mapinduzi ya Zanzibar (ZRG) na sasa yuko kwenye serikali ya umoja wa kitaifa(GNU) kwa wadhifa wa juu zaidi, bado nyimbo zake ni zilezile. Kwa hiyo ni wazi kuwa lengo lake kuu si kuwandeleza wazanzibari.

Lengo kuu la Seif ni kuitenga Zanzibar kutoka kwenye muungano na yeye kuwa sultan wa Zanzibar, tatizo ni kuwa hawezi kuwa sultan katika serikali ya muungano. He would really like to own black slaves and being worshiped like he is in Pemba. If he could be a sultan in the framework of the government of the united republic he would have been the main supporter of the union.

Yeye ni mzanzibari ana haki ya kuwa na maoni yake na muungano anaoupenda, lakini anatakiwa kukumbuka pia si kila mzanzabri anafikiri kama yeye. Kuna wengi wanakumbuka uchungu wa mikwaju ya masultan.
 
Ndugu yangu, nimekwambia mapema sana kuwa hapa kinachosomwa ni hoja. Tunajua kuwa ukweli una uma lakini tutazidi kuwaeleza.

Kuna jambo hulielewi na elimu ya umma ni kitu muhimu sana. Punguza matusi utapata darsa tena zuri sana.
Ni hivi, sera ya majimbo ya Chadema inahusu jinsi watakavyotawala wakipewa ridhaa. Yaani badala ya mikoa wao watafanya majimbo. Kwanini watafanya hivyo, soma sera zao.

Hili ni tofauti na muundo wa Muungano. Muundo wa muungano unahusu nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar. Hili halina uhusiano kabisa na muundo wa utawala. Hebu tofautisha vitu hivi viwili maana unavyozidi kuandika unaonyesha ima kutojua unachozungumzia au uchanga wa fikra, A au B kimoja ni jibu.

CDM wana msimamo kuwa wao wanataka serikali 3, hiyo haiwazui kuwa na sera za majimbo wakipewa ridhaa. Narudia majimbo au mikoa ni miundo ya utawala. Muungano ni mfumo wa ushirikiano.

Pili,CUF hawaijakataa hoja yao ya serikali 3, ipo na bado ndicho wanachokiamini. Aliyeikana hiyo ni Maalimu Seif ambaye ni katibu mkuu wa CUF. Sasa kama CUF ni Maalim Seif na si chama basi nakubaliana nawe vinginevyo huna ufahamu wa dunia inayokuzunguka.

Tatu, umetoa mifano ya Wazanzibar wnaoishi kote duniani. Nimekuambia kuwa hata Tanganyika wataishi kama wlaivyo wahindi, wachina, wakenya, waganda na warundi. Nje ya muungano itabidi waishi kwa vibali, hawatapewa haki kama umiliki wa ardhi usio na utaratibu, hawatasomeshewa watoto wao, hawapewa ajira ndani ya Tanganyika na wataishi kama wawekezaji wengine.

Kwa Bakhresa na Maalimu hilo ni jepesi, kw mvua samaki na muuza duka pale Ilala huo ni mwiba.
Ni kwa msingi huo hujaweza kujibu hoja kuwa Tanganyika ndilo taifa pekee lililowapa Wazanzibar makazi na uhuru wa kutenda walitendalo.

Hao wazanzibar walioko Australia, US, UK n.k. walipitia kwenye mateso kupata vibali vya kuishi huko na hata hivyo hawana nafasi kama Mzanzibar anayepanda meli na kuja Tanganyika bila kudai ukimbizi au kuulizwa kitambulisho.
Tofauti ya makundi hayo inahitaji mtu mwenye akili, mjinga atadhani ni rahisi kwenda kuishi Uingereza tu kama wanavyokuja Ilala. Kwa taarifa yako wapo Wazanzibar wasioweza kurudi makwao kutoka huko ughaibuni kwasababu hawana vitambulisho. Hakuna nayezuiwa kurudi kwao kutoka Tanganyika.

Hoja ya kuwa ZNZ haina hofu inaweza kuwa kweli, cha kujiuliza kwanini wao wameshikilia mkataba?
Nani kasema tunataka mkataba! Tanganyika inataka mkataba ili iweje na ifaidike na nini.
Kama ZNZ haina hofu makongamano ya nini kila siku, si waamue siku moja.

Nimekupa mifano, Mzee Nasor Moyo mwanamapinduzi na mzee wa ASP amesema ZNZ inataka muungano! video ipo
Mansour kasema ZNZ inataka muungano, Jusa, Ahmed na Maalimu pia. Hakuna hata mmoja anayefungua kinywa na kusema muungano uvunjike. Nitajie mmoja tu
Sasa wewe bwana mdogo hata shule hujamaliza unataka kusema nini?

Kuna hoja dhaifu na ya kitoto sana, nalazimika kuijibu kwasababu si wewe tu ni sehemu kubwa ya wazanzibar wanaamini hivyo. Eti, ZNZ ni nchi ya kwanza kuwa na TV EAC. Wasichojua watu hawa ni kuwa ZNZ ni ya mwisho kuwa na Chuo Kikuu EAC! unaoana akili inavyokuwa muhimu wakati wa kuandika kitu eeh! Hivi TV ya rangi inakusaidiaje wewe usiweza kusomesha mtoto shule, usiyeweza kulipa umeme au mshahara hadi ukatiwe fungu kutoka Tanganyika!
Ilikuwa na umeme, na hadi sasa haiwezi kusomesha wananchi wake! umeona jinsi mnavyodanganywa na hoja za kitoto.

Kijigrafia,Uchumi na Siasa bwana mdogo, ZNZ inaihitaji Tanganyika, unahitaji kurudi darasani hapa si mahali pako.
Hebu kajipange halafu utulie kwasababu akina Mansour na Jusa hupata hoja na hujibiwa hoja zao hapa JF, sasa wewe unatakiwa ukae kitako. Bwan mdogo, please usichafue ukumbi.

Ujumbe muhimu sana kwa wazanzibar, kaeni mkao wa kuondoka! Pangeni mabegi vizuri ni suala la muda tu.
Mabegi tu!

Hahaha imebidi nicheke...ndugu yangu unaojenga hoja kama mlevi! Hivi waZanzibar wanaonunuwa ardhi Tangayika au kuja Tangayika bila visa, ni kwa sababu ya hisani ya Tanganyika au sababu ya Muungano? Ukishajijibu swali hilo, utagunduwa kwamba huna sababu wala hoja ya kulalamika kwamba eti wa Zanzibar wanaingia Tanganyika bila vibali! Ebo, mbona waTanganyika kibao tu wanaingia na kutoka Zanzibar bila vibali, miaka 1980 mpaka 1999, ilikuwa bidhaa zote unazoziona k.koo zimeenda kununuliwa Zanzibar, mnaenda nakurudi! Ukienda hotel zote za kitalii huko Zanzibar, kuanzia Paje, Nungwi, Bwejuu, Kizimkazi nk wafanyakazi wake ni Watanganyika, darajani kumejaa wabongo wanauza vinyago, shanga, n.k! Sioni kosa la Mzanzibar wala fadhila ya Mtanganyika katika hilo, ndio muungano unavyoruhusu, sasa kama unaona unabanwa dai Tanganyika yako huru! Kwanini wewe unaebanwa ndie unaeng'ang'ania na kuweka vitisho!

Kabla ya Muungano wa huu, Zanzibar ilishakuwa na wasomi wengi tu, akina Professor Babu, Mazrui, nk! Wakati mawanasheria wa kwanza wa Tangayika huru alikuwa mzungu, Zanzibar ilipata uhuru na mwanasheria wake wa kwanza alikuwa mzanzibar! Uko sahihi, Zanzibar ndio nchi ya mwisho EA kuwa na chuo kikuu chake mwenyewe, lakini cha ajabu umeshindwa kuona sababu ya kutokea hilo.

Zanzibar ilipata uhuru 1963, mapinduzi 1964, na mwaka huo huo (1964) ikaingia kwenye muungano, muungano ambao ulipelekea Zanzibar kupoteza uwezo wake wakujiamulia mambo, na uwezo wakuleta maendeleao yake! Kupitia muungano huo, Watanganyika wakaimeza Zanzibar, wakaibana katika fursa zote, za kielimu, kiuchumi na kisiasa! Matokeo yake ndio hayo unayoyaona...kuchelewa kuwa na chuo kikuu, wazanzibar kukosa fursa za kiuchumi nchini mwao (mfanya biashara Zanzibar analipa kodi mara 2, TRA na ZRB)hivyo kupekelekea kuja Tangayika kwa wingi, kukosekana kwa miundo mbinu, kama umeme wake wenyewe, kwasababu kupitia muungano huu,Zanzibar haiwezi kufanya lolote la maendeleo yake bila kupata kibali kutoka Tanganyika!

Hayo matatizo au kasoro zote unazozieleza hapo juu kuhusu Zanzibar, zinatokana na muungano huu, ndio maana sasa wanasema " Tuacheni tupumuwe"! Hoja zako linganifu zingekuwa na mantiki kama tu Zanzibar ingekuwa inajiendesha yenyewe (iko huru)! Hivi kwa mfano unaweza kuniambia kwanini Mwl Nyerere alizuia ZZanzibar isijiunge na OIC? Ni wazi kwamba Zanzibar haihitaji kujiunga na jumuia yoyote ili kuongeza idadi ya waislama, tayari Zanzibar ina 98 % ya population ni waislam! Kwa hiyo kusema Zanzibar ilitaka iwe nchi ya kiislam sikweli! Ukipata jibu la swali hilo, ndo utajuwa to what extent maendeleo ya Zanziar yamebanwa na kupokwa na Tanganyika!

Ukae ukijuwa tu UDSM kilianza na fuculty moja tu ya sheria 1961 tena kikiwa chuo kishiriki cha chuo kikuu cha London (kama tawi tu la chuo kikuu cha London) kabla ya uhuru, baada ya uhuru kilikuwa ni tawi la EA university... UDSM kama UDSM (chuo kiku huru) kimeanza baada ya muungano, upanuzi mkubwa wa fuculties na collenge nyengine zilifuata baada ya muungano 1964, hivyo basi UDSM si chuo cha Tanganyika, ni chuo cha Tanganyika na Zanzibar (Tanzania), kama ilivyo BoT n.k, fedha za waZanzibar na mali zao, zilitumika katika kukijenga chuo hicho! Kwa mujibu wa muungano huu Elimu ya juu ni mambo ya muungano! So, Tanganyika haina chuo hata kimoja ambacho ni chao mali yao mpaka sasa hivi! Afadhali ya Zanzibar!

Ukivunjika muungano una hasara kubwa! Itakubidi uanze mwanzo, maana kila kilicho cha muunezgano tunagawana...lol! Mshukuru Maalim Seif anakupa alternative ya muungano wa MKATABA, huenda ukasalimika kupoteza vyote...maana tutapiga pasu BoT, NECTA, Vyuo vikuu vyote, Bandari, Mambo ya nje, n.k (yote yaliyo ya muungano). Samaki wenzio washaliona hilo, ndo maana wapo tayari kuwauwa wazanzibar lakini muungano usivunjike, wee piga kelele tu...!
 
Mzee Mwanakijiji you have to remember that the main intention of Seif is not for Zanzibar to be independent country. As of now Zanzibar is independent state(semi autonomous country) , to him that is not good enough, because it does not suit his political ambitions. The man is a little bit of a power maniach, and he will settle for nothing other than supreme leadership.

If you look at what he stands for you can not clearly tell what it is, his main intentions are highly questionable Is he for the good of islanders? the answer is big NO, NO NO. If was good for them he has powers to do that now, because he is half of the GNU, but why is he not doing it now? Simple answer is anataka usultan.

Jamaa alikuwa Waziri Kiongozi kwenye serikali ya mapinduzi ya Zanzibar (ZRG) na sasa yuko kwenye serikali ya umoja wa kitaifa(GNU) kwa wadhifa wa juu zaidi, bado nyimbo zake ni zilezile. Kwa hiyo ni wazi kuwa lengo lake kuu si kuwandeleza wazanzibari.

Lengo kuu la Seif ni kuitenga Zanzibar kutoka kwenye muungano na yeye kuwa sultan wa Zanzibar, tatizo ni kuwa hawezi kuwa sultan katika serikali ya muungano. He would really like to own black slaves and being worshiped like he is in Pemba. If he could be a sultan in the framework of the government of the united republic he would have been the main supporter of the union.

Yeye ni mzanzibari ana haki ya kuwa na maoni yake na muungano anaoupenda, lakini anatakiwa kukumbuka pia si kila mzanzabri anafikiri kama yeye. Kuna wengi wanakumbuka uchungu wa mikwaju ya masultan.

We ndo wale wenye vichwa vya samaki alosema Karume...yaani karne hii 21 unazungumzia Sultani! Ebo! Eti Seif anataka usultani? Hata hueleweki! Unahoji eti kwanini hawasaidii wazanzibar hivi sasa? Atasaidia nini na kwa vipi ikiwa njia zote kuu za kiuchumi zimebanwa na watanganyika kupitia muungano! Hivi hujui kwamba Zanzibar haina uwezo wakufanya mashirikiano na nchi yoyote au jumuiya yoyote ya kimataifa bila kupata kibali cha Tangayika? Hivi hujui kwamba hata rais wa Zanzibar akitaka kwenda nje kutafuta wawekezaji lazima apate kibali cha Membe?

Hili la kudai Zanzibar huru, ni mchango wake mkubwa na wamaana sana katika kwa wazanzibar, kwa hiyo wakati unajiuliza amefanya nini hivi sasa kwa ajili ya wazanzibar, jibu ni hili anawapigania nchi yao ili wapate kujiendesha kiuchumi na kisiasa! Na jee alifanya nini alipokuwa Waziri kiongozi...muulize Nyerere au Mwinyi au wazanzibar wenyewe watakwambia!

Ni wakati wake akiwa waziri kiongozi ndipo ule msemo wa "Zanzibar ni njema atakae aje" ulipoanza! 1984, wakati Tangayika mnagombea unga wa mahindi ya njano....mnapanga foleni kuuziwa sukar kwa idadi ya wanakaya (lakini isizidi kilo 2.5), mnakufa njaa, kule Zanzibar mambo ni shwari, neema tupu, watu wanakula wali kwa ulopikwa kwa samli ya mauwa! Wakati Tanganyika mnavaa nguo za vitambaa vya kaniki na mrekani, kule Zanzibar watu wanavaa nguo za vitambaa vya hariri, satini n.k! Wakati bara mnapanga foleni kupanda UDA, zanzibar watu wanachaguwa gari za abiria zakupanda! Hayo yamefanyika kipindi cha Seif, na kwenye siasa na utawala bora ndo usiseme, ni katika kipindi chake ndipo presidential decree ilipoondolewa na mahakama zilianza kufanya kazi, mwanzo watu wakiwekwa ndani kwa ambri ya rais kwisha! Mfano Akina Kassim Hanga na wenzake! Ni kwakudai kwake fursa zaidi za kiuchumi na kisiasa kwa Zanzibar kulikopelekea kulazimishwa kujivua uongozi, na hatimae kufukuzwa CCM na BABA YENU Nyerere!
 
Bablii,

..TV ya Zanzibar ilianza mwaka 1971/72.

..kwa msingi huo nyinyi mliamua kuwa na TV badala ya kuwekeza kwenye masuala ya msingi kama elimu[chuo kikuu, ufundi], viwanda, au miundombinu mingine.

..je, unaweza kutueleza ZNZ ilichangia kiasi gani ktk kuanzisha chuo kikuu cha mlimani pamoja na vingine??

..UDSM ilianzishwa na Tanganyika mwaka 1961 na tukakifanya sehemu ya London Univ. Mwaka 1963 kikawa sehemu ya University of East Africa. Mwaka 1970 Univ of East Africa ikavunjika na wanachama wa ushirika huo wakabakiwa na vyuo vyao. Je, unataka kusema ZNZ ilikuwa mshirika wa Univ of East Africa iliyoanzishwa 1963?? Ilijiunga lini na ushirika huo? Tawi la Univ of East Africa Zanzibar, lilikuwa ni chuo gani??
 
Hahaha imebidi nicheke...ndugu yangu unaojenga hoja kama mlevi! Hivi waZanzibar wanaonunuwa ardhi Tangayika au kuja Tangayika bila visa, ni kwa sababu ya hisani ya Tanganyika au sababu ya Muungano? Ukishajijibu swali hilo, utagunduwa kwamba huna sababu wala hoja ya kulalamika kwamba eti wa Zanzibar wanaingia Tanganyika bila vibali! Ebo, mbona waTanganyika kibao tu wanaingia na kutoka Zanzibar bila vibali, miaka 1980 mpaka 1999, ilikuwa bidhaa zote unazoziona k.koo zimeenda kununuliwa Zanzibar, mnaenda nakurudi! Ukienda hotel zote za kitalii huko Zanzibar, kuanzia Paje, Nungwi, Bwejuu, Kizimkazi nk wafanyakazi wake ni Watanganyika, darajani kumejaa wabongo wanauza vinyago, shanga, n.k! Sioni kosa la Mzanzibar wala fadhila ya Mtanganyika katika hilo, ndio muungano unavyoruhusu, sasa kama unaona unabanwa dai Tanganyika yako huru! Kwanini wewe unaebanwa ndie unaeng'ang'ania na kuweka vitisho!

Kabla ya Muungano wa huu, Zanzibar ilishakuwa na wasomi wengi tu, akina Professor Babu, Mazrui, nk! Wakati mawanasheria wa kwanza wa Tangayika huru alikuwa mzungu, Zanzibar ilipata uhuru na mwanasheria wake wa kwanza alikuwa mzanzibar! Uko sahihi, Zanzibar ndio nchi ya mwisho EA kuwa na chuo kikuu chake mwenyewe, lakini cha ajabu umeshindwa kuona sababu ya kutokea hilo.

Zanzibar ilipata uhuru 1963, mapinduzi 1964, na mwaka huo huo (1964) ikaingia kwenye muungano, muungano ambao ulipelekea Zanzibar kupoteza uwezo wake wakujiamulia mambo, na uwezo wakuleta maendeleao yake! Kupitia muungano huo, Watanganyika wakaimeza Zanzibar, wakaibana katika fursa zote, za kielimu, kiuchumi na kisiasa! Matokeo yake ndio hayo unayoyaona...kuchelewa kuwa na chuo kikuu, wazanzibar kukosa fursa za kiuchumi nchini mwao (mfanya biashara Zanzibar analipa kodi mara 2, TRA na ZRB)hivyo kupekelekea kuja Tangayika kwa wingi, kukosekana kwa miundo mbinu, kama umeme wake wenyewe, kwasababu kupitia muungano huu,Zanzibar haiwezi kufanya lolote la maendeleo yake bila kupata kibali kutoka Tanganyika!

Hayo matatizo au kasoro zote unazozieleza hapo juu kuhusu Zanzibar, zinatokana na muungano huu, ndio maana sasa wanasema " Tuacheni tupumuwe"! Hoja zako linganifu zingekuwa na mantiki kama tu Zanzibar ingekuwa inajiendesha yenyewe (iko huru)! Hivi kwa mfano unaweza kuniambia kwanini Mwl Nyerere alizuia ZZanzibar isijiunge na OIC? Ni wazi kwamba Zanzibar haihitaji kujiunga na jumuia yoyote ili kuongeza idadi ya waislama, tayari Zanzibar ina 98 % ya population ni waislam! Kwa hiyo kusema Zanzibar ilitaka iwe nchi ya kiislam sikweli! Ukipata jibu la swali hilo, ndo utajuwa to what extent maendeleo ya Zanziar yamebanwa na kupokwa na Tanganyika!

Ukae ukijuwa tu UDSM kilianza na fuculty moja tu ya sheria 1961 tena kikiwa chuo kishiriki cha chuo kikuu cha London (kama tawi tu la chuo kikuu cha London) kabla ya uhuru, baada ya uhuru kilikuwa ni tawi la EA university... UDSM kama UDSM (chuo kiku huru) kimeanza baada ya muungano, upanuzi mkubwa wa fuculties na collenge nyengine zilifuata baada ya muungano 1964, hivyo basi UDSM si chuo cha Tanganyika, ni chuo cha Tanganyika na Zanzibar (Tanzania), kama ilivyo BoT n.k, fedha za waZanzibar na mali zao, zilitumika katika kukijenga chuo hicho! Kwa mujibu wa muungano huu Elimu ya juu ni mambo ya muungano! So, Tanganyika haina chuo hata kimoja ambacho ni chao mali yao mpaka sasa hivi! Afadhali ya Zanzibar!

Ukivunjika muungano una hasara kubwa! Itakubidi uanze mwanzo, maana kila kilicho cha muunezgano tunagawana...lol! Mshukuru Maalim Seif anakupa alternative ya muungano wa MKATABA, huenda ukasalimika kupoteza vyote...maana tutapiga pasu BoT, NECTA, Vyuo vikuu vyote, Bandari, Mambo ya nje, n.k (yote yaliyo ya muungano). Samaki wenzio washaliona hilo, ndo maana wapo tayari kuwauwa wazanzibar lakini muungano usivunjike, wee piga kelele tu...!

Mkuu una maana gani unaposema kuwa Tanganyika imeizuia Zanzibar kuwa na maendeleo wakati unasema ina vyuo vingi kuliko Tanganyika, nani hapo ambaye amezuiwa kuendelea. Mwenye vyuo vingi au asiyekuwepo kabisa na hana vyuo?

Mkuu unajua kuwa Tanganyika imekufa? Haipo, haina serikali, haoina ardhi haina watu na haina uhai? Au huko Zanzibar mnafundishwa kuwa kunanchi inaitwa Tanganyika?

BOT ni mali Zanzibar na serikali ya Muungano, huoni kuwa Zanzibar na URT wananufaika lakini Tanganyika hata haipo kunufaika na hayo?

Unajua kuwa Zanzibar ni Independent state au semi autonomous country, kwa hiyo mambo yasiyo ya muungano yanayohusu maendeleo yake inajiamulia yenyewe? Why should mainlanders be scapegoats of ills down there?

Mkwanini mtanzania bara unamwita mtanganyika? na wamakonde wa huko Zanzibar, wamakua, wangoni, wasukuma, na wale walioletwa Zanzibar na kina Seif wakati wa biashara ya utumwa mnawaitaje, watanganyika, wanzibara au wakuja. Na wale waliokuja kutoka uarabuni unawaitaje?

Kama unaina Zanzibar ilikuwa na wasomi wengi kuliko Tanganyika na ina wasomi wengi sasa kuliko bara,
 
We ndo wale wenye vichwa vya samaki alosema Karume...yaani karne hii 21 unazungumzia Sultani! Ebo! Eti Seif anataka usultani? Hata hueleweki! Unahoji eti kwanini hawasaidii wazanzibar hivi sasa? Atasaidia nini na kwa vipi ikiwa njia zote kuu za kiuchumi zimebanwa na watanganyika kupitia muungano! Hivi hujui kwamba Zanzibar haina uwezo wakufanya mashirikiano na nchi yoyote au jumuiya yoyote ya kimataifa bila kupata kibali cha Tangayika? Hivi hujui kwamba hata rais wa Zanzibar akitaka kwenda nje kutafuta wawekezaji lazima apate kibali cha Membe?

Hili la kudai Zanzibar huru, ni mchango wake mkubwa na wamaana sana katika kwa wazanzibar, kwa hiyo wakati unajiuliza amefanya nini hivi sasa kwa ajili ya wazanzibar, jibu ni hili anawapigania nchi yao ili wapate kujiendesha kiuchumi na kisiasa! Na jee alifanya nini alipokuwa Waziri kiongozi...muulize Nyerere au Mwinyi au wazanzibar wenyewe watakwambia!

Ni wakati wake akiwa waziri kiongozi ndipo ule msemo wa "Zanzibar ni njema atakae aje" ulipoanza! 1984, wakati Tangayika mnagombea unga wa mahindi ya njano....mnapanga foleni kuuziwa sukar kwa idadi ya wanakaya (lakini isizidi kilo 2.5), mnakufa njaa, kule Zanzibar mambo ni shwari, neema tupu, watu wanakula wali kwa ulopikwa kwa samli ya mauwa! Wakati Tanganyika mnavaa nguo za vitambaa vya kaniki na mrekani, kule Zanzibar watu wanavaa nguo za vitambaa vya hariri, satini n.k! Wakati bara mnapanga foleni kupanda UDA, zanzibar watu wanachaguwa gari za abiria zakupanda! Hayo yamefanyika kipindi cha Seif, na kwenye siasa na utawala bora ndo usiseme, ni katika kipindi chake ndipo presidential decree ilipoondolewa na mahakama zilianza kufanya kazi, mwanzo watu wakiwekwa ndani kwa ambri ya rais kwisha! Mfano Akina Kassim Hanga na wenzake! Ni kwakudai kwake fursa zaidi za kiuchumi na kisiasa kwa Zanzibar kulikopelekea kulazimishwa kujivua uongozi, na hatimae kufukuzwa CCM na BABA YENU Nyerere!

Sawa Mkuu ni kweli Zanzibar inatawaliwa na Tanganyika, na ni kweli wewe una akili sana, na mimi ninakichwa kama samaki kama alivyosema Karume, na Seif na mchango mkubwa sana kwenye maendeleo ya Zanzibar, na ni kweli Zanzibar imeendelea sana kuliko bara, na wazanzibar wamesoma sana kuliko wabara. Hata mapinduzi hayakuwa na maana.
 
Mkuu una maana gani unaposema kuwa Tanganyika imeizuia Zanzibar kuwa na maendeleo wakati unasema ina vyuo vingi kuliko Tanganyika, nani hapo ambaye amezuiwa kuendelea. Mwenye vyuo vingi au asiyekuwepo kabisa na hana vyuo?

Mkuu unajua kuwa Tanganyika imekufa? Haipo, haina serikali, haoina ardhi haina watu na haina uhai? Au huko Zanzibar mnafundishwa kuwa kunanchi inaitwa Tanganyika?

BOT ni mali Zanzibar na serikali ya Muungano, huoni kuwa Zanzibar na URT wananufaika lakini Tanganyika hata haipo kunufaika na hayo?

Unajua kuwa Zanzibar ni Independent state au semi autonomous country, kwa hiyo mambo yasiyo ya muungano yanayohusu maendeleo yake inajiamulia yenyewe? Why should mainlanders be scapegoats of ills down there?

Mkwanini mtanzania bara unamwita mtanganyika? na wamakonde wa huko Zanzibar, wamakua, wangoni, wasukuma, na wale walioletwa Zanzibar na kina Seif wakati wa biashara ya utumwa mnawaitaje, watanganyika, wanzibara au wakuja. Na wale waliokuja kutoka uarabuni unawaitaje?

Kama unaina Zanzibar ilikuwa na wasomi wengi kuliko Tanganyika na ina wasomi wengi sasa kuliko bara,

Ingekuwa hivyo unavyosema, basi saa hizi waTanganyika ndio amabo wangekuwa wanadai muungano uvunjike! Lakini ukweli si hivyo, Tumeungana, muungano wa kiini macho, Tanzania ndio Tanganyika! Tanganyika inanufaika na kufaidika 99% ya kila kilicho cha muungano! Imebadili jina tu, kutoka Tanganyika kuwa Tanzania, kila kilicho cha muungano kinahodhiwa na watanganyika! Na hata yale yasiyo ya muungano bado hayafanywi bila maamuzi ya watanganyika!

Uwepo wa muungano huu ndio faida ya utapeli wafanyao wa Tanganyika, kubadili jina kujiita Tanzania (hata sherehe za 9, december wanasema ni uhuru wa Tanzania, shame on you), lakini ukivunjika tu muungano huu...basi ndio hasara ya utapeli wenu huo, kwani Zanzibar itadai kila kilicho cha muungano kigaiwe, ubaya Tanganyika! Itabidi ianze upya, kama inapata uhuru leo! Hili ndilo linalowatia hofu! Hapo ndipo mnapomuona Seif adui!

Zanzibar si Independent state wala semi autonomous country...ni koloni la Tanganyika, iliobadili jina kujiita Tanzania! Zanzibar haina uwezo wa kufanya lolote, mambo yote ya maana yanayoitambulisha nchi kama nchi, na yanayoifanya nchi ijiendeshe kiuchumi yameingizwa kwenye kuungano, yanasimamiwa na kuendeshwa na watanganyika!Mfano, unasema elimu ya primary na sekondari si muungano...lakini mitihani inatungwa bara na kusimamiwa na NECTA? Eti biashara si muungano, lakini serkali hairuhusiwi kufanya biashara yoyote kimataifa (haina ruhusua ya kuwa na mahusiano ya kimataifa) bila kupata kibali cha Tanganyika! Ni autonomous gani unayozungumzia?
 
Bablii,

..usitutishe.

..nyinyi jikateni tu na ZNZ yenu.

..kitakachotokea huku Tanganyika should not be ur concern.

..sisi tutarudi kuwa Tanganyika kwa azimio la bunge la muungano wa Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mdada mmoja leo kwenye taarifa ya habari nilimwona akihojiwa akihitaji serikali nne (serikali ya Muungano, Unguja, Pemba na serikali ya Muungano)

Mimi nilikuwepo katika tukio na nimeona live huyu mdada hakuwa mmoja walikua wawili ni Bi Kalunde na Bibi Agnes. Tangu umeanza ukusanyaji wa maoni ni wao pekee hadi sasa waliotoa maoni ya aina hiyo. Jiulize kwanini iwe (Kalunde na Agnes) kutoka Tanganyika na isiwe kwa Seif, Juma, Asha au Fatma kutoka Zanzibar (Unguja+Pemba)!!!
 
Back
Top Bottom