Muungano wa nini?
Nawashauri vunjeni muungano waache kula vya muungano bure
- Wana bendera yao
- Wana Rais wao
- Wana wimbo wa taifa lao
- Tulivyo mazezeta tunadhani ni ule muungano wa mwanzo!
- Mbunge anawakilisha kama watu 150 tu wakati bara mbunge anawakilisha maeru ya watu
- Wazanzibar wanasomeshwa bure na pesa ya muungano wakati wa bara mnapewa kama mkopo
- Hivi tumelogwa?
[/CENTER]
1) SUK imo katika ilani ya CUF 2010 - 2015. Kwa hiyo Seif kuendelea kuwemo kwenye serikali ni kutekeleza ilani ya chama chake
2) Harakati za sasa ni za kisiasa zaidi ndio maana wazo lako la viongozi kujiuzulu halaina mantiki
3) Unawashauri vipi CHADEMA na vyama vingine wanaotaka serikali tatu pia? Watoke kwenye bunge la Jamhuri na wawavue madaraka viongozi wote wa CDM Zanzibar kwenye nafasi zao?
Tanganyika lilikufa jina tu lakini imo ndani ya Tanzania. Zanzibar lipo jina lakini yenyewe haipo. Ndio maana ya kutafuta ni Zanzibar tu.
Tanganyika lilikufa jina tu lakini imo ndani ya Tanzania. Zanzibar lipo jina lakini yenyewe haipo. Ndio maana ya kutafuta ni Zanzibar tu.
To be honest naipenda Zanzibar iwe huru wawe na uhuru wao kamili wajiamulie mambo yao wenyewe na sisi Tanganyika yetu Irudi tutakuwa kama Russia na Zanzibar ni Georgia tutaishi bega kwa bega TUTASHIRIKIANA KAMA KAWAIDA KIUCHUMI NA KIBIASHARA KAMA ILIVYO sOUTH AFRIKA NA LESOTHO
Huyu Seif ndio mwanzo wa Matatizo yaliyo mengi ya Wazanzibar maana haeleweki sasa kwa nini amefunga ndoa na CCM? Wazanzibar huyu mtu mwogopeni kama ukoma eti.
Mwanakijiji, labda punguza ushabiki (uumini wa wako juu ya Nyerere na yote aloyafanya) na upunguze chuki juu ya Wazanzibar wanaodai haki yao ya kujitawala, kwakufanya hivyo utaweza kufikiri kwa akili yako ya kawaida na utaweza kujenga hoja zenye mantiki, sio upuuzi huu uloweka hapa!
Ahsante