Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
- Thread starter
- #121
Unaonaje ukimshauri kamanda wako aje UK kukanusha?napata shida kidogo kuamini hii kitu kama inawezekana ikawa ni issue ya ubakaji maana mi kwa miaka yangu kumi hapa London nawajua sana police wa hapa jinsi wasivyo na dogo tena kwa kosa kubwa kama hilo la kutaka kubaka.
kama kweli issue ingekuwa kubwa kama hiyo basi lukosi angefuatwa na police na wangeenda kumuhoji kwa kuwa yeye alikuwa mwenyeji wake...nimeshashuhudia mshkaji wangu akipata matatizo makubwa sana mpk kumpelekea kufungwa kwa sababu tu msichana wake aliwapigia simu police kuwa jamaa kambaka wakati jamaa hakumbaka na walifanya mapenzi kwa ridhaa.
na kwa kuwafahamisha tu ni kuwa police wa hapa huwa hawafungi kesi au kuiachia tu hewani kijinga...kesi kama hiyo hata kama wewe uliyetaka kubakwa ukaamua kuiacha basi wenyewe huwa wanaendelea nayo mpk mwisho na kuitolea maamuzi...lukosi unajua sheria za hapa uk zilivyo,unataka kuwaaminisha watu kuwa ulipata usumbufu wa simu na email peke yake?....nakushauri uache uongo wa kitoto kwa kuwafanya watu wajinga hapa jamvini
Halafu yeye si ndio mlezi wa tawi la Chadema UK. hivyo inabidi aje kuwatembelea makamanda au sio?
Hawa ndio mnawaita viongozi tena kuna mtu alisema huyu ndio waziri wa mambo ya ndani wa chadema.