Tena hao majina yanafahamika! ICICI Bank wakibanwa na watu wetu wanaweza kutoa siri za kushangaza!
Bado waliowekeza india kwa kutumia Wahindi walioko hapa.ICICI Bank,Bank of Baroda nk.
Hiyo tu, ni hint. Nikiendelea si hint tena, na as usual, watu watameza bila kusoma katikati ya mistari.
Wamebakia kusema maneno mengi bila kuonyesha evidence
Mkuu wanaomchukia JK si kwasababu ya utendaji mbovu per see wako makundi yafuatayo
a. Wanaosukumwa na hisia kwa kuumizwa e.g. waathirika wa ufisadi hapa utakuta kundi chungu nzima lowassa, mramba, etc
You will be dead before the truth comes out, why don't you go and get it if you do have accessAs a tip: Kuna 'mafia' kadhaa toka Tanzania wamelimbiliza fedha nyingi huku. Ni zaidi ya EPA. Kuna siku itafumuka tu, Mungu anipe uhai!
Thanks Invisible!!!!!!!