Secrets of Swiss Banking - Kitabu

yah, ila kesi kama za babu seya na yule mangi pale moshi ni kazi ya nani?

Huyo "mangi: simjui wala sijui kesi yake, fafanua.

Babu Seya, hakimu alikuwa Kikwete? mikanda ya video akifanya ngono na watoto wa shule aliitengeneza Kikwete? na wale watoto wote waliokuwa wanakwenda kutoa ushahidi walitayarishwa na Kikwete?

Isome hapa hukumu ya Babuseya iliwekwa humu na wewe ukiwa tayari umo JF, ni nini usichokielewa?: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/52872-hukumu-ya-babu-seya-hii-hapa.html

Usiongee kama punguani, kuwa mkweli.
 
Sheria ipi hiyo na wangapi walisamamishwa kwa rushwa kizimbani wakati wa Nyerere? usiandikie mate kama wino unao.
Nimeeleza hapo jinsi sheria ile ilivyokuwa ikifanya kazi. Chenge angesimamishwa mahakamani akatoa ushahidi wa namna alivyozipata fedha zile. Isingekuwa kazi ya TAKUKURU kama ilivyo sasa kutafuta ushahidi. Wakati wa Mwalimu rushwa za wazi na kubwa kiasi hazikuwepo. Hotuba yake pale Kilimanjaro Hotel ulipata kuisikia? Mnyimeni sifa zote Mwalimu mkitaka lakini hili la kusimamia rasilmali za nchi hana mfanowe.
 
Nimeeleza hapo jinsi sheria ile ilivyokuwa ikifanya kazi. Chenge angesimamishwa mahakamani akatoa ushahidi wa namna alivyozipata fedha zile. Isingekuwa kazi ya TAKUKURU kama ilivyo sasa kutafuta ushahidi. Wakati wa Mwalimu rushwa za wazi na kubwa kiasi hazikuwepo. Hotuba yake pale Kilimanjaro Hotel ulipata kuisikia? Mnyimeni sifa zote Mwalimu mkitaka lakini hili la kusimamia rasilmali za nchi hana mfanowe.

Hiyo sheria ni ipi? lini ilifutwa na imefutwa na sheria ipi na mbadala kuna sheria ipi? unaongelea sheria halafu unanipa porojo za Kilimanjaro Hoteli? kuwa makini kidogo!
 
Huyo "mangi: simjui wala sijui kesi yake, fafanua.

Babu Seya, hakimu alikuwa Kikwete? mikanda ya video akifanya ngono na watoto wa shule aliitengeneza Kikwete? na wale watoto wote waliokuwa wanakwenda kutoa ushahidi walitayarishwa na Kikwete?

Isome hapa hukumu ya Babuseya iliwekwa humu na wewe ukiwa tayari umo JF, ni nini usichokielewa?: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/52872-hukumu-ya-babu-seya-hii-hapa.html

Usiongee kama punguani, kuwa mkweli.

kamanda

mimi ni mtu wa kawaida sana tu, ila mmbeya kweli, ukibanwa kwenye viroja unakimbilia document za public (which we all know hata mlizogawana last week ni za uongo), ukibanwa kwenye ukweli unakimbilia speculations and vitisho

WANANCHI WA KAWAIDA TUNAONGEZEKA NA KUONGEZA UPEO WA KUSOMA NA KUPATA TAARIFA, HANGAIKENI WEEEEE, KUNA SIKU "DOCTORINGS" ZITATOKA IN SERIES

Kwani kuna versions ngapi za bajeti analysis ya mwaka uliopita?? au ripoti nyingine nyingi tu hata za mambo madogo yasiyo wala na national security interest??

Bro.... its porous and let me leave it here, siku hizi hata humu naona ni kudanganyana na decoy za kijinga tu kwa mnasambaza wenyewe halafu badae mnarukana kimanga

I WISH....

kwaheri
 
kamanda

mimi ni mtu wa kawaida sana tu, ila mmbeya kweli, ukibanwa kwenye viroja unakimbilia document za public (which we all know hata mlizogawana last week ni za uongo), ukibanwa kwenye ukweli unakimbilia speculations and vitisho

WANANCHI WA KAWAIDA TUNAONGEZEKA NA KUONGEZA UPEO WA KUSOMA NA KUPATA TAARIFA, HANGAIKENI WEEEEE, KUNA SIKU "DOCTORINGS" ZITATOKA IN SERIES

Kwani kuna versions ngapi za bajeti analysis ya mwaka uliopita?? au ripoti nyingine nyingi tu hata za mambo madogo yasiyo wala na national security interest??

Bro.... its porous and let me leave it here, siku hizi hata humu naona ni kudanganyana na decoy za kijinga tu kwa mnasambaza wenyewe halafu badae mnarukana kimanga

I WISH....

kwaheri

Umekosa hoja? kwi kwi kwi teh teh teh! Hukumu zote za kesi ni public documents, for your information!
 
Kufungwa au kutokungwa sio kazi ya Kikwete, ni kazi ya mhimili wa dola unaoitwa Mahakama. Mimi hapa naongelea anayoyafanya Kikwete.

Isitoshe, wapo wengi tu, zaidi ya hao watano uwatakao. Kwa kuanzia tu haraka haraka kabla sijaenda mbali nakupa sita, ni mmoja zaidi ya uwatakao, ukitaka nikuongeze wengine sema tu.:hawa wanne: Hawa wawili:
Hilo kwenye red labda iwe unifahamisha tu, na asante sana, lakini mimi sikulisema.
Kuhusu hao waliofungwa. nashukuru kwa kuweka "uthibitisho," ndicho nilichotaka kujua - Kodos! Hata hivyo, sioni uhusiano wa hawa waliofungwa mada ya leo - Secrets of Swiss Banking.
 
Umekosa hoja? kwi kwi kwi teh teh teh! Hukumu zote za kesi ni public documents, for your information!

sasa ikawaje wewe kurudi kwenye viroja/..... kwikwikwi...

note the trend, tunaenda sawa tu, and you know it
 
Hiyo sheria ni ipi? lini ilifutwa na imefutwa na sheria ipi na mbadala kuna sheria ipi? unaongelea sheria halafu unanipa porojo za Kilimanjaro Hoteli? kuwa makini kidogo!
Unajua PCCB ya sasa sio ile PCB alioianzisha Mwalimu? Hebu fuatilia kwa makini sheria ya Bunge iliyoianzisha Taasisi hii na mabadiliko yake. Hotuba ya Mwalimu Kilimanjaro Hotel ni porojo!? Jifunze kumkataa Mwalimu kama binadamu lakini nguvu ya hoja zake wala hauwezi kukabiliana nazo.
 
Unajua PCCB ya sasa sio ile PCB alioianzisha Mwalimu? Hebu fuatilia kwa makini sheria ya Bunge iliyoianzisha Taasisi hii na mabadiliko yake. Hotuba ya Mwalimu Kilimanjaro Hotel ni porojo!? Jifunze kumkataa Mwalimu kama binadamu lakini nguvu ya hoja zake wala hauwezi kukabiliana nazo.

Kuwa na nguvu ya hoja haina maana ndio ukweli ina maana ni mpiga porojo wa hali ya juu, unaeweza kumuuzia mueskimo barafu.

Hicho kitengo cha "anti corruption" cha Maftah? kwi kwi kwi teh teh teh, hiyo aliivunjilia mbali Mwinyi, ilikuwa haina faida yoyote, ndiyo iliifanya rushwa ikithiri.
 
Hilo kwenye red labda iwe unifahamisha tu, na asante sana, lakini mimi sikulisema.
Kuhusu hao waliofungwa. nashukuru kwa kuweka "uthibitisho," ndicho nilichotaka kujua - Kodos! Hata hivyo, sioni uhusiano wa hawa waliofungwa mada ya leo - Secrets of Swiss Banking.

Ukisoma post yangu #13 ukafata na links nilizoweka humo utanielewa nimeanzia wapi kuhusu hii mada ya leo.
 
Kuwa na nguvu ya hoja haina maana ndio ukweli ina maana ni mpiga porojo wa hali ya juu, unaeweza kumuuzia mueskimo barafu.

Hicho kitengo cha "anti corruption" cha Maftah? kwi kwi kwi teh teh teh, hiyo aliivunjilia mbali Mwinyi, ilikuwa haina faida yoyote, ndiyo iliifanya rushwa ikithiri.
Taasisi hii imevunjwa na kurekebishwa mara nyingi tangu Mwalimu alipoondoka madarakani na hivyo kuifikisha hapo ilipo sasa kama mbunge mmoja alivyosema juzi iko kama vikatuni vile vinavyofungwa kwenye mashamba ya mpunga. JK ndio kaibadili kabisa mwaka 2007 kwa ile Act No. 11/2007 akaipa na jina refu la sasa.
 
Taasisi hii imevunjwa na kurekebishwa mara nyingi tangu Mwalimu alipoondoka madarakani na hivyo kuifikisha hapo ilipo sasa kama mbunge mmoja alivyosema juzi iko kama vikatuni vile vinavyofungwa kwenye mashamba ya mpunga. JK ndio kaibadili kabisa mwaka 2007 kwa ile Act No. 11/2007 akaipa na jina refu la sasa.

Na ndio hiyohiyo inayowakamata na kuwafungulia mashtaka wengi sana kwa rushwa kuliko wakati wowote ule. There is always room to improve, lakini mpaka sasa ingawa ni wapya, kama ulivyosema kuanzia 2007 tu, wameshafanya makubwa kuliko wakati wowote wa kabla na wanaendelea.\

Mimi huwa nawaambia siku zote humu JF, hakuna kingozi aliyefanya mengi mema kama Kikwete kwa nchi hii tena kwa kiwango ambacho hakijafikiwa na Rais yeyote wa kabla yake, na mengine mengi hata ukiwachanganya wote kwa pamoja hawajamfikia ya Kikwete kwa muda mfupi sana.

Mpande mshuke, ukweli unabaki kuwa ukweli, haubadiliki!
 
Na ndio hiyohiyo inayowakamata na kuwafungulia mashtaka wengi sana kwa rushwa kuliko wakati wowote ule. There is always room to improve, lakini mpaka sasa ingawa ni wapya, kama ulivyosema kuanzia 2007 tu, wameshafanya makubwa kuliko wakati wowote wa kabla na wanaendelea.\

Mimi huwa nawaambia siku zote humu JF, hakuna kingozi aliyefanya mengi mema kama Kikwete kwa nchi hii tena kwa kiwango ambacho hakijafikiwa na Rais yeyote wa kabla yake, na mengine mengi hata ukiwachanganya wote kwa pamoja hawajamfikia ya Kikwete kwa muda mfupi sana.

Mpande mshuke, ukweli unabaki kuwa ukweli, haubadiliki!

Wamebakia kusema maneno mengi bila kuonyesha evidence

Mkuu wanaomchukia JK si kwasababu ya utendaji mbovu per see wako makundi yafuatayo

a. Wanaosukumwa na hisia kwa kuumizwa e.g. waathirika wa ufisadi hapa utakuta kundi chungu nzima lowassa, mramba, etc

b. Wanaosukumwa na hisia za udini e.g. chadema, maaskofu hawana sababu ya msingi japo anajipendekeza kwao day and night

c. Bendara fuata upepo hawa ni wale wasio weza ku-reason wenyewe wanafuata kikundi a na b..
 
Nyuzi kama hii ndipo nnapopata fursa ya kumsifu Kikwete, kabla Invisible hajatuwekea humu hiki kitabu, Kikwete kaanza kulifanyia kazi zamani sana na nivyema mpaka leo (2008) elimu imewafikia kina Invisible na wanaanza kuwatanabahisha na wengine, ingawa Invisible yupo miaka miwili nuyma lakini hii ni kazi ya kuendelea na nampongeza kwa kuiunga mkono kwa kutowa elimu kama hii aliyotuwekea.

Kikwete hii kazi aliianza na kuifanya kwa kubadilisha sheria humu ndani ya nchi zinazohusiana na utoroshaji wa fedha na rushwa, hakuishia hapo akakazania sana kuhusu sheria ya Umoja wa Mataifa itakaruhusu fedha zilizopo nje ya Afrika za Waafrika ziwekwe wazi na kurudishwa ikigundulika hazijapatikana kihalali, hata juzi juzi alilisemea sana alipokuwa Arusha kwenye mkutano wa majaji wa jumuiya madola.

Alilitilia mkazo pia walipokutana na wakuu wa kuzuia rushwa afrika mashariki.

Sasa japo tunaona manufaa ya kazi yake, angalau tunajuwa ziko ngapi hapo Uswisi tu na bado zipo nje kwingine kwingi na nyingi tu nna uhakika Kikwete haziachi hizo, kama alivyorudisha fedha za rada na hizi zitarudi tu.

Hapo ndipo nnapompendea Kikwete, nyie semeni yeye anafanya.

Kuwakumbusha tu kuwa kazi hii kaianza zamani na leo mna matunda yake nimewawekea links tofauti hapa chini mjikumbushe:

http://www.google.com/url?sa=t&rct=j...vFP36w&cad=rja

Kenya: Kikwete calls for uniform tax system in East Africa

Zimefichuka » Blog Archive » KIKWETE’S CAMPAIGN AGAINST CORRUPTION PROMISING

Kikwete on money laundering and corruption - Google Search[+Arusha

una ubia na JK, au umeajiriwa kwa kazi ya kumsafisha. tangu lini akafukua jambo ambalo wananchi hawajalivalia bango. JK tunamjua vizuri na watu wake wanaeleweka. Acha watu waweke vitu adharani, watanzania wajue ukweli.
watanzania sio wadanganyika tena.
 
una ubia na JK, au umeajiriwa kwa kazi ya kumsafisha. tangu lini akafukua jambo ambalo wananchi hawajalivalia bango. JK tunamjua vizuri na watu wake wanaeleweka. Acha watu waweke vitu adharani, watanzania wajue ukweli.
watanzania sio wadanganyika tena.

Wewe weka upendavyo na sisi tunaweka mafanikio yake, na hayo huwezi kuyafananisha na Rais mwengine yeyote wa Tanzania wa kabla yake. Huwezi, huwezi, huwezi!

Nakuuliza swali; wewe upo kundi lipi kati ya makundi aliyoyataja Topical
 
Last edited by a moderator:
Pole na kazi mkubwa. Mi ni new commer kwenye mada lakini imenigusa saana yan mpaka napata hasira, Naomba nikurudishe nyuma kidogo unajua Tz yetu inaviongoz wanaojua kuongea na wala si kutendea kazi wanachokiongea swala la Epa liko wapi hadi leo? Naomba unikumbushe mkuu.
 
Duh! nimeamini kuna wa2 hum jf washakula kiapo cha kumstili mweshiwa jk lakini ukweli utabaki palepale, vyama pinzani ndo mwanzo wa kuona wewe ukaanza kuyajua haya baada kuwekwa peupe na vyama pinzani bisha usibishe.
 
Back
Top Bottom