love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 713
Boss yeyote tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina uzoefu wa kazi karibu miaka 10 na nimefanya ktk stationary&NGO. Mshahara usiwe chini ya 400,000~350,00 hapo ukiwa ushatolewa makato ya serikali&NSSF. Muda wa kazi ni kama zilivyo sheria za ajira 8asb~10jioni. Overtime ikiwezekana izingatiwe.
Jumamosi ni nusu siku ama Jumamosi & Jumapili sio siku za kazi. Sikukuu zozote za kidini&Serikali zizingatiwe. Napatikana Arusha vijijini, Arumeru Magharibi.
PM KWA MAELEZO ZAIDI.
Nina uzoefu wa kazi karibu miaka 10 na nimefanya ktk stationary&NGO. Mshahara usiwe chini ya 400,000~350,00 hapo ukiwa ushatolewa makato ya serikali&NSSF. Muda wa kazi ni kama zilivyo sheria za ajira 8asb~10jioni. Overtime ikiwezekana izingatiwe.
Jumamosi ni nusu siku ama Jumamosi & Jumapili sio siku za kazi. Sikukuu zozote za kidini&Serikali zizingatiwe. Napatikana Arusha vijijini, Arumeru Magharibi.
PM KWA MAELEZO ZAIDI.