Salaam wana jamvi
kesho ndiyo siku inayotarajiwa board kutoa awamu ya pili
samahani wakuu kwa wale waliopata awamu ya kwanza account zenu zilianza kubadilika siku hiyo hiyo walipotangaza?
maana naona ujumbe ni ule ule WAIT FOR ALLOCATION PROCESS
Nahisi alhamis jionkama wote wanaokosa wanakuwa hawajakidhi vigezo basi uwezekano wa kupata ni mkubwa
Walitangaza wapi 🥲 sitaki kuamini nimekosa tena jamaniYah zilibadilika kabla ya ata kutangaza pindi wanatangaza watu teyar wanaallocation zao mkononi
You're hatedthemostWalitangaza wapi 🥲 sitaki kuamini nimekosa tena jamani
Usikate tamaa kiongozi subiri kesho Wenda Mambo yakajipahongera sana kwao,uwenda si wakati wetu kupewa
wlhi dah
Usikate tamaa kiongozi subiri kesho Wenda Mambo yakajipa
masters vipi? kuna yeyote aliyepata??Salaam wana jamvi
kesho ndiyo siku inayotarajiwa board kutoa awamu ya pili
samahani wakuu kwa wale waliopata awamu ya kwanza account zenu zilianza kubadilika siku hiyo hiyo walipotangaza?
maana naona ujumbe ni ule ule WAIT FOR ALLOCATION PROCESS
masters vipi? kuna yeyote aliyepata??
Upo shekheKuna mkopo wa Masters siku hizi?
Upo, wanatoaKuna mkopo wa Masters siku hizi?