Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,500
- 8,496
- Thread starter
- #21
Ukiwa na mawazo ya namna hii utaishia kutazama hiyo fursa. Wenzako wanaapply wenye qualification zao. Umeambiwa tuma CV hiyo ni email ya Prof. wa hicho chuo hapa hatujaja kucheza.Hawa na wale wazee wa iyo Pesa tuma kwa No hii ni kama chupi na tako