DOKEZO Scam Alert: Kalynda E-Commerce Investment ni Qnet Inayochipukia, ITV watumika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nobunaga

JF-Expert Member
Mar 22, 2019
1,169
4,986
Utapeli wa mtandaoni ndiyo habari ya mjini kwa sasa. Kuna aina nyingi sana huu utapeli wa huko mitandaoni. Ukiachana na wale wazee wa "Hiyo pesa tuma kwenye namba hii", kuna huu utapeli mpya ulioingia wa kuwakusanya vijana kisha kuwaaminisha kuna kampuni fulani inatoa commission unapofanya mambo flani flani huko online, ila kujiunga lazima uwe na kianzio kiasi kadhaa.


Hivi majuzi tuliona habari iliyorushwa na ITV kupitia kipindi chao cha "Ripoti Maalumu" ambapo walionesha makundi kwa makundi ya vijana waliosombwa huko vijijini na kupelekwa Dar wakiaminishwa kuna biashara mtandao wanayoenda kufanya ambayo itawapatia utajiri ndani ya muda mfupi.


Baada ya hiyo kampuni hewa ya utapeli kuumbuliwa sasa kuna kampuni nyingine ya utapeli wa aina hiyo inayoibukia kwa kasi kwenye miji mbalimbali hapa nchini, huku waathirika wakubwa wakiwa na vijana.

Hizi kampuni zipo nyingi sana, lakini hii ndiyo ambayo naona imeshika kasi maana nimekutana na watu kadhaa walionishawishi nijiunge, huku wakiwa hawajui tayari wameshatapeliwa.


Hivyo kama una ndugu au rafiki ambaye yupo kwenye huu msururu wa Kalynda Investment basi muambie wanaenda kupigwa za uso mchana kweupee, hakuna biashara ya namna hii, wote wataishia kutapeliwa pesa zao tuu.
IMG_20220912_150034.jpg


IMG_20220912_150207.jpg


IMG_20220912_164022.jpg


------------------
FEEDBAKS ZA WADAU
 
Wajinga hawawezi kuisha. Watapigwa tena, na watalalamika tena na likija lingine watapigwa tena.

Wajinga hawawezi kuisha, ni sheria ya asili.
Huo ndo ukweli wenyewe. Online scam ni nyingi Sana na watu hawakomi.

Aisee watu wanalizwa Sana. Scam nyingi zimewkeza kwenye kutamanisha watu easy and fast 💰

Hapo ndo mtego wengi wanaingia kichwa kichwa na kupigwa vibaya Sana. Wanafilisika.


Hizi scam ziko sambamba na betting.
 
Kuna mtu alinitumia hii kitu majuzi. Kumbe...

Hii ni company inajihusisha na ecommerce .. yaan kufanya kazi mitandaoni na kulipwa malipo yko...
Kazi hii iko hvi:-

Unajiunga kwa kupitia link ambayo nitakutumia mm... Then ukishajisajili unwekeza kiwango cha fedha. (Mwanzo ni kuanzia 20000 na kuendelea) hii iko level mbili mpka ss.. inaitwa vip 1 na vip 2.

Ukishawekeza hyo hela ss ww kazi unayotakiwa kufanya ni kuingia (login) ktk hyo tovuti yao.. na kuanza kuzipa bidhaa 20 nyota 5 na kuipa sifa hyo bidhaa (Kampuni hii inashirikiana na shoppingonline 4)

Na kulipwa inalingana na kieango chako cha uwekezaji.. km utaekeza 50000 bas kila ukiingia na kufanya hyo kazi utaipwa 2000 na kila pesa unapozidi na malipo pia huongezeka.

Chengine ni pale unapomuunga mtu kupitia link yako bas utalipwa percent kadhaa kila anapofanya hyo kazi yake. Na utakapoingiza watu watano tu bas wanakupa fursa ya kuingia vip2 ambayo nayo ni kuanza kuekeza kuanzia laki 2 mpka million. Na ukitimiza hapo wanakupa laki 5 ya kufungua ofisi yako nchini tz ili uwe km ni wakala wa kylinda.

Ukiwa na suali lolote usisite kuniulizaaa.

Shukran
IMG-20220915-WA0036.jpg
 
Kuna mtu alinitumia hii kitu majuzi. Kumbe...

Hii ni company inajihusisha na ecommerce .. yaan kufanya kazi mitandaoni na kulipwa malipo yko...
Kazi hii iko hvi:-

Unajiunga kwa kupitia link ambayo nitakutumia mm... Then ukishajisajili unwekeza kiwango cha fedha. (Mwanzo ni kuanzia 20000 na kuendelea) hii iko level mbili mpka ss.. inaitwa vip 1 na vip 2.

Ukishawekeza hyo hela ss ww kazi unayotakiwa kufanya ni kuingia (login) ktk hyo tovuti yao.. na kuanza kuzipa bidhaa 20 nyota 5 na kuipa sifa hyo bidhaa (Kampuni hii inashirikiana na shoppingonline 4)

Na kulipwa inalingana na kieango chako cha uwekezaji.. km utaekeza 50000 bas kila ukiingia na kufanya hyo kazi utaipwa 2000 na kila pesa unapozidi na malipo pia huongezeka.

Chengine ni pale unapomuunga mtu kupitia link yako bas utalipwa percent kadhaa kila anapofanya hyo kazi yake. Na utakapoingiza watu watano tu bas wanakupa fursa ya kuingia vip2 ambayo nayo ni kuanza kuekeza kuanzia laki 2 mpka million. Na ukitimiza hapo wanakupa laki 5 ya kufungua ofisi yako nchini tz ili uwe km ni wakala wa kylinda.

Ukiwa na suali lolote usisite kuniulizaaa.
ShukranView attachment 2359862
Hahaha huyu akimualika yule na yule akimualika yule ayayayayaya utajir huu hapa

Alisikika mtoa semina wa biashara za mtandaoni

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu alinitumia hii kitu majuzi. Kumbe...

Hii ni company inajihusisha na ecommerce .. yaan kufanya kazi mitandaoni na kulipwa malipo yko...
Kazi hii iko hvi:-

Unajiunga kwa kupitia link ambayo nitakutumia mm... Then ukishajisajili unwekeza kiwango cha fedha. (Mwanzo ni kuanzia 20000 na kuendelea) hii iko level mbili mpka ss.. inaitwa vip 1 na vip 2.

Ukishawekeza hyo hela ss ww kazi unayotakiwa kufanya ni kuingia (login) ktk hyo tovuti yao.. na kuanza kuzipa bidhaa 20 nyota 5 na kuipa sifa hyo bidhaa (Kampuni hii inashirikiana na shoppingonline 4)

Na kulipwa inalingana na kieango chako cha uwekezaji.. km utaekeza 50000 bas kila ukiingia na kufanya hyo kazi utaipwa 2000 na kila pesa unapozidi na malipo pia huongezeka.

Chengine ni pale unapomuunga mtu kupitia link yako bas utalipwa percent kadhaa kila anapofanya hyo kazi yake. Na utakapoingiza watu watano tu bas wanakupa fursa ya kuingia vip2 ambayo nayo ni kuanza kuekeza kuanzia laki 2 mpka million. Na ukitimiza hapo wanakupa laki 5 ya kufungua ofisi yako nchini tz ili uwe km ni wakala wa kylinda.

Ukiwa na suali lolote usisite kuniulizaaa.
ShukranView attachment 2359862
Hizi mambo utabidi uwe na elimu kwa vile bado tuko hai .utakuja kukumbuka maneno yangu kama kama tukiwa hai maana sidhani Kama mwakani muda kama huu utafiki kweli hawa vijana bila ya kulia yaani watapigwa .

Ukicheza na saikolojia ya dunia na uzao utakuja tambua kwamba wajinga wanazaliwa kila na hata vyuoni wanafika so unaweza kuwatumia wajinga wapya daily hapo wale waliopigwa mwaka Jana na ideadibator sijui ambao ilikufa miezi wa mwanzoni mwaka huu hawawezi kutia mguu na hao wa smarthela.

Cheti kupata brela ni rahisi na pia kinaweza kutenezwa na adobe Photoshop michezo watu washafanya sana kumbuka makampuni ya nje kama inclusive forex, world way capital, Infonix, wozur yaani ni kibao wakae mkao wa kula.
 
Ukiona unaitwa kwenye fursa na unaambiwa kabisa kuwa ili unufaike vzr unatakiwa kushirikisha na wengine basi ujue wewe ndio chambo. Mshkaji wangu mmoja kaja juzi kunihubiria hii kitu na kunisajili nikamsikilizaaaaaaa, then nikazama kwanza mtandaoni ndo nakutana hii habari kwa mara ya pili jf.
 
Back
Top Bottom