Polisi waanza uchunguzi dhidi ya Kalynda E-Commerce

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
Uchunguzi huo utafanywa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za Uchunguzi na Fedha ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime ametoa tahadhari na kusema "Ni lazima kila mmoja wetu atambue kuna matapeli, usalama wa fedha au mali yako unaanza kwanza na wewe mwenyewe, hakuna utajiri au kujipatia fedha kwa njia rahisi kiasi hicho bila kutoka jasho kwa kufuata sheria".

Kampuni ya Kalynda E-Commerce inatuhumiwa kuendesha biashara za Upatu na kuwadhulumu wawaliokuwa wateja wake kiasi kikubwa cha fedha na kutoweka katika mazingira ya kutatanisha.

======================

Jeshi la Polisi Tanzania limesema,kutokana na baadhi ya Wananchi kulalamika kutapeliwa fedha zao na kampuni ya Kalynda E Commerce kwa njia ya mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kwa kushiriana na Taasisi nyingine za kiuchunguzi na za kifedha wameanza kuchunguza malalamiko hayo ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema “Wakati hatua hizo zinaendelea kuchukuliwa, Jeshi la Polisi lingependa kutoa tahadhari kwa mara nyingine kwa Watanzania, tahadhari zilishawahi kutolewa kuanzia sakata la kampuni nyingine ambazo ziliwahi kujinasibu kutoa huduma kama hizo lakini waliojiingiza waliambulia kupoteza fedha na mali zao”

“Jambo la kujiuliza, kama hayo wanayokuvutia nayo ni ya kweli, kwanini wasiwahamasishe ndugu zao na ukoo wao wakatajirika kama wanavyo kudanganya?, hiyo huruma kwako wewe ambaye hamfahamiani inatoka wapi?”

“Ni lazima kila mmoja wetu atambue, kuna Matapeli na usalama wa fedha au mali yako unaanza kwanza na wewe mwenyewe, hakuna utajiri au kujipatia fedha kwa njia rahisi kiasi hicho bila kutoka jasho kwa kufuata sheria,

“Tukumbuke Matapeli hao wapo watakaokuvuta kwa kukupa fedha na faida kama walivyokutangazia kupitia mitandao lakini lengo ni ili uweke kiasi kikubwa zaidi wakupige vizuri au wachukue fedha zako au wawapige utakao wahamasisha kujiunga nao”
 
Jeshi la Polisi Tanzania limesema,kutokana na baadhi ya Wananchi kulalamika kutapeliwa fedha zao na kampuni ya Kalynda E Commerce kwa njia ya mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kwa kushiriana na Taasisi nyingine za kiuchunguzi na za kifedha wameanza kuchunguza malalamiko hayo ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema “Wakati hatua hizo zinaendelea kuchukuliwa, Jeshi la Polisi lingependa kutoa tahadhari kwa mara nyingine kwa Watanzania, tahadhari zilishawahi kutolewa kuanzia sakata la kampuni nyingine ambazo ziliwahi kujinasibu
kutoa huduma kama hizo lakini waliojiingiza waliambulia kupoteza fedha na mali zao”

“Jambo la kujiuliza, kama hayo wanayokuvutia nayo ni ya kweli, kwanini wasiwahamasishe ndugu zao na ukoo wao wakatajirika kama wanavyo kudanganya?, hiyo huruma kwako wewe ambaye hamfahamiani inatoka wapi?”

“Ni lazima kila mmoja wetu atambue, kuna Matapeli na usalama wa fedha au mali yako unaanza kwanza na wewe mwenyewe, hakuna utajiri au kujipatia fedha kwa njia rahisi kiasi hicho bila kutoka jasho kwa kufuata sheria,

“Tukumbuke Matapeli hao wapo watakaokuvuta kwa kukupa fedha na faida kama walivyokutangazia kupitia mitandao lakini lengo ni ili uweke kiasi kikubwa zaidi wakupige vizuri au wachukue fedha zako au wawapige utakao wahamasisha kujiunga nao”
#MillardAyoUPDATES
Screenshot_20221015-184409.jpg
 
kibali walipata wapi na kama ni kampuni za matapeli serikali mnatoaje kibali cha mtu kuendesha biashara kama hamjajilidhisha?
 
tatizo la wabongo wanapenda sana mteremko.

kuna mjinga mmoja eti anajiita mshauri wa serikali alikua anatutambia eti wanafanya kazi kishua 😏
 
Uchunguzi huo utafanywa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za Uchunguzi na Fedha ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime ametoa tahadhari na kusema "Ni lazima kila mmoja wetu atambue kuna matapeli, usalama wa fedha au mali yako unaanza kwanza na wewe mwenyewe, hakuna utajiri au kujipatia fedha kwa njia rahisi kiasi hicho bila kutoka jasho kwa kufuata sheria".

Kampuni ya Kalynda E-Commerce inatuhumiwa kuendesha biashara za Upatu na kuwadhulumu wawaliokuwa wateja wake kiasi kikubwa cha fedha na kutoweka katika mazingira ya kutatanisha.

======================

Jeshi la Polisi Tanzania limesema,kutokana na baadhi ya Wananchi kulalamika kutapeliwa fedha zao na kampuni ya Kalynda E Commerce kwa njia ya mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kwa kushiriana na Taasisi nyingine za kiuchunguzi na za kifedha wameanza kuchunguza malalamiko hayo ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema “Wakati hatua hizo zinaendelea kuchukuliwa, Jeshi la Polisi lingependa kutoa tahadhari kwa mara nyingine kwa Watanzania, tahadhari zilishawahi kutolewa kuanzia sakata la kampuni nyingine ambazo ziliwahi kujinasibu kutoa huduma kama hizo lakini waliojiingiza waliambulia kupoteza fedha na mali zao”

“Jambo la kujiuliza, kama hayo wanayokuvutia nayo ni ya kweli, kwanini wasiwahamasishe ndugu zao na ukoo wao wakatajirika kama wanavyo kudanganya?, hiyo huruma kwako wewe ambaye hamfahamiani inatoka wapi?”

“Ni lazima kila mmoja wetu atambue, kuna Matapeli na usalama wa fedha au mali yako unaanza kwanza na wewe mwenyewe, hakuna utajiri au kujipatia fedha kwa njia rahisi kiasi hicho bila kutoka jasho kwa kufuata sheria,

“Tukumbuke Matapeli hao wapo watakaokuvuta kwa kukupa fedha na faida kama walivyokutangazia kupitia mitandao lakini lengo ni ili uweke kiasi kikubwa zaidi wakupige vizuri au wachukue fedha zako au wawapige utakao wahamasisha kujiunga nao”
Katika eneo ninalohitilafiana na Jeshi la Polisi ni lile la kuweka mazingira ya kuwalaumu waliopigwa kwamba walipaswa kuchukua tahadhari za kiusalama...

Kampuni imesajiliwa BRELA
Kampuni ina Leseni
Kampuni ina TIN
Kampuni ina mawssiliano yaliyosajiliwa
Kampuni ina anuani na ofisi.
Kampuni ina....

Je polisi walitaka wahanga wafanye upembuzi upi kujithibitishia usalama? Ninahisi kuna big issue behind.hizi ponzi schemes.

Nahisi Polisi watatumika kufunika kombe mwanaharamu asanuke
 
Uchunguzi huo utafanywa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za Uchunguzi na Fedha ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime ametoa tahadhari na kusema "Ni lazima kila mmoja wetu atambue kuna matapeli, usalama wa fedha au mali yako unaanza kwanza na wewe mwenyewe, hakuna utajiri au kujipatia fedha kwa njia rahisi kiasi hicho bila kutoka jasho kwa kufuata sheria".

Kampuni ya Kalynda E-Commerce inatuhumiwa kuendesha biashara za Upatu na kuwadhulumu wawaliokuwa wateja wake kiasi kikubwa cha fedha na kutoweka katika mazingira ya kutatanisha.

======================

Jeshi la Polisi Tanzania limesema,kutokana na baadhi ya Wananchi kulalamika kutapeliwa fedha zao na kampuni ya Kalynda E Commerce kwa njia ya mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kwa kushiriana na Taasisi nyingine za kiuchunguzi na za kifedha wameanza kuchunguza malalamiko hayo ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema “Wakati hatua hizo zinaendelea kuchukuliwa, Jeshi la Polisi lingependa kutoa tahadhari kwa mara nyingine kwa Watanzania, tahadhari zilishawahi kutolewa kuanzia sakata la kampuni nyingine ambazo ziliwahi kujinasibu kutoa huduma kama hizo lakini waliojiingiza waliambulia kupoteza fedha na mali zao”

“Jambo la kujiuliza, kama hayo wanayokuvutia nayo ni ya kweli, kwanini wasiwahamasishe ndugu zao na ukoo wao wakatajirika kama wanavyo kudanganya?, hiyo huruma kwako wewe ambaye hamfahamiani inatoka wapi?”

“Ni lazima kila mmoja wetu atambue, kuna Matapeli na usalama wa fedha au mali yako unaanza kwanza na wewe mwenyewe, hakuna utajiri au kujipatia fedha kwa njia rahisi kiasi hicho bila kutoka jasho kwa kufuata sheria,

“Tukumbuke Matapeli hao wapo watakaokuvuta kwa kukupa fedha na faida kama walivyokutangazia kupitia mitandao lakini lengo ni ili uweke kiasi kikubwa zaidi wakupige vizuri au wachukue fedha zako au wawapige utakao wahamasisha kujiunga nao”
Hili jeshi hamna kitu hapo.

Niliposikia wanasema hawawezi kufanya uchunguzi kwa sababu hakuna aliyelalamika, na kwamba wao wanaona kwenye mitandao ndo nilipowaona haziwatoshi.

Na wananchi tubadilike, maisha si lelemama, hakuna pesa ya rahisi.
 
Katika eneo ninalohitilafiana na Jeshi la Polisi ni lile la kuweka mazingira ya kuwalaumu waliopigwa kwamba walipaswa kuchukua tahadhari za kiusalama...

Kampuni imesajiliwa BRELA
Kampuni ina Leseni
Kampuni ina TIN
Kampuni ina mawssiliano yaliyosajiliwa
Kampuni ina anuani na ofisi.
Kampuni ina....

Je polisi walitaka wahanga wafanye upembuzi upi kujithibitishia usalama? Ninahisi kuna big issue behind.hizi ponzi schemes.

Nahisi Polisi watatumika kufunika kombe mwanaharamu asanuke
Haya mambo yanaanza kuleta feelings kama ni miradi ya wakubwa kupata mitaji binafsi bila riba wala dhamana kupitia wajinga.
 
KWANZA PICHA LINAANZA MKURUGENZI NI MCHINA WA KUITWA MR THOMASI WE ULIONA WAPI MCHINA ANAITWA TOMASI
 
Back
Top Bottom