MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Wapendwa haya ni baadhi ya maneno/sentences/phrases zitumikazo katika kuomba msamaha kwa mpenzi wako. Kuna ambazo ni more sympathetic kwa kweli kiasi kwamba zinaweza kukufanya ukatabasamu na hacra zako kutoweka kabla hata mwombaji hajamaliza kuomba msamaha na kuna ambazo yaani badala ya kumsamehe kosa alilokosa unajikuta unatamani kumwongezea kosa jingine......................
Kuna hii...................
My darling, If I have ever wronged you, please forgive me
I want to make you smile again, please teach me how to make you smile again
Am dying for you to love me again, am dying to be in your arms again
Please mylove I cant be me if you cant make me feel that
Lakini kuna hii pia ............
...Ah nawe huna dogo? Si yamekwisha??!!
Au............
Bwana eh kama nimekukosea, nisamehe........................!!
Honestly ningependa kujua aina ya misamaa ambayo tulishawahi kuiomba/ombwa kwa/na wenzi wetu.
Kuna hii...................
My darling, If I have ever wronged you, please forgive me
I want to make you smile again, please teach me how to make you smile again
Am dying for you to love me again, am dying to be in your arms again
Please mylove I cant be me if you cant make me feel that
Lakini kuna hii pia ............
...Ah nawe huna dogo? Si yamekwisha??!!
Au............
Bwana eh kama nimekukosea, nisamehe........................!!
Honestly ningependa kujua aina ya misamaa ambayo tulishawahi kuiomba/ombwa kwa/na wenzi wetu.