The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,397
- 12,981
Na Makamba aliyedai mmeshinda majimbo 170+ naye afanywe nini!?
Unaweza kumuinulia "ki-bass" Mkoloni wewe? Unafungia radio yake inayoendeshwa kwa Kodi za Wajeremani,then kesho upeleke bakuri kuomba msaada? thubutu yako
Kuripoti lazima chombo kizingatie sheria huwezi ripoti tu kama domokaya!! Hivi Maalim Seifu angezsema kwenye hiyo press conference kuwa Raisi wa UJerumani kafariki wangerusha maruhuni hao? Si wangehakiki kwenye mamlaka husika kwanza kuthibisha.
Chombo ka kile cha kimataifa chaweza kwenda vichochoroni Kibandamaiti kumhoji mtu yeyote wanayekutana naye barabarani awape matokeo awe SEIF shari Hamad au kibaka au kichaa yeyote wakati tume ipo?
TCRA funginei hicho kiredio na viredio na vi-TV vingine vyote vikiwemo vile vya kenya ambavyo vilichangia sana machafuko kule kenya wakati wa uchaguzi vilivyotangaza hiyo habari.FUNGIA VYOTE
Awaite wanawe na wakeze ajiapishe.
Awaite wanawe na wakeze ajiapishe.
Wajinga kama nyinyi hamtakiwi kuwepo kabisa ??..ukweli umekua shida na kosa kubwa sana machoni na masikioni mwenu...mnataka kusikia uongo tu??..Hivi kwa fikra zako tu Seif yeye ni mjinga atangaze matokeo kwenye chombo kikubwa kama hicho bila ushaidi?? Weka AM station sikiliza tbs wakufurahishee
we ni jinga la kwanza kabisa kabla ya uyo ulomjibu.!
kusema ukweli sio kitu ndugu angu. issue kubwa ni, je una mamlaka ya kusema??
uwezi kusemasema tu kitu chochote eti kwakua ni kweli.!
mamlaka ndo kila kitu, watu wengi wameukumiwa kwa kuropoka mambo wasiyo na mamlaka ya kuyasema.!
Jifunze elimu ya uraia ndugu angu, otherwise utapata shda na utalalamika unaonewa na CCM., kumbe elimu yako ndogo ndo shda.
I like! Ukandamizaji wa miaka 50 umevuruga akili watanzania wengi.Ha ha ha....mamlaka inaujua ukweli haitaki kutangazq..vielelezo vyote vipo so whats next ...kukaa kimya??..not fair ..elim ya uraia kwenye mfumo kandamizi ina faida gan??.
Ha ha ha....mamlaka inaujua ukweli haitaki kutangazq..vielelezo vyote vipo so whats next ...kukaa kimya??..not fair ..elim ya uraia kwenye mfumo kandamizi ina faida gan??.