moyo wangu
Member
- Nov 18, 2011
- 59
- 13
.Hope wazma wa afya..Nimechaguliwa chuo cha sauti mwanza na TCU lakin kila nkifungua website yao sioni majina ya tulochaguliwa huko na tcu,nashindwa kuelewa na chuo wameandika kufungua tareh 14 mwezi wa 9..sijui inakuaje hapo..je napaswa kwenda mwanza kwa usajili wa chuo au inakuaje msaada plz na admision letter zao ni unazpata vipi?,.Mana naogopa nisije kwenda mpaka mwanza halaf ukaambiwa tcu hawajapeleka majina...msaada kwa unaojua zaidi