Elly B
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,194
- 906
Kwa muda mrefu sasa tumekuwa na masomo mazuri yaliyosimamiwa na Calvin power na Dr phone kuhusu ku unlock modems.
Ni somo ambalo mimi nimekuwa mwanafunzi mzuri na nimegain sana tu.Leo naomba kuwasilisha hoja ya kuflashi modems.
Kuna mtu anayejua kuflashi atoe mada kuhusu kuflashi,ni lini tuflashi na ni vipi tuflashi,faida na hasara,mahitaji n.k?
Nitafurahi kuwa darasani tena!
Ni somo ambalo mimi nimekuwa mwanafunzi mzuri na nimegain sana tu.Leo naomba kuwasilisha hoja ya kuflashi modems.
Kuna mtu anayejua kuflashi atoe mada kuhusu kuflashi,ni lini tuflashi na ni vipi tuflashi,faida na hasara,mahitaji n.k?
Nitafurahi kuwa darasani tena!