Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Acha kupotosha, hadi sasa hii ni kazi ya Magufuli tuliyemwamini na siyo CCM. Kwa Taarifa yako hadi January ndiyo CCM wataingia kama mawaziri na watakuta Action Plan kwa makatibu wakuu. Mmezoea kutuharibia nchi kwa sifa za kijinga na kupiga deal. Mbaki na NEC/Kamati kuu yenu pembeni tujenge nchi, kama chama hata kipya kitaanzishwa