Sasa tunakwenda kushuhudia tofauti ya UKAWA kushika dola na CCM kurudi madarakani

Acha kupotosha, hadi sasa hii ni kazi ya Magufuli tuliyemwamini na siyo CCM. Kwa Taarifa yako hadi January ndiyo CCM wataingia kama mawaziri na watakuta Action Plan kwa makatibu wakuu. Mmezoea kutuharibia nchi kwa sifa za kijinga na kupiga deal. Mbaki na NEC/Kamati kuu yenu pembeni tujenge nchi, kama chama hata kipya kitaanzishwa
 
Shame on you!!!katika hao so called friends of lowasa! wakwepa kodi wakubwa ,majambazi,wauza madawa ya kulevya, mafisadi,walarushwa ,walikua wanampa mabilioni, angewezaje kuwashughulikia wakati yeye mwenyewe anawaita 'FRIENDS OF LOWASA'baba wa taifa alishaona mbali kumkataa edo!So 'SALARY SLIP'unadhihirisha ULOFA wako!
 
Shame on you!!!katika hao so called friends of lowasa! wakwepa kodi wakubwa ,majambazi,wauza madawa ya kulevya, mafisadi,walarushwa ,walikua wanampa mabilioni, angewezaje kuwashughulikia wakati yeye mwenyewe anawaita 'FRIENDS OF LOWASA'baba wa taifa alishaona mbali kumkataa edo!So 'SALARY SLIP'unadhihirisha ULOFA wako!

Hivi nchi hii ni Lowassa tu?
 
A world class stupid article, eti serikali ya ukawa, wtf! Unataka kuniambia lowassa angekuwa na balls hata za kusimamisha watu kazi wakati yeye ndo angekuwa LE MAFIA namba moja?? Ni mipango ya Mungu ukawa hawatashika dola!
Zitto Kabwe has a better chance kuwa rais kuliko chadema kutoa rais siku zijazo! Eti serikali ya ukawa, itabaki kusema kichwani hivyo hivyo serikali ya ukawa isingefanya, haitatokea miaka 40.

Hahahahaaaaaaa, Zitto Kabwe has a better chance kuwa rais kuliko Chadema kutoa raisi! Huku ndio kujitekenya na kucheka mwenyewe! It is too early kuja na judgement za namna hii, Zitto Kabwe ni mwanasiasa wa aina yake lkn I don't even think of it kama anaweza shinda uraisi wa nchi hii kupitia ACT MAENDELEO. Tunaweza kuendelea kujipa matumaini but kuna chance ndogo sana Zitto Kabwe kuwa raisi wa nchi hii! It is almost impossible.
 
Tutakachoshuhudia katika awamu hii ni kuibuliwa kwa madudu makubwa huku wakuu wa mashirika ya umma wakiwajibishwa kama mbuzi wa kafara lakini vigogo walioko kwenye system wakipeta au wakikamatwa wale dagaa tu.

Inawezekana kabisa,hawa wakuu wa mashirika haya ya umma walikuwa wanafanya kazi tu ya kulinda maslahi ya wakubwa na huenda wao wakawajibishwa huku vigogo hawa wakiachwa jambo ambalo serikali ya UKAWA isingelifanya.

Kumekuwepo na madai/tuhuma za vigogo kutumia majina ya baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kuendesha biashara zao kitu ambacho sidhani kama serikali ya Magufuli itathubutu kukufanyia uchunguzi-UKAWA wangethubutu.

Hivi biashara ya madawa ya kulevya, magogo,meno ya tembo na hata hii ya kupitisha makontena kiholela bandarini haina baraka za wakubwa?Magufuli ataweza kuwawajibishi vigogo hawa pindi wakibainika?

Fukuafukua hii ya serikali ya Magufuli huenda ikawa "counter-productive" kwa CCM na serikali yake na jambo hili likiwa handled vibaya, huenda likafanya watu waichukie zaidi CCM badala ya kuipenda kama wengi wanavyodhani.

Anachokifanya hivi sasa Magufuli ni sawa kuwadhihirishia watanzani,tena kwa ushahidi, ni kwanini CCM haikupaswa kuchaguliwa kurudi madarakani na akishindwa kuwawajibisha vigogo watakaobainika atakuwa anajimaliza mwenyewe.


Hivi sasa UKAWA wamerahisishiwa kazi kwani karibu kila kitu kinaibuliwa na serikali yenyewe na wao kama wapinzani watakuwa na kazi ya kushinikiza hatua zichukuliwe jambo ambalo nina mashaka kama litatekelezwa kwa uaminifu hata kama itaundwa hiyo Mahakama ya Mafisadi.

Bungeni ndio kutakwenda kuchafuka na hapa ndio mtihani wa Magufuli na serikali yake kuchukua hatua utakuwa mgumu zaidi maana ndani ya bunge huenda yakaibuliwa mengi ambayo hatukuyatarajia.

Kwa mfano, yanayosemwa na watu na kuandikwa mitandaoni kuhusu kampuni ya Home Shopping Center huenda yakaibukia Bungeni na wabunge wa UKAWA wakadai uchunguzi ufanyike kuhusu kampuni hii.

Kufichua tuhuma na watuhumiwa ni jambo moja, na kushughulikia tuhuma na watuhumiwa ni jambo lingine.

Kwenye orodha huenda wako wafadhili wa vyama fulani sasa sijui nao wataguswa!

Tusubiri.
Stupid article.
 
Hujakosea, ndiyo maana lowasa pamoja na udhaifu wake wote ameweza kupata kura alizopata.

Ni kweli kabisa na ndio maana CCM imeendelea kurudi madarakani na ndio maana hata UKAWA hawakuwa na hofu ya kumchua Lowassa na angalia hata kura alizopata Lowassa ukilinganisha na zile alizopata Dr.Slaa mwaka 2010.

UKAWA walisoma IQ ya watanzania kama wewe na waka-act accordingly.
 
Unaelewa maana ya NGE??? Cha msingi angalia mamb ya ukawa tumesahau now tunaangalia Tanzania kuwa mzalendo otherwise utaendlea kuwa mtumwa
 
Ngoja uchunguzi uanze utashangaa kuona hata baadhi ya wabunge na vigogo wakitajwa ndio mtanielewa vizuri.

Kweli mkuu wakitajwa viongozi wakubwa ataweza kuwachukulia hatua?hili bado ni swali muhimu sana,
kwani hata watangulizi wake walikwamia hapo.
 
Mtoa post acha kuweka mambo ya uchama unavyo muongelea rais Dkt Magufuli.

Kwa historia, Dkt Magufuli hakuwahi kuongoza nafasi yoyote ile ndani ya CCM zaidi ya kuwa mwanachama wa kawaida na mtumishi wa umma tu.

Hivyo hulka yake katika kufanya maamuzi ni kwa maslahi ya taifa na wala sio u-CCM.

Kama UKAWA mngelea mafisadi kwa kigezo chochote kile, basi kwa Dkt Magufuli hilo haliwezekani kufanyika. Awe fisadi papa au fisadi dagaa rungu la hapa kazi tu likifika uwa halichagui.

Kwa sasa tunaondoa uozo wote utakao kwamisha kasi ya hapa kazi tu. Hivyo hii operesheni timua timua isikushtue sana.

By the way, achana na mambo ya UKAWA na u-CCM na utumie zaidi maneno kama sisi Watanzania. Kampeni zilishaisha.
 
mm naona bado wanaachia hatua nyingine tatu kama sio 2 au moja mhimu kabisa.kuukata mti na kuliacha shina likiwa bado lipo ni balaa na hatari kwa kuwa litachipua kama kawaida dawa yake ni kukata na kuling'oa kabisa shina lenyewe kuchimba kabisa kuanzia chini.toa na kisiki kabisa.ili lisichipue tena.

kuna mizizi mikubwa sana IPO nyuma ya hao wanaofukuzwa hivi sasa. tunataka mpaka papa nao wavuliwe sio kuwaonea dagaa tuu.maziri husika aliyekuwa anasimamia wizara hiyo naye inatakiwa ahusike kama huko bandarini na TRA waziri husika nae inatakiwa ahusike pia haiwezekani wizara yake inafanya madudu yote hayo yeye kapiga kimyaa mpaka raisi ndio aje wakati yy yupo na ndio kiongozi na analipwa mshahara KWA kazi hiyo??

hata kama mkuu WA nchi aliye pita anamkono wake lijulikane hilo ingawa sheria zetu haziruhusu kumwajibisha lakini kama anahusika na uchafu wowote au kuna mkono wake au baraka zake ijulikane.

ili tukija kwenye suala LA katiba mpya KWA pamoja tuwe na kauli moja yakuitaka katiba iweke sheria za kumwadabisha raisi.

Inamaana hukusikia kuwa uchunguzi umeanza, na watu wasisafiri nje ya Dar
 
We unamiaka zaidi ya 20 lkn nna uhakika hujafanikiwa kila kitu, sasa huyu ndo kwanza ana mwezi mmoja ushaanza kulalamikia mambo anayotakiwa kuwa kayafanya baada ya miaka mitano
 
Tutakachoshuhudia katika awamu hii ni kuibuliwa kwa madudu makubwa huku wakuu wa mashirika ya umma wakiwajibishwa kama mbuzi wa kafara lakini vigogo walioko kwenye system wakipeta au wakikamatwa wale dagaa tu.

Inawezekana kabisa,hawa wakuu wa mashirika haya ya umma walikuwa wanafanya kazi tu ya kulinda maslahi ya wakubwa na huenda wao wakawajibishwa huku vigogo hawa wakiachwa jambo ambalo serikali ya UKAWA isingelifanya.

Kumekuwepo na madai/tuhuma za vigogo kutumia majina ya baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kuendesha biashara zao kitu ambacho sidhani kama serikali ya Magufuli itathubutu kukufanyia uchunguzi-UKAWA wangethubutu.

Hivi biashara ya madawa ya kulevya, magogo,meno ya tembo na hata hii ya kupitisha makontena kiholela bandarini haina baraka za wakubwa?Magufuli ataweza kuwawajibishi vigogo hawa pindi wakibainika?

Fukuafukua hii ya serikali ya Magufuli huenda ikawa "counter-productive" kwa CCM na serikali yake na jambo hili likiwa handled vibaya, huenda likafanya watu waichukie zaidi CCM badala ya kuipenda kama wengi wanavyodhani.

Anachokifanya hivi sasa Magufuli ni sawa kuwadhihirishia watanzani,tena kwa ushahidi, ni kwanini CCM haikupaswa kuchaguliwa kurudi madarakani na akishindwa kuwawajibisha vigogo watakaobainika atakuwa anajimaliza mwenyewe.


Hivi sasa UKAWA wamerahisishiwa kazi kwani karibu kila kitu kinaibuliwa na serikali yenyewe na wao kama wapinzani watakuwa na kazi ya kushinikiza hatua zichukuliwe jambo ambalo nina mashaka kama litatekelezwa kwa uaminifu hata kama itaundwa hiyo Mahakama ya Mafisadi.

Bungeni ndio kutakwenda kuchafuka na hapa ndio mtihani wa Magufuli na serikali yake kuchukua hatua utakuwa mgumu zaidi maana ndani ya bunge huenda yakaibuliwa mengi ambayo hatukuyatarajia.

Kwa mfano, yanayosemwa na watu na kuandikwa mitandaoni kuhusu kampuni ya Home Shopping Center huenda yakaibukia Bungeni na wabunge wa UKAWA wakadai uchunguzi ufanyike kuhusu kampuni hii.

Kufichua tuhuma na watuhumiwa ni jambo moja, na kushughulikia tuhuma na watuhumiwa ni jambo lingine.

Kwenye orodha huenda wako wafadhili wa vyama fulani sasa sijui nao wataguswa!

Tusubiri.
Bila shaka Ukawa mngeanza na mheshimia aliyekuwa mgombea wa Ukawa hakika hapo ningeweza kidogo kuamini maneno yako,
 
Mlimshindwa kikwete mtamuweza Magufuli,??

Magufuli kaipa tiketi CCM ya kutuongoza miaka kama 100 mbelee, Ukawa kwa sasa msahau tu magufuli ndio kiongozi tuliokuwa tunamtaka ovaa...!
 
time will tell mana hata mm nauona ugumu flan kwa raisi wangu ambao utawapa nguvu wapinzani bungeni suala la msingi ni kumuombea magu afanye vzr bila kubagua madaraja ya mafisadi hta wale wa karibu yake awafanyie kweli tu
 
Kwani hao wanaotumbuliwa ndiyo friend of Lowasa????? hao ndiyo waliokuwa wanachangia Mabilioni CCM wala msigeuze maneno subirini kuisoma namba tu.
Lowasa alitwambia fedha anazotapanya anachangiwa na marafiki zake, na ndo hayo majipu yanayotumbuliwa sasa, Mungu apishe mbali Lowasa angekuwa rais haya majipu sijui tungeyabebea wapi.
 
Serikali ya ukawa ingeweza? Sasa mbona haijaweza tumia akili. Hlf usifikil rais jpm atafanya kazi kwa presha zenu za kukomoa eti tuone kama ataweza? Kwa ufupi thread yako uliyoitoa inanipa wasi na uwezo wako wa kufikir inaonekana umesoma lkn unapepo la upinzan limekuingia hivyo you can not see even the reality
 
Tutakachoshuhudia katika awamu hii ni kuibuliwa kwa madudu makubwa huku wakuu wa mashirika ya umma wakiwajibishwa kama mbuzi wa kafara lakini vigogo walioko kwenye system wakipeta au wakikamatwa wale dagaa tu.

Inawezekana kabisa,hawa wakuu wa mashirika haya ya umma walikuwa wanafanya kazi tu ya kulinda maslahi ya wakubwa na huenda wao wakawajibishwa huku vigogo hawa wakiachwa jambo ambalo serikali ya UKAWA isingelifanya.

Kumekuwepo na madai/tuhuma za vigogo kutumia majina ya baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kuendesha biashara zao kitu ambacho sidhani kama serikali ya Magufuli itathubutu kukufanyia uchunguzi-UKAWA wangethubutu.

Hivi biashara ya madawa ya kulevya, magogo,meno ya tembo na hata hii ya kupitisha makontena kiholela bandarini haina baraka za wakubwa?Magufuli ataweza kuwawajibishi vigogo hawa pindi wakibainika?

Fukuafukua hii ya serikali ya Magufuli huenda ikawa "counter-productive" kwa CCM na serikali yake na jambo hili likiwa handled vibaya, huenda likafanya watu waichukie zaidi CCM badala ya kuipenda kama wengi wanavyodhani.

Anachokifanya hivi sasa Magufuli ni sawa kuwadhihirishia watanzani,tena kwa ushahidi, ni kwanini CCM haikupaswa kuchaguliwa kurudi madarakani na akishindwa kuwawajibisha vigogo watakaobainika atakuwa anajimaliza mwenyewe.


Hivi sasa UKAWA wamerahisishiwa kazi kwani karibu kila kitu kinaibuliwa na serikali yenyewe na wao kama wapinzani watakuwa na kazi ya kushinikiza hatua zichukuliwe jambo ambalo nina mashaka kama litatekelezwa kwa uaminifu hata kama itaundwa hiyo Mahakama ya Mafisadi.

Bungeni ndio kutakwenda kuchafuka na hapa ndio mtihani wa Magufuli na serikali yake kuchukua hatua utakuwa mgumu zaidi maana ndani ya bunge huenda yakaibuliwa mengi ambayo hatukuyatarajia.

Kwa mfano, yanayosemwa na watu na kuandikwa mitandaoni kuhusu kampuni ya Home Shopping Center huenda yakaibukia Bungeni na wabunge wa UKAWA wakadai uchunguzi ufanyike kuhusu kampuni hii.

Kufichua tuhuma na watuhumiwa ni jambo moja, na kushughulikia tuhuma na watuhumiwa ni jambo lingine.

Kwenye orodha hakuna wafadhili?

Tusubiri.

Sawa shehk Yahaya
 
Back
Top Bottom