kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,964
Hapo umeeeleweka vizuri
Acha kupotosha, hadi sasa hii ni kazi ya Magufuli tuliyemwamini na siyo CCM. Kwa Taarifa yako hadi January ndiyo CCM wataingia kama mawaziri na watakuta Action Plan kwa makatibu wakuu. Mmezoea kutuharibia nchi kwa sifa za kijinga na kupiga deal. Mbaki na NEC/Kamati kuu yenu pembeni tujenge nchi, kama chama hata kipya kitaanzishwa