God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
Ukimuuliza ilikuaje mahisiano yaliyopita atakwambia usaliti na sababu nyingine kibao kumbe wapi jamaa mjanja yeye alikua anahakikisha anapitia kila aina ya papuchi auridhishe moyo wake.
Aliwahi kutembea na wema sepetu, kidoti, jackline wolper, hawa, hamisa mobeto, penny na wanawake wengine kibao mtawaweka.
Baada ya kukamilisha ndoto yake akaamua kutumia busara na utashi wa hali ya juu akatafuta mwanamke ambae anajielewa na ni mtu mzima ataweza mpa challenge ili asiharibu na kweli akafanikiwa. Akamchukua zari the boss lady ambae ni mkubwa kwa diamond kwa miaka 9.
Wamezaa mtoto mmoja na pia kuna kijacho.
Huyu ndio naseb abdul bana a.k.a diamond platnum, domo, simba, chibu, sukari ya warembo na majina mengine kibao.
Kiukweli jamaa anafanya mambo yake kwa malengo na ana akili ya maisha na anajua kucheza na akili za watu na mzazingira.
Anajua watu gani wanataka kitu flani na ndio maana kwa asilimia kubwa kazi zake zinauza.
Pamoja na uchapakazi wote huu bila kusahamu mapungufu/madhambi yake (vitendo vya ngono) Daimon platmumz ni muumini mkubwa wa dini, kwenye mahojiano na post zake nyingi huwa anamtaja Mwenyezi-Mungu.
Heshima kwake, kabadilisha mziki wa tanzania na africa kwa ujumla hadi masta kibao kama p square na wengine wengi wamempa sifa kibao.
Pambana diamond ila nakushauri kitu kimoja usimalize pesa zako kwa magari ya kifahari bali wekeza, najua hunywi pombe, wewe ni mgumu hutoi pesa yako hivi hivi na hujiachii kwa malaya sababu ajuza Zari the boss lady kakushika haswa.