Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,838
- 71,303
Kama hakina mwelekeo kwa nini magu anakosa usingizi? Sirro anahangaika nao? Polepole anahaha kusema asiyoyajua? MaRc namaDC hawaelewi wafanye nini kwa hiki chama kwani position zao ziko at stake?Chama kisichokuwa na hata mwelekeo leo katika matamko ya press conference zake. Jengeni hoja mwache kubwatuka ovyo.
Hayo mawazo yako ukiyatoa mbele ya Kinana anaweza kukuzaba kibao bure!