Sasa Chadema mtuongoze vyema kipindi hiki. Watanzania tunahitaji mwongozo wenu tumevurugwa

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,819
18,556
Hakika hakuna wakati Taifa limekuwa na ombwe la uongozi kama wakati huu ninavyoandika.

DP World sio neno ngeni hata kati ya watoto wadogo mtaani.

Tumeona wazi kwamba kuna kundi nyuma ya mkataba huu usio na chembe ya uzalendo, kundi hili limeangalia maslahi yao binafsi na kuuza bandari zetu bila kujali maslahi mapana ya nchi.

Mkataba mbovu umeipasua nchi kidini, kikanda na kimuungano.

Bunge la chama kimoja haliaminiki na limefumbia macho hovyo hii kwa hofu za kisiasa.

Ni wakati muafaka Chadema mkasimama kuonesha njia. Chadema ndio uongozi mbadala wa nchi yetu na sasa ndio tunahitaji msimamo wa chama hiki kuvuka mtego huu.
 
Hata mimi nna tamani CHADEMA ituvushe ila always nna mashaka sana kama Mwenyekiti wangu ni mpinzani kweli au yuko pale kimkakati .Ila ngoja niendelee kumuamini .
 
Hakika hakuna wakati Taifa limekuwa na ombwe la uongozi kama wakati huu ninavyoandika.

DP World sio neno ngeni hata kati ya watoto wadogo mtaani.

Tumeona wazi kwamba kuna kundi nyuma ya mkataba huu usio na chembe ya uzalendo, kundi hili limeangalia maslahi yao binafsi na kuuza bandari zetu bila kujali maslahi mapana ya nchi.

Mkataba mbovu umeipasua nchi kidini, kikanda na kimuungano.

Bunge la chama kimoja haliaminiki na limefumbia macho hovyo hii kwa hofu za kisiasa.

Ni wakati muafaka Chadema mkasimama kuonesha njia. Chadema ndio uongozi mbadala wa nchi yetu na sasa ndio tunahitaji msimamo wa chama hiki kuvuka mtego huu.
Lissu apewe maua yake hakuna option.
 
Hakika hakuna wakati Taifa limekuwa na ombwe la uongozi kama wakati huu ninavyoandika.

DP World sio neno ngeni hata kati ya watoto wadogo mtaani.

Tumeona wazi kwamba kuna kundi nyuma ya mkataba huu usio na chembe ya uzalendo, kundi hili limeangalia maslahi yao binafsi na kuuza bandari zetu bila kujali maslahi mapana ya nchi.

Mkataba mbovu umeipasua nchi kidini, kikanda na kimuungano.

Bunge la chama kimoja haliaminiki na limefumbia macho hovyo hii kwa hofu za kisiasa.

Ni wakati muafaka Chadema mkasimama kuonesha njia. Chadema ndio uongozi mbadala wa nchi yetu na sasa ndio tunahitaji msimamo wa chama hiki kuvuka mtego huu.
Ni mada muhimu sana hii, lakini kama inavyojionyesha kwa uchangiaji wake hafifu ni kama hali iliyopo sasa nchini haiwahusu watu.
Na kwa mwonekano uliopo CHADEMA sasa hivi, jinsi kulivyotulia, utadhani hawatambui hii zawadi wanayopewa bure kabisa na mama Samia.
Bado nasita kuwalaumu CHADEMA, kwa sababu sijui wanacho andaa sasa hivi.

Pengine hali wanayoonyesha sasa hivi ni sehemu muhimu wa mkakati wanaoutengeneza kumsukuma huyu mlevi CCM wakati utakapowadia. Sijui

Lakini niseme tu hapa kwamba, kama safari hii CHADEMA watashindwa tena kuitumia nafasi murwa hii waliyopewa; basi hawafai kabisa kuendelea kuwa wanafanya siasa Tanzania.

Hata haihitaji kabisa mtu kuangalia sera wanazosimamia CHADEMA ili uwape kura kwa sasa hivi. Inatosha kabisa kuwapigia kura kwa sababu moja tu, ya kuliondoa madarakani zimwi hili linaloitwa CCM. Hii ni sababu tosha kabisa, mbali ya sera wanazozisimamia (mradi wasituuze tu utumwani kama wanavyofanya ccm sasa hivi)

Nasubiri kwa hamu sana, kusikia CHADEMA wakieleza mipango yao katika miaka hii miwili inayofuata. Hii ndiyo ajenda itakayowaweka madarakani.
 
Hata mimi nna tamani CHADEMA ituvushe ila always nna mashaka sana kama Mwenyekiti wangu ni mpinzani kweli au yuko pale kimkakati .Ila ngoja niendelee kumuamini .
Nitamshangaa sana Mbowe kama bado anategemea chochote kutoka kwenye mazungumzo ya "maridhiano"; nitashangaa sana!
 
Ni mada muhimu sana hii, lakini kama inavyojionyesha kwa uchangiaji wake hafifu ni kama hali iliyopo sasa nchini haiwahusu watu.
Na kwa mwonekano uliopo CHADEMA sasa hivi, jinsi kulivyotulia, utadhani hawatambui hii zawadi wanayopewa bure kabisa na mama Samia.
Bado nasita kuwalaumu CHADEMA, kwa sababu sijui wanacho andaa sasa hivi.

Pengine hali wanayoonyesha sasa hivi ni sehemu muhimu wa mkakati wanaoutengeneza kumsukuma huyu mlevi CCM wakati utakapowadia. Sijui

Lakini niseme tu hapa kwamba, kama safari hii CHADEMA watashindwa tena kuitumia nafasi murwa hii waliyopewa; basi hawafai kabisa kuendelea kuwa wanafanya siasa Tanzania.

Hata haihitaji kabisa mtu kuangalia sera wanazosimamia CHADEMA ili uwape kura kwa sasa hivi. Inatosha kabisa kuwapigia kura kwa sababu moja tu, ya kuliondoa madarakani zimwi hili linaloitwa CCM. Hii ni sababu tosha kabisa, mbali ya sera wanazozisimamia (mradi wasituuze tu utumwani kama wanavyofanya ccm sasa hivi)

Nasubiri kwa hamu sana, kusikia CHADEMA wakieleza mipango yao katika miaka hii miwili inayofuata. Hii ndiyo ajenda itakayowaweka madarakani.
Matatizo nimengi sana ccm wameshindwa kuondoa umasiki nchini wanautumia kama mtaji wa kiasia, wamezoea madaraka ifike muda tubadilishe vyama vya siasa ili nchi yetu isonge,hawa watu watatupasua vichwa uwezo wao wakufikiri umefika kikomo.
 
Mlishaipigia kura ccm 2020 au hamkupiga kura kabisaaa... sasa tulieni sindano ziingie sawa sawa mpaka 2025, mtakuwa mmepona wote, kwa sasa hakuna kampeni wala uchaguzi, sasa ulitaka CDM wapindue nchi? kuingia madarakani kwa sasa
 
Mlishaipigia kura ccm 2020, sasa tulieni sindano ziingie sawa sawa mpaka 2025, mtakuwa mmepona wote, kwa sasa hakuna kampeni wala uchaguzi, sasa ulitaka CDM wapindue nchi? kuingia madarakani kwa sasa
Kwa hii kasi ya kuuza nchi yetu tunawatoa bila uchaguzi nyie jidanganyeni shupaza shingo muone kitakachowakuta, hii nchi sio mali ya ccm mnaweza kutoka bila uchaguzi katiba mpya wala tume huru.
 
Matatizo nimengi sana ccm wameshindwa kuondoa umasiki nchini wanautumia kama mtaji wa kiasia, wamezoea madaraka ifike muda tubadilishe vyama vya siasa ili nchi yetu isonge,hawa watu watatupasua vichwa uwezo wao wakufikiri umefika kikomo.
Siyo hivyo tu mkuu, kuhusu ubovu wa CCM na umaskini wet; sasa hata wamevuka mipaka kabisa katika ubovu waliowahi kuifanyia nchi hii wanapodiriki kutuuza kwa mataifa ya nje wenye pesa ili waje watutawale kwa mgongowa miradi na uwekezaji.

Hapa wamevuka mstari kabisa.
 
Back
Top Bottom