Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Spika: Kuna mtu amejamba humu ndani!
Lisu: Atakuwa pinda huyo mheshimiwa!
Mbowe: Naomba mwongozo wako mheshimiwa Spika, kanuni ya 64, ibara ya 3a inasema kwamba "Mtu akijamba katikati ya kikao cha bunge lako tukufu na harufu ikaenea bunge zima, basi wabunge wanahaki ya kuziba pua, lakini kama harufu itazidi halafu mjambaji akacheka, basi wabunge wanahaki ya kumkamata mjambaji na kumziba kijambio kwa dakika kadhaa mpaka harufu iishe", sasa naliomba bunge lako tukufu liruhusu sheria itekelezwe maana Mheshimiwa kajamba halafu anacheka.
Spika: Haya leteni superglue haraka
Pinda: Acheni ufala nyie, mie sijajamba nimepumua kisela tu!
Lisu: Atakuwa pinda huyo mheshimiwa!
Mbowe: Naomba mwongozo wako mheshimiwa Spika, kanuni ya 64, ibara ya 3a inasema kwamba "Mtu akijamba katikati ya kikao cha bunge lako tukufu na harufu ikaenea bunge zima, basi wabunge wanahaki ya kuziba pua, lakini kama harufu itazidi halafu mjambaji akacheka, basi wabunge wanahaki ya kumkamata mjambaji na kumziba kijambio kwa dakika kadhaa mpaka harufu iishe", sasa naliomba bunge lako tukufu liruhusu sheria itekelezwe maana Mheshimiwa kajamba halafu anacheka.
Spika: Haya leteni superglue haraka
Pinda: Acheni ufala nyie, mie sijajamba nimepumua kisela tu!