Umeniwahi, nami nilitaka kumtaja huyo Fedhuli Athumani Maumba.Simbaulanga na Maumba walitrend sana 80's. Cha ajabu saivi kina maumba wapo wengi sana lakini hawashughulikiwi!
Wapi? Kisutu au jangwani?Shikamoo dada, nilikuwa sekondari form three
Mbona alipokuwa form 6 wenzake washapata masters! Bado wamo
Mama wa Tibaiju..../Mama wa hela ya mboga umemsahau.?
Sawa sawa kabisa Mhenga Mwenzangu!Umeniwahi, nami nilitaka kumtaja huyo Fedhuli Athumani Maumba.
Pamoja na Simbaulanga ni kati ya majina yaliyovuma kwa walichokifanya...pia kuna wale jamaa walioteka Ndege wakitumia maembe, ila wao umaarufu wao ulikuwa wa pamoja, majina yao hayakuvuma sana, tukio ndio lilivuma zaidi ya wao.
Ni pamoja na yako auSio mwanamke tu, kipindi kile kuiba pesa ilikuwa ni jambo la aibu, yaani watu walikuwa wanakushangaa na sio wanakuadmire sahizi mtu ukiiba watu wanakusifia (hawajui kwamba hizo ni pesa zao wenye),
Kweli akili zetu zipo kwenye reverse gear for some time now, tunazidi kuwa mazuzu as days goes on (mind evolution yetu ina-move from brightness to foolishness).