Sarafu ya Zanzibar kurudi?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,929
Ni jambo lililo wazi sasa na ni jambo la muda tu kabla Tanganyika hairudisha mamlaka yake na kuwa mwisho wa taifa liitwalo Tanzania .. Ambapo kutakuwa na serikali tatu
Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Serikali ya Jamhuri ya Muungano

Kwasasa kwenye Muungano tukiachana na mengine yote kuna mkanganyiko kwenye mambo mawili muhimu na kila jambo moja linagusa upande mmoja wa Muungano
Kwa upande wa Tanganyika serikali na mamlaka yake imepokwa na kumezwa na serikali ya Jamhuri ya muungano Tanzania
Kwa upande wa Zanzibar wamebaki na mamlaka yao kamili na serikali yao ya Mapinduzi lakini wameshindwa kabisa kuhodhi mamlaka ya kubaki na sarafu yao na badala yake wanatumia sarafu ya Jamhuri ya Muungano ambayo kwa sehemu kubwa ni kama sarafu ya Tanganyika
Kwa wasio na ufahamu ili taifa lijitangazie mamlaka kamili linahitaji mambo haya
1. Mipaka
2. Majeshi
3. Wimbo wa Taifa
4. Bendera ya Taifa
5. Bunge
6. Kiongozi mkuu
7. Mamlaka ya kisiasa/kijeshi/ kifalme
8. Sarafu

Tanganyika ina vyote hivyo.. Zanzibar wanakosa sarafu.. Je watarejesha sarafu ya sultani muungano ukivunjika ama wataiboresha kuendana na matakwa ya sasa? Je alama za sultani zitakuwepo kama kumbukizi?
6d0e1076eee664714541425be45f3255.jpg
18b815e147cd51351bc7b80e7daa5c51.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo lililo wazi sasa na ni jambo la muda tu kabla Tanganyika hairudisha mamlaka yake na kuwa mwisho wa taifa liitwalo Tanzania .. Ambapo kutakuwa na serikali tatu
Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Serikali ya Jamhuri ya Muungano

Kwasasa kwenye Muungano tukiachana na mengine yote kuna mkanganyiko kwenye mambo mawili muhimu na kila jambo moja linagusa upande mmoja wa Muungano
Kwa upande wa Tanganyika serikali na mamlaka yake imepokwa na kumezwa na serikali ya Jamhuri ya muungano Tanzania
Kwa upande wa Zanzibar wamebaki na mamlaka yao kamili na serikali yao ya Mapinduzi lakini wameshindwa kabisa kuhodhi mamlaka ya kubaki na sarafu yao na badala yake wanatumia sarafu ya Jamhuri ya Muungano ambayo kwa sehemu kubwa ni kama sarafu ya Tanganyika
Kwa wasio na ufahamu ili taifa lijitangazie mamlaka kamili linahitaji mambo haya
1. Mipaka
2. Majeshi
3. Wimbo wa Taifa
4. Bendera ya Taifa
5. Bunge
6. Kiongozi mkuu
7. Mamlaka ya kisiasa/kijeshi/ kifalme
8. Sarafu

Tanganyika ina vyote hivyo.. Zanzibar wanakosa sarafu.. Je watarejesha sarafu ya sultani muungano ukivunjika ama wataiboresha kuendana na matakwa ya sasa? Je alama za sultani zitakuwepo kama kumbukizi?View attachment 2756156View attachment 2756157

Sent using Jamii Forums mobile app
Sarafu! Mbona kuna nchi huru zilikuwa zinatumia dola ya marekani na Tanganyika baada ya uhuru tuliendelea kutumia pesa ya uingereza.
 
Back
Top Bottom