Anazeeka vibaya,angeangalia kwanza Wilaya ya Urambo aliyoiongoza kwa miaka yote ina maendeleo gani, hivi ninavyoongea hiyo wilaya ni mojawapo ya Wilaya zilizo nyuma na maskini kabisa Tanzania, miundo mbinu mibovu na ina watu waliokata tamaa ya maisha,barabara hadi mjini vumbi tupu,na nyumba za nyasi hadi katikati ya mji.
Sioni cha kujivunia kwa uongozi wake. Ameongoza wilaya akiwa kama spika na hakuna hata tone la maendeleo alilopeleka.
Sasa shangaa mtu kama huyu ambaye hata jimbo limemshinda leo anafikiria urais.Napendekeza M4C mfike Urambo ili tukomboe ilo jimbo.
Sioni cha kujivunia kwa uongozi wake. Ameongoza wilaya akiwa kama spika na hakuna hata tone la maendeleo alilopeleka.
Sasa shangaa mtu kama huyu ambaye hata jimbo limemshinda leo anafikiria urais.Napendekeza M4C mfike Urambo ili tukomboe ilo jimbo.