sita aache mbwembwe,hivi anadhani hao viongozi wa ccm wilaya na mikoa watatetea chama chao kwa hoja zipi?mfano,nikisema mh.sitta alienguliwa kuwa spika wa bunge kwa nguvu ya mafisadi wanaomzidi kete.
nani anaweza kupinga,au kutetea kuwa sita lichoka kuwa spika ndiyo maana akacha??wakati tuliona wote kwa macho yetu huyu jaamaa alivyoathirika na hicho kitendo,naona maumuvu yanapungua anaanza kubwabwaja!!!
ndiyo,hivyo hakuna mtu,awe kiongozi kuanzia srerikali kuu,hata yeye sitta mwenyewe,anaye weza kujibu hoja zinazotolewa na cdm,maana ni ukweli,uhalisia wa tanzania na mfumo kandamizi wa uongozi.kama kuna gamba yeyote anabisha mie ninaushahidi mdogo tu.baada ya cdm kufanya mkutani jangwani,magamba chini ya nape walijaribu kujibu wakaambulia kujiaibisha wenyewe na wengine toka hapo tunawaona waimba taarabu hata kama tulikuwa na imani nao japo kidogo.kwangu mimi toka siku ile kitu kinaitwa "magufuli"ni mzee wa mipasho.
nani anaweza kupinga,au kutetea kuwa sita lichoka kuwa spika ndiyo maana akacha??wakati tuliona wote kwa macho yetu huyu jaamaa alivyoathirika na hicho kitendo,naona maumuvu yanapungua anaanza kubwabwaja!!!
ndiyo,hivyo hakuna mtu,awe kiongozi kuanzia srerikali kuu,hata yeye sitta mwenyewe,anaye weza kujibu hoja zinazotolewa na cdm,maana ni ukweli,uhalisia wa tanzania na mfumo kandamizi wa uongozi.kama kuna gamba yeyote anabisha mie ninaushahidi mdogo tu.baada ya cdm kufanya mkutani jangwani,magamba chini ya nape walijaribu kujibu wakaambulia kujiaibisha wenyewe na wengine toka hapo tunawaona waimba taarabu hata kama tulikuwa na imani nao japo kidogo.kwangu mimi toka siku ile kitu kinaitwa "magufuli"ni mzee wa mipasho.