Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

tatizo siyo nchi kavu, tutwaambia nini wale watu millioni kadhaa kule wanaotegemea ziwa? yaani maji unayaona hayo hapo ukitaka samaki unaomba kibali Lilongwe...upuuzi usiokubalika

Mkuu mbona samaki umeenda mbali sana. Yaani wale Wakinga wakitaka kuoga ziwani, pengine kwa masharti ya mganga, itawabidi wafunge safari hadi Ubalozi wa Malawi ulioko Dar es Salaam kuomba visa ya kuingia Malawi (ziwani).

Balozi atapima maombi husika akiona hayana tija hatoi visa na hiyo pia itategemea kama tutaendelea kuwa na uhusiano wa kibalozi nao vinginevyo watani zangu wakinga, wanyakyusa, na makabila mengine kando kando ya ziwa mtaishia kula kwa macho tu.
 
Hongera sana samweli sita.Jana nilisikitika sana amiri jeshi mkuu kukaa kimya.Nisingeweza kuvumilia hiyo fedheha
 
Tuanze kwanza na vita ya ufisadi kwani hata tukikomboa hili ziwa ama mipaka bado litaingia kwa mafisadi.
 
tatizo siyo nchi kavu, tutwaambia nini wale watu millioni kadhaa kule wanaotegemea ziwa? yaani maji unayaona hayo hapo ukitaka samaki unaomba kibali Lilongwe...upuuzi usiokubalika


sasa kama hatuwezi kulitumia vipasavyo la nini?
 
Amesema kuwa " wananchi wa Mikoa ya Mbeya,Iringa na Ruvuma wasiwe na wasiwasi kwani Tanzania iko tayari kupambana na uchokozi wowote ule kutoka kwa Malawi"

Hii ni kauli nzito ya kuashiria kuwa tayari kwa mapambano na Malawi ni kauli ya kutangaza Vita na ni kinyume na katiba angeweza kusema kuwa tuko macho na tunafuatilia kinachoendelea ila kusema tupo tayari kwa mapambano na uchokozi wowote ni vita hiyo......huku ni kutangaza na sio kwamba namlisha maneno./

Wewe ulitaka awabembeleze kama LIWALO NA LIWE.Hapo ndo huwa na mkubali SITTA.Kama mbwai mbwai wakimwaga MBOGA sisi tunamwaga UGALI
 
[B said:
"Sasa tutampiga nduli iddi Amin;
Nia ya kumpiga tunayo;
Sababu ya kumpiga tunayo na
Uwezo wa kumpiga tunao".

[/B]J.K. Nyerere; October 1978.

Alimalizia kwa kusema "Tunataka Dunia Ituelewe Hivyo"
 
Hongera sana samweli sita.Jana nilisikitika sana amiri jeshi mkuu kukaa kimya.Nisingeweza kuvumilia hiyo fedheha

Hata mimi nilisononeka sana, baba jeuri na mtetea rasilimali ndani ya nyumba ni ndiye haswaaaaa anatakiwa.Nakumbuka wimbo wa enzi za mwl.JKN wa kumsuta Banda wa malawi
 
Hata mimi nilisononeka sana, baba jeuri na mtetea rasilimali ndani ya nyumba ni ndiye haswaaaaa anatakiwa.Nakumbuka wimbo wa enzi za mwl.JKN wa kumsuta Banda wa malawi
kwanza tulihitaji tufanye millitary deployment haraka huko border ili walazimishwe kuja katika diplomasia vinginevyo huu ni udhalilishaji na haukubaliki.Tunahitaji kufanya aero surveillance along lake nyasa bila kukiuka sheria za kimataifa na tuwaonyeshe tuko tayari kwenda beyond mazungumzo kama hawataki.hiyo ni national interest na ukifanya kama malawi wanavyofanya katika sheria za kimataifa hiyo ni act of aggression. Nilisema tangu Mwanzo huyu mama ni bomu na aibu kwa afrika.Malawi wanachofanya ni hostility chini ya rais wao kibaraka wa mabeberu.shame of Africa....!

attachment.php

attachment.php

attachment.php

Hii manowari hapo juu ni kali...sijui hawa wezi walioiba hela zetu sijui kama tunayo hii machine.Inatia hasira sana,fursa ya kuwanyonga waliotuibia itumike vizuri.Tunaelekea kuwa taifa dhalili hadi kuchezewa kiasi hiki.Heshima yetu kimataifa inashuka.
 

Attachments

  • 33o38mp.jpg
    33o38mp.jpg
    24 KB · Views: 149
  • 1552q0k.jpg
    1552q0k.jpg
    20.1 KB · Views: 137
Atleast kavunja ukimya! kwani hizi habari tumekua tukizijadiri sisi wabunge wa jamii na serikali ilikua bado ipo kimya..Tulitegemea AMIRI JESHI MKUU jana agusie japo kwa nukta tu kua mipaka ya nchi yetu sio SALAMA lakini kimya mie nadhani tumpe hongera mh SITA kwa ujasiri wake kwani BETTER LATE THAN NEVER kama hawa MALAWI wakishapata hayo mafuta na ukizingatia makampuni ya uchimbaji ni ya UINGEREZA kwao maslahi kwanza na itakua ngumu eti hiyo km hiyo iamuliwe na UN, obvious UK ita side upande wa MALAWI kwani wana interest..
Acha wachukue lote kwani madini hawachukui yote tumepigana na nani???issue za ndani zimetushinda leo tunataka kupigana na jirani??hata tukipata hilo eneo linalosemekana lina mafuta tuna uwezo wa kuingia mikataba inayonufaisha taifa?????
 
Jemadari Mkuu DHAIFU, angekuwa Mwalimu kamwe asingechelewa kujibu mapigo dhidi ya Malawi na kuwamwaga wanajeshi haraka sana ili kuhakikisha mipaka ya Tanzania na mali zake haichezewi, lakini huyu wa sasa anatia hata kichefuchefu kabwabwaja juzi halafu hakugusia hata kidigo kauli ya vitisho toka Malawi!!!!

Amiri Jeshi mkuu anawaza kuoa ramadhani ikiisha bora asaidiwe majukumu.
 
Nimeshtushwa na tamko ambalo amelitoa muda huu bungeni kuwa Serikali ya Tanzania iko tayari kwa uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi na ametoa tamko hilo kama kaimu waziri Mkuu .

Tamko hili kalitoa kwa niaba ya Serikali sasa hii ni hatari kama Kaimu waziri Mkuu anaweza kutangaza vita na hii ni kinyume na katiba yetu mwenye mamlaka hiyo ni Rais ambaye ni Amir Jeshi Mkuu.


wakuuu wanajeshi wameshamwagwa huko mpakani tetesi nilizonazo kwa ajili ya ulinzi wa mpaka wetu Idumu Tanzania bara lidumu jeshi la wananchi wa Tanzania bara idumu nembo ya Rais wa Tanzania TUTAWAPIKA WAMALAWI MBAKA DAKIKA YA MWISHO TUTACHUKUA KILA KITU MBAKA ARDHI YAO MWISHO WENU UMEWADIA KELELE ZENU TUMEZICHOKA SANA.
 
jemadari mkuu dhaifu, angekuwa mwalimu kamwe asingechelewa kujibu mapigo dhidi ya malawi na kuwamwaga wanajeshi haraka sana ili kuhakikisha mipaka ya tanzania na mali zake haichezewi, lakini huyu wa sasa anatia hata kichefuchefu kabwabwaja juzi halafu hakugusia hata kidigo kauli ya vitisho toka malawi!!!!

mkuu my president sio dhaifu katika ili nenda kyela,mbinga,ludewa tutawabamidha wamalawi,tutawachakaza, na mwisho malawi tutamweka rais wetu tunaye mtaka ongera rais wangu kikwete sio kila kitu useme bana ongera mkuu wa majeshi ya tanzania gen. Mwamunyange bravoo
 
kwanza tulihitaji tufanye millitary deployment haraka huko border ili walazimishwe kuja katika diplomasia vinginevyo huu ni udhalilishaji na haukubaliki.Tunahitaji kufanya aero surveillance along lake nyasa bila kukiuka sheria za kimataifa na tuwaonyeshe tuko tayari kwenda beyond mazungumzo kama hawataki.hiyo ni national interest na ukifanya kama malawi wanavyofanya katika sheria za kimataifa hiyo ni act of aggression. Nilisema tangu Mwanzo huyu mama ni bomu na aibu kwa afrika.Malawi wanachofanya ni hostility chini ya rais wao kibaraka wa mabeberu.shame of Africa....!

View attachment 60706View attachment 60707View attachment 60708

Hii manowari hapo juu ni kali...sijui hawa wezi walioiba hela zetu sijui kama tunayo hii machine.Inatia hasira sana,fursa ya kuwanyonga waliotuibia itumike vizuri.Tunaelekea kuwa taifa dhalili hadi kuchezewa kiasi hiki.Heshima yetu kimataifa inashuka.

Mwalimu bana tutaendelea kumpenda kwa umakini wake her soma hiki kibwagizo akimshambualia Banda;''Earlier, the first public announcement of the reversal in the Tanzanian position had been made by President Nyerere in an address to high school pupils at Iringa on
3I May i967. Having stated that Tanzania did not accept the shore boundary and had informed Malawi that it recognised instead the median line, he added: 'I am told that the boundary was changed by the British during the declaration of the Rhodesian Federation, but they had no right whatsoever to do this because Tanzania was a Trust Territory.''


 
Nyerere kiboko cha wamalawi angalia tena alivyoendelaea kumfyatua banda;The T.A.N.U. newspaper, The Nationalist, published an interview with Nyerere in which he dismissed Banda's claim, adding the ominous warning that he 'must not be ignored simply because he is insane. The powers behind him are not insane.' About the Lake, Nyerere said that the insanity of the claim was proved by the fact that the eastern shore was constantly mobile.
 
Malawi apigwe! Apigwe!
Usimlishe maneno, yule bwana ana busara anajua mwenye mamlaka ya kutangaza vita ni amiri jeshi mkuu pekee; alichofanya ni kuwaweka sawa wanachi kwamba serikali iko macho kuhusu hali hiyo ili kuondoa dukuduku miongoni mwa wananchi.
Tofautisha kauli ya Sitta na hii hapa:
"Sasa tutampiga nduli iddi Amin;
Nia ya kumpiga tunayo;
Sababu ya kumpiga tunayo na
Uwezo wa kumpiga tunao".

J.K. Nyerere; October 1978.
 
watanzania tumekuwa tukipost document na articles kuhusu huu mgogoro ambazo nyingi ni ambazo zimepikwa na wamalawi na vibaraka wao,kwa watu wasio na uelewa wanaaamini sisi hatua haki ya ziwa nyasa,hebu tujaribu kuweka vitu kama international treaties na conventions kuhusu nchi zinazopakana na water bodies,tutoe hoja nzito zinazotusupoti ili tuweze waelimisha watz wengine kuhusu haki yetu pia na viongozi wapitao humu kuhusu nafasi ta tz katika ziwa hilo.tunapokuwa tunapost document ambazo nyingi ni pro malawi(zinawabeba malawi) inawasaidia wao kutangaza propaganda zao kuhusu ziwa nyasa.Wako wapi waandishi wakitz wenye kuandika makala ambazo ni pro tz au Tanzania hatuna waandishi wazalendo?sasa tuko kwenye cold war(vita ya maneno) ila sioni watanzania tukifanya kitu kujibu hoja za wamalawi zisizo na msingi.tuamke ndugu zangu!
 
Huyo mama yao asitutanie,tutamfanya kama amin wa uganda, ndani ya wiki moja tutafika ikulu ya malawi na kurudi dar na blauzi ya mama banda ambayo tutaiweka makumbusho ya taifa.
 
Kabla hatujajua tufanyeje wenye uhakika tuambieni maana vyombo vya habari vipo busy na migomo na sakata la rushwa wabunge na sijaona kuongelea kuwa kuna wamalawi wameshaingia ndani ya mipaka yetu bila ridhaa yetu...uhakika ni upi??
 
Back
Top Bottom