Mkuu, Chabruma ametudokeza kwenye uzi wa yanayojiri leo kuwa hawa wa hapana wamefanya hivyo kwa SHINIKIZO. Wakisikilizwa watabadili muelekeowaliopiga kura za hapana kwa sura zote ndiyo wameomba wasikilizwe sababu ni nni?
waliopiga kura za hapana kwa sura zote ndiyo wameomba wasikilizwe sababu ni nni?
2/3 lazima ipatikane. Pasco katuambia kuwa isipopatikana itapatilizwaMwigulu anakumbukwa Kwa ushauri wake juu ya 2/3 tuangalie kama 2/3 inapatikana kama haipatikani tusitishe shughuli zote watu wakasema ametumwa na UKAWA.
Watoto wa Bavicha, Acheni kupotosha umma!!! Kuna Wabunge wameomba kusikilizwa kama special case. Sitta ameunda
kamati ili wapate haki yao.
Mkuu, kamati ya mashauriano imeundwa naada ya wajumbe wawili kuomba kusikilizwaSitta Ni mpuuzi,kwanini asiunde kamati ya maridhiano ili wajumbe waliosema NDIYO wakubaliane kuikataa katiba ya kihuni hii?
Watoto wa Bavicha, Acheni kupotosha umma!!! Kuna Wabunge wameomba kusikilizwa kama special case. Sitta ameunda
kamati ili wapate haki yao.
Wanasikilizwa kwanza kabla ya jambo jingine. CCM demokrasia inatamalakiwaliopiga kura za hapana wondoke dodoma haraka manake maCCM hayaaminiki.. hii ni kulinda kucha, meno na macho yao
...Katika hali ya kuonekana kuanza kukwama kwa katiba, m/kiti wa bunge la katiba ndugu Sitta ameunda kamati ya maridhiano kwa ajili ya kujadiliana na wale waliosema HAPANA. Hii ni njia ya kutafuta 2/3 ya kura.
Sitta Ni mpuuzi,kwanini asiunde kamati ya maridhiano ili wajumbe waliosema NDIYO wakubaliane kuikataa katiba ya kihuni hii?
Watoto wa Bavicha, Acheni kupotosha umma!!! Kuna Wabunge wameomba kusikilizwa kama special case. Sitta ameunda
kamati ili wapate haki yao.