Samuel Sitta aunda Kamati ya maridhiano ya kuwasikiliza waliopiga kura za HAPANA

Kama umepiga hapana wanakuundia kamati ya nini ?na je waliopiga ndiyo na wenyewe wameundiwa kamati au
 
Na Ukawa na o wanaruhusiwa kuunda tume ya maridhiano ambayo itakutana na wajumbe waliopiga kura ya ndiyo ili wapate muda wa kuwasikiliza na kuwashawishi wabadilishe ili wapige kura za hapana?.
U
kweli nashindwa kuelewa huu utaratibu umetoka wapi?, kura inarudiwa mara mbili kwa mpiga kura yuleyule?, toka lini?.

Hao wajumbe waliomba kusikilizwa ni wahuni na hawana akili kabisa. Wanachotaka ni kupewa pesa za hongo ili kuuza utu wao. Shame on them
 
Ccm wanaweka historia yakufanya mambo ambayo hayana historia Duniani,badala yakudanganya wanahakiki kura,wanaenda kuunda mpango wa mazoea yao ya rushwa?ole wao wasiuoipenda Tanzania kma ilivyowatuama,wakipokea rushwa ya kubadili mawazoa,na kusema wamekubali baada ya kura?wataisha ndani ya hii Dunia,kwani ndiyo mpango wa Mungu wapotee,hawatakuwa na maana kabisa kwa watanzania waliyowatuma.
 
Hapa muhimu ni theluthi mbili. Iwe isiwe lazima ipatikane. Hawawezi kula bure tu fedha zetu. Lazima wazikipe kwa kutupa kura za NDIYOOOOOOOOOOOOOO!

Fedha zenu mlizotoa wapi manina majizi nyie! awbmotanu wewe.
 
Waliokua wanatoa mawazo ya Busara walikua wanakejeliwa ... Sasa kama Kura hazitoshi Tutawakumbuka...
 
Hivi ndivyo nimeamini elimu ya tanzania ni duni kwani hata waliosoma na kujikuta ni maprofesa wamezidiwa uwezo wa ufahamu na watu wa form 2 tabu kweli kweli
 
Ubakaji wa democracy Tz bado upo sana. hiyo ndio au hapana hazitakiwei zichukuliwe walakini. Katiba imepita kwao ila sisi wananchi ndo tukatae,maoni yetu mengi yameachwa
 
Kinachoendelea dodoma ni kura ya self determination ya wazanzibari,warioba aliliona mapema akapuuzwa na waimba kwaya na vibaka wengine,sasa mguu umeota tende na safari imekwama
 
Swali langu kwa Sitta, Je ikitokea wale wajumbe 23 walioko Macca, Apollo India etc wakapiga kura ya HAPANA.

Je, hiyo kamati ya mashauriano aliyoiunda Sitta, itawafuata hao wajumbe Macca na Apollo India kufanya nao maridhiano?!.

Au, wakati Sitta anaweka huo utaratibu tayari ana kura zote mfukoni za wajumbe walioko Macca na Apollo India?!

Hata kama Sitta anaongoza BMK la APES (no offense intended to Wassira), huo uji.nga anaofanya Sitta sasa umepitiliza kipimo.
 
Back
Top Bottom