Darius Tanz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 461
- 137
alkiuwa mtangazaji mmoja wa Ebony Iringa anaitwa Edo huyu jamaasijui siku hizi kaishia wapi,ila ni mkali balaa halfu haigi swaga za mtu
eddo bado yupo ebony ila ana makelele mengi + english ya kuungaunga....kwakfupi yupo ovyo.