Samuel Misago(EA Radio/TV) vs B-Dozen(Cloudz FM) nani zaidi?

Tatizo wapo wengi wanaoiga swaga za B twangala, sio Misago peke yake. Sie tuliopo mikoani tunasikiza redio tofauti tofauti tunawasikia wengi wanavyohangaika kumuiga mchizi, In short Twangala ni NOUMA na ndio maana wanaomuiga ni wengi. Baba Jonii yupo juu vile vile.

nilikuwa mbeya kipind fulan nikawa nacheka deile,local redios zipo nyingi halaf karib wote wanacopy kuanzia swaga had maneno kwa cloudz.mfano kipind cha kina Dina Marios na Gea Habib karib kila redio ina kipind cha style ile,na DIVA naye wanamcopy sana(vipind vya nite),Sports xtra ndo usiseme(atakachokiongea shaffii leo kwenye kipind kesho yake utakisikia kwny redio nyingine) hapo ndo nilipoamini kwamba cloudz ni noma.kwenye upande wa redio they are the best we have to admit it
 
ttzo la wabongo we are not creative baba john akiongea hch kesho utaskia these other presenters wanacopy kama ilivyo exa Ad+ alianziasha the word Ama nn! basi redio za apa chugaa ma prizenta ndo kulitumia neno mpaka tunakinai.of coz we learn frm pipo wanaoweza bat tujifunze kua cretv n sis so kila swaga agundue b twangalaa au baba john am out........
 
huyo wa eatv ,anaweka pozi kama za mdogo wangu kike,siwezi angalia tv akiendesha kipindi
 
b12 yupo juu adam mchomvu yupo juu hao wengine wanacopy from them
 
alkiuwa mtangazaji mmoja wa Ebony Iringa anaitwa Edo huyu jamaasijui siku hizi kaishia wapi,ila ni mkali balaa halfu haigi swaga za mtu
 
alkiuwa mtangazaji mmoja wa Ebony Iringa anaitwa Edo huyu jamaasijui siku hizi kaishia wapi,ila ni mkali balaa halfu haigi swaga za mtu
huyu jama yuko fresh ana style yake ya kuingiza vijimaneno vya lugha za kikabila ila kitu kimoja tu naye anamuiga mtu fulani
 
Back
Top Bottom