Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,408
- 31,393
Najiuliza, hivi bahari ya hindi na maziwa yote, katika miaka 50 tumeshindwa hata kuvua chakula chetu mpaka tunaagiza samaki.! Kama tunaleta wawekezaji wa madini na magogo kwanini tusilete mwekezaji wa uvuvi.
Hapa kuna watu wa kuuliza, TFDA, Bandari, wiazara ya afya, waizara ya uvuvi.
Nchi inakwenda kwa solar energy, hakuna human input! kila kukicha afadhali skendo ya jana. mhh
Uvuvi ni kitu kizuri sana lakini uvivu ni hatari kuliko hiyo mionzi
Hapa kuna watu wa kuuliza, TFDA, Bandari, wiazara ya afya, waizara ya uvuvi.
Nchi inakwenda kwa solar energy, hakuna human input! kila kukicha afadhali skendo ya jana. mhh
Uvuvi ni kitu kizuri sana lakini uvivu ni hatari kuliko hiyo mionzi