- Thread starter
- #81
kweli dear why nijibanie wakati bado sijafungwa kwa ndoa?LOL... LOL... Marytina umenifurahisha na am impressed pia... Express your self dear...
Hata mimi nilibe impressed na office mate wangu
kweli dear why nijibanie wakati bado sijafungwa kwa ndoa?LOL... LOL... Marytina umenifurahisha na am impressed pia... Express your self dear...
Hi,
Home Arusha, Geneva of Africa,mngoni baba,mama mchaga
mpenzi kwanza nilachana naye miaka minne iliyopita-mhaya mlevi pia utoto ulitusumbua
wa pili (Mmasai)nikampata baada ya mwaka mmoja na from the bottom of my heart nampenda sana.Nipo naye na nataman ndoa naye, nilimchuga kwa uangalifu mkubwa
Kimbembe: ninaham ile mbaya na mzungu only once in my life (naapa naahidi sitoplay na mhindi,mwarabu,mchina,mjapani)
Sikuwahi kuwaza kumsaliti Mmasai ila 'mara mmoja tu' sioni kama itadhuru
(sorry kwa wote watakaoudhika na post hii la hisia zinanizidia)
katika maisha yangu nimewavulia wawili tu hence the proposed mzungu atakuwa wa tatu (jamani hapo nisiitwe vuavua)Dogo utamaliza mabucha nyama ni ile hile,"chunga sana ulichonacho muovu asikunyang'anye" "mwili wako ni hekalu la roho mtakatifu"
Unajiskia raha sana kuvua vua nguo eeeeh?uoni aibu?uonei kinyaa kila mti ukuchome jichoni?mwisho wa siku si utapofoka?na mwenzio akiwa na akili maji kama yako akasema akaonje pembeni mwisho wake ni nn?ukimwi robo + robo = nusu
Umeniudhi sina kawaida ya kutumia maneno mabaya au jazba.
SAMAHANI KAMA NIMEKUKWAZA.
eeh labda nimedandia treni kwa mbele?
Sikutegemea kwa sababu wewe navokufahamu si mtu wa kujiexpress sasa nikashangaa hilo swali
tafadhali tusitukananevipi swala la tigo uko tayari kutoa? maana hawa akina masanilo bila ya tigo siku haijakamilika.
yes dear ila usinishangaeMerytina = Marytina?????
appreciatedMwacheni mwenzenu jamani kaelezea hisia zake hapa.....go and get ur wish MeryTina Arusha si wapo wengi tu
Ingekuwa huku Chunya nilipo, ingekuwa ngumu
So simply itabisi ujitongozeshe...:israel:
tafadhali tusitukanane
Ha ha ha ha Mchungaji bana ujue una kesi ya kujibu!!!!
No! Arusha waitaliano ni wachacheUpo tayari kujiexpress wazungu wanakula kote kote hawachagui
katika maisha yangu nimewavulia wawili tu hence the proposed mzungu atakuwa wa tatu (jamani hapo nisiitwe vuavua)
huyo mpenzi wako ni jiniSasa unabisha nini mfano ni mm hapa bila tiGo hutoki chumbani
Mimi nilikuwa nashangaa kwanini mabinti huwa wanamgombania Fidel baada ya kujua ni kwasababu gani wala sikuendelea kushangaa nikawa naona kawaida tu.
Na nyie bado mnachangia hili lithread mbona mnaniudhi hakyanani ndo hawa kesho ataamka na kuleta tena up.....p...a humu!