mmh mkuu huo ndo mkubwa?kwa sasa police graduate anaanzia mshahara mkubwa kidogo kama 350,000 hadi 400,000
mmh mkuu huo ndo mkubwa?
Kwani mkuu graduate aliyeajiriwa halmashauri akawa analipwa TGSD unajua ni kiasi gani?
Kiukweli tu viwango vya mishahara ya watumishi wa umma bado vipo chini.
mmh mkuu huo ndo mkubwa?
kwa sasa police graduate anaanzia mshahara mkubwa kidogo kama 350,000 hadi 400,000
Hayo ndio maboresho ya IGP Mwema awli walikuwa wkilipwa sawa na form four hadi wapande vyeo baada ya miaka mingi sana