Salamu!!

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Hello MMU!!me leo cna cha kupost ila nimeona ni bora niwasalimie 2 kuliko kukaa kimya muda mrefu hadi wa2 mhc nimekufa....
 
ni kweli....kama mimi nilijua umesharest in peace........hujambo lakini......
 
<font size="4"><font color="#800080"><span style="font-family: comic sans ms">ni kweli....kama mimi nilijua umesharest in peace........hujambo lakini......</span></font></font>
<br />
<br />
cjambo da preta,cjarest in peace bado,maisha 2 ndo yanayonifanya nilimc hli jukwaa..vp jpil utaenda kanisani?
 
[h=2][/h]
Hello MMU!!me leo cna cha kupost ila nimeona ni bora niwasalimie 2 kuliko kukaa kimya muda mrefu hadi wa2 mhc nimekufa....

hata ukifa kwa nini iko nii si tutakupeleka ukabishe hoi kwa Muumba akufungulie lango ukapasue anga za milele......................ila sina uhakika hapa ni mahali pake labda hii mada ni ya chit-chat....................................hapa tunataka kusikia juu ya jinsi unavyokabilana na changamoto za mahusiano tu................................................
 
Uji hujabaki... ila kuna chai ya maziwa ina iriki, karafuu, tangawizi na abdlasini...

Asha DII kwa haya maelezo sihitaji ushahidi mwingine wa ya kuwa wewe umekula futari hadi ukavimbiwa..........yaani sufuria la uji umelikunguta lote......halafu hata hiyo chai umejaza viungo kibao ili tusiipigie mahesabu du!!!!!!!!!!!!!!!!111
 
marahaba mtoto mzuri ee!!!!!!!!

nilisika hata babu seya alikuwa akiongea vivi hivi ila sijui kama kuna maana iliyojificha hapo..............................grooming someone for a sexual attack?
 
Asha DII kwa haya maelezo sihitaji ushahidi mwingine wa ya kuwa wewe umekula futari hadi ukavimbiwa..........yaani sufuria la uji umelikunguta lote......halafu hata hiyo chai umejaza viungo kibao ili tusiipigie mahesabu du!!!!!!!!!!!!!!!!111


Ruta unafikiri JK katuweka pazuri... hio sukari ya kuchezea uji ugae gae iko wapi??

Na Rutah hivo viungo kwenye chai vina vipimo vake... ukijulia hio chai hutataka kinywaji kingine...lol
 
Asha DII kwa haya maelezo sihitaji ushahidi mwingine wa ya kuwa wewe umekula futari hadi ukavimbiwa..........yaani sufuria la uji umelikunguta lote......halafu hata hiyo chai umejaza viungo kibao ili tusiipigie mahesabu du!!!!!!!!!!!!!!!!111
<br />
<br />
Teh,teh,teh,teh!!!!
 
Ruta unafikiri JK katuweka pazuri... hio sukari ya kuchezea uji ugae gae iko wapi??<br />
<br />
Na Rutah hivo viungo kwenye chai vina vipimo vake... ukijulia hio chai hutataka kinywaji kingine...lol

Na kwel cku hiz sukar ni ishu! Zamani iftar kalmat za sukari,uji wa sukar,tambi za sukari,maharagwe ya sukari vyote tunapiga muda mmoja.
Bt cku hiz lol heeh heeh imekula kwetu ADii
 
Na kwel cku hiz sukar ni ishu! Zamani iftar kalmat za sukari,uji wa sukar,tambi za sukari,maharagwe ya sukari vyote tunapiga muda mmoja.
Bt cku hiz lol heeh heeh imekula kwetu ADii


Bora nawee umeona hilo...lol
 
Back
Top Bottom