<br />
<br />
waaaleko mwislamu!vp ashadii,hujabakiza uji wa ukwaju unigaie?
<br /><font size="4"><font color="#800080"><span style="font-family: comic sans ms">ni kweli....kama mimi nilijua umesharest in peace........hujambo lakini......</span></font></font>
Hello MMU!!me leo cna cha kupost ila nimeona ni bora niwasalimie 2 kuliko kukaa kimya muda mrefu hadi wa2 mhc nimekufa....
Uji hujabaki... ila kuna chai ya maziwa ina iriki, karafuu, tangawizi na abdlasini...
marahaba mtoto mzuri ee!!!!!!!!
Asha DII kwa haya maelezo sihitaji ushahidi mwingine wa ya kuwa wewe umekula futari hadi ukavimbiwa..........yaani sufuria la uji umelikunguta lote......halafu hata hiyo chai umejaza viungo kibao ili tusiipigie mahesabu du!!!!!!!!!!!!!!!!111
<br />Asha DII kwa haya maelezo sihitaji ushahidi mwingine wa ya kuwa wewe umekula futari hadi ukavimbiwa..........yaani sufuria la uji umelikunguta lote......halafu hata hiyo chai umejaza viungo kibao ili tusiipigie mahesabu du!!!!!!!!!!!!!!!!111
Ruta unafikiri JK katuweka pazuri... hio sukari ya kuchezea uji ugae gae iko wapi??<br />
<br />
Na Rutah hivo viungo kwenye chai vina vipimo vake... ukijulia hio chai hutataka kinywaji kingine...lol
Uji hujabaki... ila kuna chai ya maziwa ina iriki, karafuu, tangawizi na abdlasini...
Na kwel cku hiz sukar ni ishu! Zamani iftar kalmat za sukari,uji wa sukar,tambi za sukari,maharagwe ya sukari vyote tunapiga muda mmoja.
Bt cku hiz lol heeh heeh imekula kwetu ADii
Dalili za hiliki kwy kisosi+kubebwa mgongoni
cjambo da preta,cjarest in peace bado,maisha 2 ndo yanayonifanya nilimc hli jukwaa..vp jpil utaenda kanisani?