Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 273
- 579
(Salamu nitazitoa baada ya kumrudisha mke wangu)
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.
Kwa kuwa naongea leo kwakuwa nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.
Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.
Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.
Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo, nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi nikawa napenda ukweli ila naamini uongo.
Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi kama vile mapenzi huanza basi pia hufa.
Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini, nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.
Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nini!
Kwa machungu makubwa sana naandika uzi huu.
Kwa kuwa naongea leo kwakuwa nahisi maneno ni bora kuliko kukaa kimya.
Nilikupenda sana wewe ila mke wangu sikujua kama ningeweza kuliharibu ua kwa kulimwagia maji mengi.
Pamoja na kukusifia mbele za watu ila wewe ukaamua kucheza na moyo wangu.
Kuna muda mwingine sumu na dawa inatofautishwa na vipimo, nilipumbazwa na upendo wako wa kishenzi nikawa napenda ukweli ila naamini uongo.
Pamoja na michezo yote na umaridadi wangu chumbani kwa kulamba tundu la sindano huku wewe kwa wengine ulilamba uzi kama vile mapenzi huanza basi pia hufa.
Sawa nisamehe mimi kwa kukuamini, nitaondoka kwa sababu nimekosa sababu ya kubaki.
Nakuombea sana ila jiombee mwenyewe maana hujui nakuombea nini!