lupasulwisye
Senior Member
- Sep 5, 2012
- 104
- 21
Mimi nimejiunga hivi karibuni na jf.ni tumaini langu kuwa mwanachama mzuri nitakayetumia uelewa wangu katika kushirikiana nanyi wenzangu hasa katika kipindi hiki cha mageuzi yanayoendelea hapa nchini tanzania.