JOSHUA NG'OMBE
New Member
- Jan 14, 2012
- 1
- 0
Naomba kutumia fursa hii kuwasalimu Wanajamii forum.
Msiba wa ndugu yetu, jembe letu, hakika umeacha pengo kubwa sana na utendaji wake hodali utakubukwa daima. Kwa kuwa Mungu amempumzisha, nina imani Mungu huyo huyo atatupatia `Jembe` mbadala atakaye endeleza juhudi na harakati kama za dada yetu Mpendwa Regia. `May the Lord God rest her Soul in Peace, Amen`. I beg to submit.
Msiba wa ndugu yetu, jembe letu, hakika umeacha pengo kubwa sana na utendaji wake hodali utakubukwa daima. Kwa kuwa Mungu amempumzisha, nina imani Mungu huyo huyo atatupatia `Jembe` mbadala atakaye endeleza juhudi na harakati kama za dada yetu Mpendwa Regia. `May the Lord God rest her Soul in Peace, Amen`. I beg to submit.