Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Baba katika jina la Yesu,
Baba uliyeyageuza maji kuwa damu kule Misri,
Baba uliyeyagawanya maji wanao wakapita
Baba uliyebadili fimbo kuwa nyoka na nyoka kuwa fimbo.
Baba uliyesema utatupa yale tuyatamanio
Baba uliyesema tuombe lolote nawe utafanya
Baba ujuayo tuwazayo kabla hatujaomba
Jioni ya leo
Tunaomba umgeuze raisi wetu awe wingu juu ya bwala la Mtera maana kwa mdomo wake alitamani awe hivyo!
Amin.
Baba uliyeyageuza maji kuwa damu kule Misri,
Baba uliyeyagawanya maji wanao wakapita
Baba uliyebadili fimbo kuwa nyoka na nyoka kuwa fimbo.
Baba uliyesema utatupa yale tuyatamanio
Baba uliyesema tuombe lolote nawe utafanya
Baba ujuayo tuwazayo kabla hatujaomba
Jioni ya leo
Tunaomba umgeuze raisi wetu awe wingu juu ya bwala la Mtera maana kwa mdomo wake alitamani awe hivyo!
Amin.