Sakata Mkataba wa Bandari: Wakili Mwabukusi asema asiyetaka kukosolewa aondoke kwenye ofisi za Umma

Mkuu Heijah, tenganisha kati ya "Mtu" na "Cheo". Viongozi wa Serikali ni wanachama wa CCM ambacho ni chama kinachoamini "Cheo ni dhamana".

Kwa sababu hiyo, kiongozi ("mtu") wa Serikali, akitumia vibaya cheo chake, kwa maana ya mamlaka na madaraka, siyo tu anakiuka "Imani" ya CCM pia Katiba ya JMT aliyoapa kuilinda, kuitetea, kuheishimu na kumwongoza katika maamuzi na matendo yake.

Kiongozi ni "mtu", kama watu wengine, mwenye sifa, ubora na udhaifu. Hayuko juu ya sheria
Mimi sina shida na wewe lakini tukitaka twende vizuri na kujenga hoja ni vizuri. Nchi hii hatuwezi kukubaliana hata siku moja 100% lazima tutakuwa na maoni tofauti. Sawa na mpira tunatizama game moja pamoja lakini tukitoka tukianza kuongea ni kama tulikuwa tunatizama game tofauti lakini mshindi anakuwa na hoja zaidi. Kwenye siasa ya vyama vingi lazima tutakuwa na maono tofauti ndio maana ya democracy. CCM wana mandate ya kuamua kwa niaba yetu sababu walishinda uchaguzi na ili kushinda uchaguzi walikuwa na sera zao watu wakawachagua. Ni haki yao ku deliver walichoahidi. Wakishindwa uchaguzi ujao wapigeni chini simple.
 
Wewe kosoa hata masaa 24 ila kuwa na heshima kwa viongozi acha kebehi na dharau kwa viongozi wa nchi. Hakuna shida kukosoa lakini ukileta dharau na kebehi unatuma message gani kwa watu kwamba wadharau mamlaka? amani ya nchi muhimu kuliko maslahi ya chama au mtu binafsi ila kuambiana tuambiane hakuna shida, chungeni lugha za maudhi na dharau.
Amani ya nchi bila uhuru ni kazi bure. Hatuwezi kuuzwa kirahisi kwa bei ya bazoka.

# Asiyetaka kukosolewa atoke kwenye ofisi aende akalee wajukuu#

Uzumbukuku wa mtu mmoja hauwezi kugharimu hadi vizazi ambavyo bado vipo kwenye viuno vyetu.
 
Nyinyi mshukuru sana Mungu alimchukua JPM mapema angewarudisha kwenye mapango mlikotoka. Mama katukosea sana na huruma zake. Ingepita operation moja kabambe ndio mngeshika adabu mbwa nyie.
Nadhani hata Nape kabla ya kukatwa mkia alikuwa na kauli km hizi.

Msalimie Cyprian Msiba,mwambie awashughurikie hao mawakili.
 
Amani ya nchi bila uhuru ni kazi bure. Hatuwezi kuuzwa kirahisi kwa bei ya bazoka.

# Asiyetaka kukosolewa atoke kwenye ofisi aende akalee wajukuu#

Uzumbukuku wa mtu mmoja hauwezi kugharimu hadi vizazi ambavyo bado vipo kwenye viuno vyetu.
Sasa uuzwe wewe una thamani gani? Mbona mwenyekiti wenu Mbowe hakoselewi, ukimgusa tu na chama unafukuzwa. Eti kuuzwa nani atakununua wewe labda Burundi
 
Nyinyi Chadema sio ndio lugha myaoelewa. Mtu akiwa mstaarabu nyinyi ndio mnaona idhaifu, Rais Samia mpole mnamuona dhaifi mnahitaji watu kama JPM ndio mnakuwa na heshima.
Tatizo ni katiba,hata Mh. Samia amewahi kuponda hadharani vitendo vya mtangulizi wake JPM,
Kumbuka uchomaji wa vifaranga kutoka Kenya. Mbona hukumuuliza kwa nini hakumponda bosi wake akiwa hai?
Hapa hakuna anayeonewa, issue ya Makinikia mbona Lisu huyu huyu anayekosoa mkataba wa bandari, alimpinga Magufuli waziwazi!! Mpaka kumwita dikteta uchwara!!
Kinacholeta shida siyo uwekezaji na Dubai, NO. Kuna hoja na vifungu vya kisheria vimeibuliwa, si vijibiwe, mbona ni rahisi tu!!
Sasa maneno ya kujihurumisha kuwa kuna mtu anaonewa ya nini? Kama tuna uhakika na kilichofanyika kimefuata kanuni na sheria zetu, wajibuni hizo hoja, na siyo ngojera za kuwajengea imani kuwa mambo yatakuwa mazuri,tu. Ukiulizwa wapi wamejicommit? Kimya.
 
Nyinyi mshukuru sana Mungu alimchukua JPM mapema angewarudisha kwenye mapango mlikotoka. Mama katukosea sana na huruma zake. Ingepita operation moja kabambe ndio mngeshika adabu mbwa nyie.
Magufuli hakuwahi kuuza rasilimali za nchi sanasana alipigania zirudishwe
 
Mimi sina shida na wewe lakini tukitaka twende vizuri na kujenga hoja ni vizuri. Nchi hii hatuwezi kukubaliana hata siku moja 100% lazima tutakuwa na maoni tofauti. Sawa na mpira tunatizama game moja pamoja lakini tukitoka tukianza kuongea ni kama tulikuwa tunatizama game tofauti lakini mshindi anakuwa na hoja zaidi. Kwenye siasa ya vyama vingi lazima tutakuwa na maono tofauti ndio maana ya democracy. CCM wana mandate ya kuamua kwa niaba yetu sababu walishinda uchaguzi na ili kushinda uchaguzi walikuwa na sera zao watu wakawachagua. Ni haki yao ku deliver walichoahidi. Wakishindwa uchaguzi ujao wapigeni chini simple.
Walishinda uchaguzi upi?
 
Wewe kosoa hata masaa 24 ila kuwa na heshima kwa viongozi acha kebehi na dharau kwa viongozi wa nchi. Hakuna shida kukosoa lakini ukileta dharau na kebehi unatuma message gani kwa watu kwamba wadharau mamlaka? amani ya nchi muhimu kuliko maslahi ya chama au mtu binafsi ila kuambiana tuambiane hakuna shida, chungeni lugha za maudhi na dharau.
Kama hutaki kebehi na dharau si muachie hizo nafasi
 
Amani ya nchi bila uhuru ni kazi bure. Hatuwezi kuuzwa kirahisi kwa bei ya bazoka.

# Asiyetaka kukosolewa atoke kwenye ofisi aende akalee wajukuu#

Uzumbukuku wa mtu mmoja hauwezi kugharimu hadi vizazi ambavyo bado vipo kwenye viuno vyetu.
Kwa maneno haya inaonesha kuwa Wasomi wetu bado hawakuelimika.
Mkataba wa kuendesha Bandari ni katika mambo ya kawaida ki uwekezaji, lakini watu wasiojuwa wanalofanya wanadhani wanagombea UHURU sasa .
Serikali ina wataalamu wa kila aina wa kufuatilia mikataba na kujua maslahi yako wapi kwa Taifa. Leo wewe Unajitia kujua masuala ya Kiuchumi wa Kimataifa na kudai eti nchi inauzwa. UJINGA UMEKITHIRI NCHI HII

Mama Samia Harakisha kuwaleta hao DP World ili Neema iwahi kupatikana kwa Taifa , halafu tuone Hawa wapigania Uhuru watakavyoaibika.
Wana wafanyeni huko serikali wote wajinga, akili mwanazowao tuu.
THIS IS SHAME
 
Mbona wao wana lugha za dharau na kebehi kwa waajiri wao.

Mfano majuzi raia namba moja akiwa Arusha alisema kwamba yeye ameziba masikio so hataki kusikia maoni ya wananchi wake
Wewe kosoa hata masaa 24 ila kuwa na heshima kwa viongozi acha kebehi na dharau kwa viongozi wa nchi. Hakuna shida kukosoa lakini ukileta dharau na kebehi unatuma message gani kwa watu kwamba wadharau mamlaka? amani ya nchi muhimu kuliko maslahi ya chama au mtu binafsi ila kuambiana tuambiane hakuna shida, chungeni lugha za maudhi na dharau.
 
Wewe kosoa hata masaa 24 ila kuwa na heshima kwa viongozi acha kebehi na dharau kwa viongozi wa nchi. Hakuna shida kukosoa lakini ukileta dharau na kebehi unatuma message gani kwa watu kwamba wadharau mamlaka? amani ya nchi muhimu kuliko maslahi ya chama au mtu binafsi ila kuambiana tuambiane hakuna shida, chungeni lugha za maudhi na dharau.
Alikosoa nini kipindi cha Magufuli?
 
Back
Top Bottom