jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,208
- 5,458
Nikweli na wanaigeria Wana penda kuja kutalii Zanzibar Wana vijipesa tofauti nasiye wanyonge tusiyojua kutumia pesa wanigeria na waKenya wanapenda kuja kutalii ZanzibarIli jambo humu mnachukulia mzaha lkn uko Twitter wanaigeria wamechafukwa hotel imeenguliwa nyota kutoka 4.5 mpk 1.5 ishu ishakuw kubwa