xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,302
- 5,378
Wala ata sio polisi ni wabongo wote 'utakavokuja ndivyo utakavyopokelewa.Polisi wetu kuna mahali wanakosea....kudhani kila kitu ni kutumia nguvu kuliko akili. Suala hili wangeweza kulishugulikia kwa weledi na kuweka maslahi ya taifa mbele....wao wakatumia manguvu na hivyo wengi 'you know.....'haipandi kabisa,wakaishia kugeuza kibao kama kawaida yao. So horrible indeed.
Mi naona sawa tuu