masikini chama cha mafisadi!
Nchimbi apata mpinzani uenyekiti Vijana CCM
.............................Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Tabora, Hussein Bashe, ...............................
...............................................
Kijana huyo aliyezaliwa Agosti 26, 1978 wilayani Nzega ambaye kwa sasa ni Meneja Mauzo na Usambazaji wa New Habari 2006 Limited, ..............................................
..........................................................
Mbali ya kuwa Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Mkoa wa Tabora, Bashe ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa; Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Mkoa wa Tabora; Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Mkoa; Mjumbe wa Mkutano Mkuu Wilaya ya Nzega; Mjumbe wa Halmashauri Kuu Wilaya ya Nzega na Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Nzega Mjini.
.......................................[/url]
Nilidhani kuwa Nchimbi anagombea uenyekiti wa wazee au uenyekiti wa wale wenye degree za utata huko ccm?
Yatakushinda siku moja....
Nchimbi hagombei so far mpaka sasa kuna watu wafuato
Mhe. Jerry silaa
Benno Malisa
Isac <mropokaji>
Nape
na huyo aliyejitokeza,ila kuna vifaa vingine vipo mbioni kujitangaza
Yalinishinda siku ccm wameanza kuuza nchi kwa wageni bila kujali maisha ya mamilioni ya watanzania.
Yatakushinda siku moja....