Sakata la Mtakaba wa DP World ni mtihani mkubwa

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
Mbona unacheza na maneno na kudanganya watu?


Huo mkataba wa uendeshaji bandari uko wapi?
 
Kama umeshindwa kusema wazi tumefika hapa kwa sababu ya ujinga wa Samia, hauna maana.

Hao wengine wote uliowalaumu umewaonea, kama Samia anaona wamekosea kwanini hawaondoi ofisini?

Hawaondoi kwasababu anajua yeye ndie malkia aliyeandaa huo mkataba wa kijinga, akaweka na saini yake.
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
Umeandika Kwa akili kubwa ila Sasa Kuna Watu Wapo humu Jf hawataki kusikia Uzi kama huo.
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
Umeandika vizuri na Kwa lugha laini sana, TISS hawana shida ila chombo hakuna nguvu ndiomana wamemtoa kwanza Diwani Athumani ili waje na hayo mavi yao ya bandari, TISS Ina watu makini ni huyu msaliti mwenye nguvu ya kifalme ndio kafanya yote.

Hili sakata binafsi nashawishika ndio sababu ya kifo cha B.C. Membea siamini na sitaamini hakufa natural death , hili sakata limemuondoa ila Mungu atamlipa huyu mfalme wa kijuha.

Ni kichaa tu ndio anaweza kukubaliana hayo mavi ya bandari
 
Watu wengi wanaingiza ushabiki Kwenye mkataba huu,,, Wacha Mwarabu apewe Bandari, TICTs kapewa watu hajalalamika,,, watu wanatafuta kiki na political plat form. Na wengine ni wapigaji tu. DP world apewe tu. Walozoea kula nyuma ya pazia watafute mahala kwegine
 
Naam wanajamvi,

Ukisikia mtihani mkubwa ni kama hili Sakata la Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania juu ya uendeshaji wa bandari za Tanganyika. Ukisoma ule mkataba kwa ujumla mpaka hapa Tanganyika hatuna jinsi, kwa maana tukiendelea nao tutakuwa tumejipeleka utumwani kwa namna vipengele vya mkataba vilivyo tumekwisa.

Tukiachana nao tumekwisha pia. Kifupi mpaka hapa tulipo fika ni kwamba DP WORLD wametuweka kwenye 18 zao kila upande. Hata tukiachana nao leo, bado tutatakiwa kuwalipa fedha nyingi, nyingi , nyingi kwasababu watatushinda mahakamani mapema asubuhi.

Tumefikaje hapa? Kwa maoni yangu , kwanza ni tamaa za viongozi wetu, pili ni udhaifu wa Mwanasheria mkuu wa serikali, tatu ni udhaifu wa watu wanao msaidia Rais kuto kujiamini katika majukumu wanayo pewa na Rais. Nitafafanua kila udhaifu .

Ukiungalia huu Mkataba uko vile kwanza kwasababu inaonekana sisi ndio tulionesha kuwahitaji Waarabu kwasababu moja au nyingine na Sababu kubwa ni fedha. Kwanini? Katikati ya Sakata lenyewe unamkuta Rais Samia Suluhu Hassan pengine na Chama chake kwa mbali. Kwanini? Wanajiandaa kwaajili ya uchaguzi wa 2025 na hivyo wakaona namna nzuri yakuwawezesha kupata fedha ni kuingia huu mkataba kwa kisingizio cha kuboresha utendaji katika bandari zetu.

Nasema ni kisingizio kwasababu kama nia ingekuwa ni hiyo tu basi wangefuata namna bora ya kumpata mwekezaji bora kwa mchakato wa wazi kabisa. Ila kwasababu walikuwa na agenda binafsi ndio maana wakafanya haya makubaliano kwa kificho.

HUU MKATABA ULIKUWA NI SIRI KUBWA, UMEVUJISHWA NA WATU WEMA WASIO PENDEZWA NA VIPENGELE VINAVYO IPELEKA NCHI YETU UTUMWANI.

Hapa unaiona tamaa ya Rais wetu kutaka kushinda uchaguzi yeye na chama chake hata kwa njia haramu. Kimsingi amevunja KATIBA ya Nchi.

Udhaifu wa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Huyu anatakiwa kuijua KATIBA ya Nchi yetu kinaga ubaga. Imekuwaje amekubali kuuza SOREINTY ya Nchi yetu kirahisi hivyo? Hajiamini, hakuwa tayari kumuudhi Rais, au na yeye fedha zilimfanya aseme Nchi nini bwana, nita a batana na fedha !!!

Waziri na watendaji wengine wa serikali tunaweza kuwalaumu lakini kwa mtazamo wangu hawakuwa na namna. Ukikataa huna kazi na ukikubali unakutana na fedheha kama hizi za kuingiza Nchi utumwani.

Nini kifanyike??

Kwa maoni yangu ni bora kuachana na huu Mkataba kabla hata hatujaanza kuutekeleza , halafu tusubiri kushitakiwa na kupigwa faini ya mabilioni ya dola kwasababu ya ukubwa wa mradi wenyewe.

MADHARA YA KUENDELEA NA MKATABA NI NINI?

Hofu kubwa ni kwanza ni kuligawa Taifa. Kuna watu wajinga wanachanganya Uarabu na uislamu ! Pili ni kuliingiza Taifa kwenye umasikini na utumwa mambo leo.

Kwanini ni The great ordeal?

Ukisikia kizungumkuti ndio hiki. Kifupi ni kwamba tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa USALAMA WA TAIFA. wajitathimini.

Lakini Rais Samia ni wakati sasa ajipime kama anatosha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Kwa maoni yangu amepwaya.
MENE, MENE, TEKELI & PERESI.
 
Ni watu wachache tu, tena wasiojua Historia na Geopolitics ndo wanadhani Russia anaeza Shindwa hapo Ukraine.

Kama.wanavyoshupalia suala la Putin kutokwenda SA wanahisi kaogopa, wakati ni suala la Kidiplomasia ambalo tangu awali Russia hata kuyaingiza mataifa mengine kwenye mzozo wa kidiplomasia.

.anachanga karata zake vizuri, anajua afanye nini na kwa wakati gani.

Kiujumpa Operesheni hii, Imeongez uimara wa rashia mara dufu, pia Umaarifu wa Urusi na ushawishi umekuwa kwa Kasi sana.

Sasa hivi hata mtu hajaenda shule, ndani kwa mtogole anaijua Urusi. Tifaut na wakat flan ambapo Urusi ilofahamika tu kwa watu wanaofuatilia masuala ya kivita na itikadi ya Ulimwemgu katika Siasa.
 
Watu wengi wanaingiza ushabiki Kwenye mkataba huu,,, Wacha Mwarabu apewe Bandari, TICTs kapewa watu hajalalamika,,, watu wanatafuta kiki na political plat form. Na wengine ni wapigaji tu. DP world apewe tu. Walozoea kula nyuma ya pazia watafute mahala kwegine
Hao TICTs mkataba wao umefika ukomo Je? Huyu dp world mwisho wake ni lini
 
Tatizo katiba mbovu.hakuna nchi yeyote duniani ambayo rais anapatikana kwa kurithi.warithi siku zote hawana uchungu wa mali alizoziacha mwenye mali.kwa nchi zenye katiba nzuri huwa ikitokea rais kafariki huwa wanaunda serikali ya mpito isiyozidi mwaka mmoja na kuitisha uchaguzi ili kupata kiongizi mwenye uchungu na maliasili za wananchi.mambo yote ya hovyo yanayotokea na yatakayoendelea chini ya awamu ya sita ni sababu ya kurithi madaraka.warithi ni hasara kwa taifa
 
Watu wengi wanaingiza ushabiki Kwenye mkataba huu,,, Wacha Mwarabu apewe Bandari, TICTs kapewa watu hajalalamika,,, watu wanatafuta kiki na political plat form. Na wengine ni wapigaji tu. DP world apewe tu. Walozoea kula nyuma ya pazia watafute mahala kwegine

Huo mkataba umeusoma lakini au na wewe unataka uzalishwe na waarabu kama yule mwenyekiti wa cvm mkoa wa mwanza.
 
"OLLE wake Tanzania Tusipoisaidia Nifanyalo nimeliweza kumshauri na KUONYA, Zaidi nifanye nini".

JK NYERERE.
UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom