Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Nataka Mwigulu, Membe na wengine waingizwe kwenye hili sakata. Wasipowaingiza hao na wengine, kesi hii ni upuuzi mwingine na dhulma dhidi ya upinzani.
Ni sawa na kusubiri treni airport. Serikali hii haiwezi kuwaita akina Mwigulu, Membe na Nape mahakamani!
 
Mwigulu nae,iramba kuna umasikini wa kutupwa yeye yupo dar anatengeneza video!hivi huyu ana hata kibanda huko kwao kiteka sidhani

Labda Mwigulu hajui kwamba siku hizi form four failures wana nafasi ya kushinda kwenye mitandao na kutafuta mahali pa kutokelezea...na wanajua hata namna ya kutengeneza spoof Video kama hizo za Lwakatale kwa kutumia Technologia rahisi na software zinazopatikana karibu kila computer kama standard bila hata kuzilipia mafwedha kama inavyo elezwa hapa chini toka wiki how.
How to Make a Funny Movie Spoof: 11 steps - wikiHow
 
In law and legal issues Pasco is a Dwarf who thinks that he knows better than Prof Safari and Tundu Lisu, I am not sure to what extent has he practiced law because the last time I checked he was a freelance Journalist
I'm still a freelance journalist. Kutoa maoni tofauti na Tundu Lissu au Prof. Safari hakumaanisha ndio najifanya kujua kuliko wao, somo kuhusu nolle linafundishwa mwaka wa kwanza, na humu jf, nimeisha lizungumza sana humu jukwani!, toka 2008, Topic: Omega Ngole,Never Say Never - na 2009, DPP wetu kizuizi katika mapambano dhidi ya ufisadi - , hivyo sikuanza leo wala sitamaliza kesho.
Pasco.
 
Ama kweli usimuogope adui yako aliyejipambanua bali muogope zaidi rafiki mnafiki anayekukumbatia. CHADEMA chama kinachojiita makini mbona hamkuonesha umakini wenu ktk hilo? Sasa mkikamata ikulu si mtakumbatiwa hata na al-shabab!
 
Chadema mwendo mdundo kufa hakifi ila watakufa wao. Nina imani kubwa na timu ya mawakili wa chadema wote ni majembe huwezi fananisha na hao wanaotumikia wafu.
 

Soma habari yenyewe kwa ufipi hapa.
amka2.gif
SAKATA la Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, kufunguliwa kesi ya ugadi akidaiwa kupanga mikakati ya kudhuru watu, limechukua sura mpya baada ya chama hicho kudai kunasa mawasiliano ya watu kinaowatuhumu kuandaa video hiyo.
Pia CHADEMA imesema kuwa mawakili wake wamepeleka hati ya dharura katika Mahakama Kuu wakiiomba iingilie kati kwa kuitisha mafaili yote mawili ya kesi hiyo inayomkabili Lwakatare na mwenzake Ludovick Joseph.
Lwakatare alikamatwa Machi 13 mwaka huu na kuhojiwa kwa siku nne kisha kufikishwa mahakamani Machi 18 na kufunguliwa kesi namba 37/2013 yenye mashtaka manne huku Ludovick akisomewa mashtaka matatu.
Akizungunza na waandishi wa habari jana makao makuu ya CHADEMA, mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu, alidai kuwa wamenasa mawasiliano ya watu mbalimbali wanaowahisi kuhusika kurekodi video hiyo.
Lissu aliwataja watu hao kuwa ni Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky, Ludovick na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mwigullu Nchemba.
Alifafanua kuwa Desemba 27 siku moja kabla ya video hiyo haijarekodiwa kulikuwa na mawasilano ya simu kutoka kwa Msacky kwenda kwa Lwakatare akimuulizia sehemu alipo.
Alisema katika mawasiliano hayo, Msacky anayetajwa kudhuriwa na mkakati huo alimpigia simu Lwakatare na kumuulizia mahali alipo ambapo alijibiwa kuwa alikuwa yuko njiani kurejea Dar es Salaam.
Lissu ambaye pia ni mmoja wa jopo la mawakili wanaomtete Lwakatare, aliongeza kuwa Desemba 28, Ludovick alifika nyumbani kwa Lwakatare siku ambayo video hiyo ilirekodiwa saa 11:59.
Aliongeza kuwa kulikuwa na mawasiliano baina ya Ludovick na Nchemba kwa kutumia namba za simu ya Nchemba inayoonekana katika kitabu cha Bunge.
Lissu alidai kuwa baada ya mawasiliano hayo kati ya Desemba 29 mwaka jana na Januari 2 mwaka huu, Nchemba alinukuriwa katika kituo cha televisheni akisema anayo video inayowaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga njama za mauaji.
"Tumegundua mengi katika haya na kama tutafika mahakamani jaji au hakimu atakayekuwa anasikiliza tukiwa na hoja zetu atamaliza kesi hii ndani ya saa zisizozidi tatu," aliongeza Lissu.
Alipotafutwa Msacky kwa simu yake ya kiganjani ili afafanue madai hayo, alikataa akidai kuwa kesi iko mahakamani.
Kuhusu kupeleka hati ya dharura kuiomba mahakama iitishe mafaili yote mawili na kutengua uamuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka wa kumfutia Lwakatare mashtaka uliotolewa juzi, Lissu alisema wanatambua mamlaka ya kiongozi huyo katika kufungua na kuiondoa kesi mahakamani.
Alisema lengo ni kulinda maslahi ya taifa au kuboresha utendaji wa haki, suala alilodai halikufanyika katika dhamira nzima ya kufuta kesi ya kwanza ya Lwakatare.
"Tumekaa jopo la mawakili watano; tumeiomba mahakama kuu iingilie kati na kuitisha mafaili yote mawili ya kesi hii na kisha ijiridhishe kama sababu ya kufutwa kwa kesi ya kwanza ni kwa ajili ya maslahi ya taifa," alisema.
Alisema maombi mengine katika hati hiyo ni pamoja na kuiomba mahakama ichunguze ili kuona kama haki imetendeka kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, pia wameiomba ifute hati ya kufutiwa mashtaka kwa Lwakatare na ifute amri ya kumaliza kesi hiyo.
Pia alieleza kuwa wameiomba mahakama kuu iiamuru mahakama ya hakimu mkazi kisutu kuendelea na kesi ya awali iliyofunguliwa Machi 18 mwaka huu na pia itamke kuwa kilichofanywa na mawakili wa serikali ni kuingilia uhuru wa mahakama wa kufanya uamuzi.
Aliongeza katika kesi ya awali walihoji uwepo wa hati ya ridhaa ya DPP juu ya mteja wao kushtakiwa kwa sheria ya kupambana na ugaidi na wakaonyeshwa makaratasi yasiyokuwa na nembo yoyote ya taifa, hali iliyowafanya wahoji na kumuomba hakimu aifute kesi hiyo ombi lililokuwa linatarajiwa kutolewa uamuzi juzi.
Lissu alisema kuwa kwa mujibu wa sheria ya ugaidi ili kosa liwe la kigaidi lazima maelezo ya kosa hilo yaonyeshe kuwepo kwa malengo ya ugaidi hali aliyosema katika mashtaka yote mawili suala hilo halionekani


Baada ya matukio hayo, sasa naomba kuhitimisha kwamba,
1) Kwamba Chadema inapambana na Dola siyo ccm tena.
2) Kwamba kuna hujuma dhidi ya Chadema ni kitu kilicho wazi, siyo ishu ya mjadala tena.
3) Kwamba serikali inabagua wataznania kwa sababu juhudi zinazotumika kumlinda Msacky na kuwapata wauaji wa Barlow ingetumika pia kuwasaka kwa wahusika wa mateso na mauaji ya akina Mwangosi,Padre, Dr Ulimboka na Kibada. Na, Mwigulu Nchemba aliyedai kwamba ana video inayoonesha viongozi wa Chadema wakipanga mauaji siku chache baada ya video hiyo kurekodiwa ambayo kimazingira anaizungumizia video hii hii ya Lwakatare mbona hajahojiwa? R. Igondhu wa TISS Mbona hajahojiwa kuhusu Ulimboka pamoja na kutajwa na Ulimboka mwenyewe?. Kwa nini ya Lwakatare iwe ndo hoja nzito sana serikalini??. A million dolar questions!!


Ikumbukwe katika moja ya mada yangu wiki iliyopita nilisema Rwekatare anaweza kukumbuka tukio ambalo alikuwepo na movie kuchuliwa. Hiyo movie ndiyo iliyotumika kuhariri uingizwaji wa editing ya sauti.

Mhusika mkuu hapa ni Ludovick ambaye anaonekana ni wa TISS alikuwa kazini. Baada ya tukio la kuwa pamoja siku hiyo na Rwekatare Desemba tarehe 28, Tundu Lissu anasema Ludovick aliwasiliana na Mwigulu Mchemba kwa simu. Siku mbili baada ya tukio hilo la Rwekatare na Ludovick kuwa pamoja Mwigulu Mchemba alijitokeza TV kutoa tamko kwamba anao ukanda wa movie unaoonyesha Chadema kupanga mikakati ya mauaji. Huyu ndiye mhusika mkuu aliyejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu mkali.

Movie hiyo haijawekwa hadharani licha ya kuambiwa aionyeshe tangu Desember 28 mwakajana Mwigulu alipotoa tamko hilo, maana yake muda wote huu alikuwa anaifanyia editing. Nikawaida ya tabia ya hawa watu kuwa marafiki wakaribu sana ili kujifunza mengi ikiwa tabia, sauti, miondoko na mengineyo wanayokusidia kufanya kwa mtu yule wakiwa na mtu mmoja wa karibu sana ili kutengeneza image wanayokusudia. Pengine hulazimisha urafiki hata uonyeshe hali ya kutomtaka anakuwa mvumilivu na kufanya kila awezacho hata kujitolea ili mradi awe karibu nawe.


Baada ya kushikwa Rwekatare Ludovick alikimbilia Iringa kwa kumwambia Mjengwa kwamba ana shughuli ya kufanya Iringa. Ameitwa baada ya Rwekatare kumtaja kwamba siku hiyo walikuwa pamoja.

Unaona mtu huyu Ludovick alijipenyeza hadi kwa Mjengwa blog eti alifanya kwa kujitolea kumbe alikuwa kazini.

Kuna uwezekano anayosema Mwampamba kuwa Ludovick alikuwa anafanya kazi makao makuu Chadema, possible alipenyezwa huko ili awe anachota habari za Chadema toka chunguni.

Hata hapa Jamii forums wapo tena baadhi ni moderators utaona kukiwa na mada ambazo zinahusu sana serikali na CCM baadhi zinaonekana kunyofolewa haraka au kuyumbishiwa jukwaa ambalo halichangiwi na watu wengi.

Siri moja ya kuwajua hawa utaona wanalazimisha sana urafiki hata wako tayari kujitolea kwa kila njia na hapo utafikiri ni rafiki mzuri sana kumbe yupo kazini.
 
Ikumbukwe katika moja ya mada yangu wiki iliyopita nilisema Rwekatare anaweza kukumbuka tukio ambalo alikuwepo na movie kuchuliwa. Hiyo movie ndiyo iliyotumika kuhariri uingizwaji wa editing ya sauti.

Mhusika mkuu hapa ni Ludovick ambaye anaonekana ni wa TISS alikuwa kazini. Baada ya tukio la kuwa pamoja siku hiyo na Rwekatare Desemba tarehe 28, Tundu Lissu anasema Ludovick aliwasiliana na Mwigulu Mchemba kwa simu. Siku mbili baada ya tukio hilo la Rwekatare na Ludovick kuwa pamoja Mwigulu Mchemba alijitokeza TV kutoa tamko kwamba anao ukanda wa movie unaoonyesha Chadema kupanga mikakati ya mauaji. Huyu ndiye mhusika mkuu aliyejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu mkali.

Movie hiyo haijawekwa hadharani licha ya kuambiwa aionyeshe tangu Desember 28 mwakajana Mwigulu alipotoa tamko hilo, maana yake muda wote huu alikuwa anaifanyia editing. Nikawaida ya tabia ya hawa watu kuwa marafiki wakaribu sana ili kujifunza mengi ikiwa tabia, sauti, miondoko na mengineyo wanayokusidia kufanya kwa mtu yule wakiwa na mtu mmoja wa karibu sana ili kutengeneza image wanayokusudia. Pengine hulazimisha urafiki hata uonyeshe hali ya kutomtaka anakuwa mvumilivu na kufanya kila awezacho hata kujitolea ili mradi awe karibu nawe.


Baada ya kushikwa Rwekatare Ludovick alikimbilia Iringa kwa kumwambia Mjengwa kwamba ana shughuli ya kufanya Iringa. Ameitwa baada ya Rwekatare kumtaja kwamba siku hiyo walikuwa pamoja.

Unaona mtu huyu Ludovick alijipenyeza hadi kwa Mjengwa blog eti alifanya kwa kujitolea kumbe alikuwa kazini.

Kuna uwezekano anayosema Mwampamba kuwa Ludovick alikuwa anafanya kazi makao makuu Chadema, possible alipenyezwa huko ili awe anachota habari za Chadema toka chunguni.

Hata hapa Jamii forums wapo tena baadhi ni moderators utaona kukiwa na mada ambazo zinahusu sana serikali na CCM baadhi zinaonekana kunyofolewa haraka au kuyumbishiwa jukwaa ambalo halichangiwi na watu wengi.

Siri moja ya kuwajua hawa utaona wanalazimisha sana urafiki hata wako tayari kujitolea kwa kila njia na hapo utafikiri ni rafiki mzuri sana kumbe yupo kazini.

CC;
elyson elibarik,
Mtumishi Mkuu,
Mpanzi,
mfarisayo,
Almeda,
Msusu,
kdany,
Ayayoru,
Safari_ni_Safari,
DOUGLAS SALLU,
Mikael P Aweda,
ng'wanankamba,
buzz,
mungo,
aka2030,
Makbel,
Pasco,
kasingo,
FredKavishe,
UPIU,
KAMALELA,
NO EXCUSE,
Amri kuu ni Upendo,
Chizi Fureshi,
Naoa,
Toolkit,
richone,
Awo,
Ngereja,
gimmy's,
bitete,
Mwl. Sima,
Precise pangolin,
KOMBAJR,
Bryson Mbeula,
busar,
Tarishi,
ntahagaye,
3squere,
Lunyungu,
Meshack G,
Allen Tarimo,
sily,
nuraj,
COTANGENT,
Joss,
Mr Rocky,
William Mshumbusi,
Ahakiz,
holypotato,
Tinamou,
twiputege,
Hoshea,
Kwayu,
Mulugwanza,
uwemba1
 
amka2.gif

Akizungunza na waandishi wa habari jana makao makuu ya CHADEMA, mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu, alidai kuwa wamenasa mawasiliano ya watu mbalimbali wanaowahisi kuhusika kurekodi video hiyo.
Lissu aliwataja watu hao kuwa ni Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky, Ludovick na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mwigullu Nchemba.

Alifafanua kuwa Desemba 27 siku moja kabla ya video hiyo haijarekodiwa kulikuwa na mawasilano ya simu kutoka kwa Msacky kwenda kwa Lwakatare akimuulizia sehemu alipo.
Alisema katika mawasiliano hayo, Msacky anayetajwa kudhuriwa na mkakati huo alimpigia simu Lwakatare na kumuulizia mahali alipo ambapo alijibiwa kuwa alikuwa yuko njiani kurejea Dar es Salaam.
Lissu ambaye pia ni mmoja wa jopo la mawakili wanaomtete Lwakatare, aliongeza kuwa Desemba 28, Ludovick alifika nyumbani kwa Lwakatare siku ambayo video hiyo ilirekodiwa saa 11:59.
Aliongeza kuwa kulikuwa na mawasiliano baina ya Ludovick na Nchemba kwa kutumia namba za simu ya Nchemba inayoonekana katika kitabu cha Bunge.
Lissu alidai kuwa baada ya mawasiliano hayo kati ya Desemba 29 mwaka jana na Januari 2 mwaka huu, Nchemba alinukuriwa katika kituo cha televisheni akisema anayo video inayowaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga njama za mauaji.
"Tumegundua mengi katika haya na kama tutafika mahakamani jaji au hakimu atakayekuwa anasikiliza tukiwa na hoja zetu atamaliza kesi hii ndani ya saa zisizozidi tatu," aliongeza Lissu.



Aaaaah! Tulichotaka kujua kwanza kama video ni fake au laa, kwenye blue Lissu kadhibitisha mwenyewe video ni original hata "German" hupati, kwa kukubali kuwa video ilirekodiwa kwa Lwakatare. Hapo kwenye nyekundu Ludo (Mkuu wa idara ya CDM ya kupambana kwenye mitandao ya kijamii) amewauza kimya kimya kama biashara ya utumwa vile, na mwisho kwenye kijani hata mii ningekuwa hakimu hata hayo masaa ma3 nisengefikisha ningemaliza kesi kwa Lwakatare kula miaka yake kadhaa Ukonga au Segerea, manake kila kitu kipo wazi.
 
Pasco, wewe ni layman kweli hata huna mfano: Issue nzima ni ya kisiasa na haina mashiko yoyote: kumfutia mtu mashitaka halafu ukamwachia then ukamkamata tena hapohapo ni kuwa Serikali hawajui wanalolifanya!! Sasa kati ya CDM na Serikalimkwa maana ya DPP nani hajajipanga??!! Tatizo ulayman wako ni wa makusudi!!
Mkuu Chungurumbira, kama kufuatilia kesi umeanza sasa, hayo ndio utakuwa huyajui, mimi mwenzio kesi nimeanza kuzisoma nikiwa darasa la nne, ile "kesi ya Mauaji Mwanza" nilikuwa naisoma kwenye gazeti la Mzalendo kila jumapili, nikaja kuisoma kesi ya Uhaini, huko ndiko nilipoijua "Nolle" na haya ni mamlaka ya DPP ambayo hayahojiwi na mamlaka nyingine yoyote!, si mahakama tuu, hata rais hawezi!, sasa hawa wanasheria wa Chadema leo ndio wanaihoji hiyo mamlaka?!.

Serikali ilipoifungua hiyo kesi mwanzo, iliipeleka mahakama ya Kisutu ili isikilizwe, imeifuta na kuifungua upya sasa sio tena ili isikilizwe, bali imefunguliwa pale ili tuu kukamilisha matakwa ya kisheria ya kutomshikilia mtu bila kufikishwa mahakamani, hivyo hapo Kisutu inapita tuu, watuhumiwa hawatatakiwa kujibu chochote mpaka uchunguzi itakapokamilika, na kuhamishiwa mahakama kuu ambako huko ndiko kesi itasikilizwa!.

Wanachotaka kufanya hawa wanasheria wa Chadema, ni kuishinikiza serikali, kuifufua ile kesi ya mwanzo iliyoshafutwa na DPP kwa kutumia Nolle, kiukweli this is total wastage of time!, najua wengi mtanilaumu, ila kisheria Nolle ni kitu ingine kabisa!, kesi ikishapigwa nolle, inakuwa dead, huwezi kuifufua tena!.
Pasco.
 
tunachoangalia hapa ni
uhalicia wa lwakatare kutengeza hiyo njama je ni kweli ukiangalia clip
inaonesha kweli na hakuna ulazima wa kumtetea muovu regadles kuna mazur
amefanya wote tunapenda mapinduz ila kwenye uovu hatukubali na wa
binafsi ni kinukuu uzi hapo wanakili live so nan mchaw? Hakuna haja ya
kutafuta hata kama tunawapenda ndo walinusuru taifa anapofanya crimina
lazma ashughulikiwe kama wengne

Ukweli wa mambo Chadema wana njaa sana kwa hali ilivyo Lwakatare na ludo wameiuza kwa bei ya dagaa, tunamsubiri Dr atakapoiuza kwe bei ya Supu
 
Mi naona njia rahisi kushinda hii kesi ni Lwakatare kukiri kwamba hayo maneno ameongea yeye kwasababu alikuwa anajua kinachoendelea baada ya kupigiwa simu na Msacky na Ludovick kuja na habari za Msacky.
Inavyoonekana kwenye ile clip ni wazi Ludovick ndo alimuingiza Lwakatare kwenye hiyo ishu tena kwa kumtajia na waandishi wengine wa kudeal nao, na Lwakatare akasema hao wengine hapa, akamuua kudeal na Msacky. Kwenye video Ludo anauliza nani Lwakatare anasema si huyu jamaa, si huyu hapa. Mwishoni anamwambia hajaja na taharifa kamili.
Hivyo kwangu mimi ni kusema alijua kila kitu na akaongea mambo mingi ila wao wakatoa hicho cha Msacky. Mawasaliano yanaonyesha walengwa.
Mtizamo tu
 
Kazi ipo!

Tanzania ya leo si ya mwaka 1947, movie yote sasa hadharani, kwani mwandishi wa gazeti aliyetuhumiwa kwamba ndiye aliyepangwa kuuawa na Chadema ndiye aliyenunuliwa kutengeneza movie hiyo pamoja na Ludovick. Ludovick aliandaliwa kuwa karibu zaidi na Rwekatare kwa vile wanatoka sehemu moja hivyo Rwekatare hawezi kuwa na shaka naye kuwa karibu naye. Kila kitu hadharani sasa.
 
Aaaaah! Tulichotaka kujua kwanza kama video ni fake au laa, kwenye blue Lissu kadhibitisha mwenyewe video ni original hata "German" hupati, kwa kukubali kuwa video ilirekodiwa kwa Lwakatare. Hapo kwenye nyekundu Ludo (Mkuu wa idara ya CDM ya kupambana kwenye mitandao ya kijamii) amewauza kimya kimya kama biashara ya utumwa vile, na mwisho kwenye kijani hata mii ningekuwa hakimu hata hayo masaa ma3 nisengefikisha ningemaliza kesi kwa Lwakatare kula miaka yake kadhaa Ukonga au Segerea, manake kila kitu kipo wazi.

Picha ni sahihi lakini imehaririwa maneno na ndio maana imechukua muda kuiweka hadharani kwa sababu ya kuihariri.
 
Mnachambua mambo kwa lugha nzito za kisheria..........sisi maleyman tunaomba mtujulishe kama hii video ni ya kweli au ya kuigiza......
 
Ikumbukwe katika moja ya mada yangu
wiki iliyopita nilisema Rwekatare anaweza kukumbuka tukio ambalo
alikuwepo na movie kuchuliwa. Hiyo movie ndiyo iliyotumika kuhariri
uingizwaji wa editing ya sauti.


Mhusika mkuu hapa ni Ludovick ambaye anaonekana ni wa
TISS alikuwa kazini. Baada ya tukio la kuwa pamoja siku hiyo na
Rwekatare Desemba tarehe 28, Tundu Lissu anasema Ludovick aliwasiliana
na Mwigulu Mchemba kwa simu. Siku mbili baada ya tukio hilo la Rwekatare
na Ludovick kuwa pamoja Mwigulu Mchemba alijitokeza TV kutoa tamko
kwamba anao ukanda wa movie unaoonyesha Chadema kupanga mikakati ya
mauaji. Huyu ndiye mhusika mkuu aliyejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani
ni mbwa mwitu mkali.

Movie hiyo haijawekwa hadharani licha ya kuambiwa aionyeshe tangu
Desember 28 mwakajana Mwigulu alipotoa tamko hilo, maana yake muda wote
huu alikuwa anaifanyia editing. Nikawaida ya tabia ya hawa watu kuwa
marafiki wakaribu sana ili kujifunza mengi ikiwa tabia, sauti, miondoko
na mengineyo wanayokusidia kufanya kwa mtu yule wakiwa na mtu mmoja wa
karibu sana ili kutengeneza image wanayokusudia. Pengine hulazimisha
urafiki hata uonyeshe hali ya kutomtaka anakuwa mvumilivu na kufanya
kila awezacho hata kujitolea ili mradi awe karibu nawe.


Baada ya kushikwa Rwekatare Ludovick alikimbilia Iringa
kwa kumwambia Mjengwa kwamba ana shughuli ya kufanya Iringa. Ameitwa
baada ya Rwekatare kumtaja kwamba siku hiyo walikuwa pamoja.


Unaona mtu huyu Ludovick alijipenyeza hadi kwa Mjengwa
blog eti alifanya kwa kujitolea kumbe alikuwa kazini.


Kuna uwezekano anayosema Mwampamba kuwa Ludovick alikuwa
anafanya kazi makao makuu Chadema, possible alipenyezwa huko ili awe
anachota habari za Chadema toka chunguni.


Hata hapa Jamii forums wapo tena baadhi ni moderators
utaona kukiwa na mada ambazo zinahusu sana serikali na CCM baadhi
zinaonekana kunyofolewa haraka au kuyumbishiwa jukwaa ambalo
halichangiwi na watu wengi.


Siri moja ya kuwajua hawa utaona wanalazimisha sana
urafiki hata wako tayari kujitolea kwa kila njia na hapo utafikiri ni
rafiki mzuri sana kumbe yupo kazini.

hahahaaa. huyu lisu si ndiye anajiitaga mwanasheria aliyebobea? mbona anaongelea jambo lililopo mahakamani? tumueleweje. hayo aliyoelezea si apangilie vizuri akatoe kama ushahidi huko?
 
Ikumbukwe katika moja ya mada yangu wiki iliyopita nilisema Rwekatare anaweza kukumbuka tukio ambalo alikuwepo na movie kuchuliwa. Hiyo movie ndiyo iliyotumika kuhariri uingizwaji wa editing ya sauti.

Mhusika mkuu hapa ni Ludovick ambaye anaonekana ni wa TISS alikuwa kazini. Baada ya tukio la kuwa pamoja siku hiyo na Rwekatare Desemba tarehe 28, Tundu Lissu anasema Ludovick aliwasiliana na Mwigulu Mchemba kwa simu. Siku mbili baada ya tukio hilo la Rwekatare na Ludovick kuwa pamoja Mwigulu Mchemba alijitokeza TV kutoa tamko kwamba anao ukanda wa movie unaoonyesha Chadema kupanga mikakati ya mauaji. Huyu ndiye mhusika mkuu aliyejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu mkali.

Movie hiyo haijawekwa hadharani licha ya kuambiwa aionyeshe tangu Desember 28 mwakajana Mwigulu alipotoa tamko hilo, maana yake muda wote huu alikuwa anaifanyia editing. Nikawaida ya tabia ya hawa watu kuwa marafiki wakaribu sana ili kujifunza mengi ikiwa tabia, sauti, miondoko na mengineyo wanayokusidia kufanya kwa mtu yule wakiwa na mtu mmoja wa karibu sana ili kutengeneza image wanayokusudia. Pengine hulazimisha urafiki hata uonyeshe hali ya kutomtaka anakuwa mvumilivu na kufanya kila awezacho hata kujitolea ili mradi awe karibu nawe.


Baada ya kushikwa Rwekatare Ludovick alikimbilia Iringa kwa kumwambia Mjengwa kwamba ana shughuli ya kufanya Iringa. Ameitwa baada ya Rwekatare kumtaja kwamba siku hiyo walikuwa pamoja.

Unaona mtu huyu Ludovick alijipenyeza hadi kwa Mjengwa blog eti alifanya kwa kujitolea kumbe alikuwa kazini.

Kuna uwezekano anayosema Mwampamba kuwa Ludovick alikuwa anafanya kazi makao makuu Chadema, possible alipenyezwa huko ili awe anachota habari za Chadema toka chunguni.

Hata hapa Jamii forums wapo tena baadhi ni moderators utaona kukiwa na mada ambazo zinahusu sana serikali na CCM baadhi zinaonekana kunyofolewa haraka au kuyumbishiwa jukwaa ambalo halichangiwi na watu wengi.

Siri moja ya kuwajua hawa utaona wanalazimisha sana urafiki hata wako tayari kujitolea kwa kila njia na hapo utafikiri ni rafiki mzuri sana kumbe yupo kazini.

Mkuu Hapo kwa Baadhibya Moderators nakubaliana na wewe sana sana.Tusipojirekebisha kwa hali.hii watatuharibia Forum
 
Mkuu Juve, kwanza asante kwa maoni yako, hili la mamlaka ya DPP, mimi nimeisha lizungumza sana humu jf, mfano hapa katika uzi huu wa Andrew Nyerere, Topic: Omega Ngole,Never Say Never - Jamii Forums


Mwaka 2009 katika uzi wa Mkuu BAK, DPP wetu kizuizi katika mapambano dhidi ya ufisadi - pia nilizungumzia mamlaka ya DPP,

Hivyo kwenye hili la Chadema kuhoji mamlaka ya DPP sina cha kuongeza zaidi ya haya ambayo nilikwisha kuyasema nyuma.
Pasco


Nafikiri hapa si mamlaka ya DPP tatizo ni kufuta kesi na kufungua hiyohiyo na muda huohuo. Kwa kesi ambayo amesema hana haja ya kuendelea nayo
 
Back
Top Bottom