Sakata la Lulu na Kifo cha Kanumba, what does the Law say?

mimi ni mwanasheria wa kujitegemea based in South Africa, nimefatilia mjadala wa kifo cha Kanumba hapa JF na kwenye mitandao mbalimbali, na watu wengi wameonekana kumtupia mzigo LULU kama ndio chanzo, in short amekuwa ndio scapegoat, so yeyote mwenye contanct za familia au ndugu ya kina lulu na kama wako tayari,wanaweza kuniPM! AM ready to help this little lady

Pepo Tokaaaa! Pepo la ngono!, Shetani mtoke huyu mwanasheria! Yaani ngono bwana inawatesa sana waafrika na ndiyo maana nasema kuwa kama dhambi ya ngono itawahukumu kweli watu, basi waafrika mbinguni sijui kama tutafika mia moja!

Si mmemwona huyu wakili anavyotaka kumtenda mtu aliyeko kwenye shida? hata nanyi mawakili mbinguni sahauni kabisa, dhambi zenu ni nyingi kama za viongozi wa CCM.

:A S tongue:
 
Kwa vyombo vyetu vya dola na sheria kutofuatwa sawasawa, nina wasiwasi kuwa huu pia ndio mwisho wa Lulu kwani huenda atakaa rumande kwa zaidi ya miaka hata miwili kabla kesi yake haijasikilizwa. Sheria inasema kuwa mtu hana hatia mpaka ionekane kweli ana hatia hiyo (not guilty until proven)

Ingawa mimi siyo mwana sheria, nina imani kuwa kuna mambo kadhaa ya kuangaliwa kisheria:

(1) Chanzo cha kifo: Inatakiwa kuwe na autopsy itakyoonyesha sababu halisi ya kifo. Iwapo sababu ya kifo itaonekana kuwa ni jeraha lililotokana na kuangukia kicha baada ya kusukumwa na Lulu, basi hapo ndipo Lulu atakapokuwa na kesi ya kujibu. Hata hivyo iwapo sababu ya kifo itakuwa ni kitu kingine kwa mfano cardiac arrest au stroke ambayo kwa coincidence tu ilitokea wakati anasukumwa na Lulu, basi Lulu atakuwa hana kesi yoyote ya kujibu na atabaki raia huru kama mimi na wewe.

(2) Sasa iwapo autopsy itaonyesha kuwa kifo kile kimetokana na jeraha lililosababishwa na kusukumwa na Lulu, basi kuna maswali mengine ya kujiuliza:

(a) je Lulu alifanya makusudi kumsukuma Kanumba kusudi apate majeraha yale?
(b) Je Lulu alijua kuwa Kanumba akipata majeraha yale atakufa
(c) Je Lulu alikuwa na nia ya kumuua Kanumba kwa kumsukuma vile?

Majibu ya maswali haya yatasaidia kuweka kesi ama ni ya murder, manslaughter, au ni just unintended accident. Ni Murder iwapo Lulu alip[anga na alijua kuwa kwa kumsukuma Kanumba, ataanguka, kuumia na kufa.

Ni Manslaughter iwapo alipanga na alijuwa kuwa akimsikuma ataanguka na kuumia lakini hakuwa na nia ya kumuua. Ni Just an accident iwapo alimsukuma kwa nia ni kuongeza nafsi baina yao tu na wala hakuwa na nia yoyoye ya kumwumiza kwa lolote lile.

Kama Lulu akionekana na hatia ya mauaji kwa maana ya murder, basi adhabu yake ni kunyongwa hadi afe. Iwapo ataonekana na kosa la mansalughter basi atafungwa kwa kipindi fulani na baadaye kuachiwa huyu, na iwapo itaonekana kuwa ni accedent tu, basi Lulu ataachiwa huru mara moja; anaweza kuendelea kushikiliwa na polisi kwa ajili ya usalama wake wakihofia kuwa wapenzi wa Kanumba watamdhuru.
 
All murder investigations start with the murder itself, which is usually reported by someone who comes across the victim. The person who finds the victim is asked to remain on site, and a law enforcement team arrives at the scene, along with a medical team. The first thing that occurs on any murder site is verification that the victim is actually dead. Usually paramedics arrive first, followed by the coroner, who pronounces death and turns the scene over to law enforcement. Next, an officer is put in charge of the murder investigation, and he or she sets about securing the scene to minimize contamination of evidence. An officer in charge has usually had prior experience with murder investigations.

A log of all individuals on or around the site is immediately established. Usually the medical response team will be finger and foot printed, along with any bystanders, so that markings found on the scene can be readily identified. The next step for murder investigations is to observe and photograph the scene. Nothing is moved, including the body, until the scene has been fully written up and photographed, to ensure that nothing is missed. As crews photograph the scene, they put tags on items that should be collected for evidence, such as bloodstained clothing, weapons, and other objects of interest on the site.

During all murder investigations, the people on site are very careful to avoid contaminating evidence by accident. Gloves and protective booties for shoes are worn, and suits are used to cover clothing so that fibers, hair, and other detritus from the investigators do not contaminate the scene. The scene is tightly controlled by the officers in charge, and once everything has been documented, the process of removing evidence is begun. The body is usually the first thing to be removed; the coroner's office takes it away for an autopsy. Next, evidence is collected, bagged, and sent to the crime lab for analysis.

An important part of criminal murder investigations is human interactions. After evidence is collected and reviewed, law enforcement official's interview people involved in the murder. Sometimes, a case is very clear cut: a man was witnessed shooting his wife, for example. In this instance, the husband would be interviewed, along with witnesses, so that law enforcement could be assured that no details were missed. In other cases, the identity of the culprit may not be as clear, and an investigation may drag on for a long time before more information is uncovered or the case is officially given up.

During this period, law enforcement will follow up on tips made by citizens, and individuals who know anything about a murder are encouraged to contact law enforcement in an effort to bring the criminal to justice.


MY TAKE: WERE ALL THESE ESSENTIAL STEPS FOLLOWED? JESHI LETU LA POLISI LINAHITAJI INTENSIVE TRAININIG, LA SIVYO KUNA POSSIBILITY KUBWA YA WATU WENGI AMBAO HAWANA HATIA KUTUPWA JELA! See u in Court
 
There are a lot behind the scene!! hapa 2jadili 2 2ache hivyo hivyo 2clalie upande wowote kanumba wala kabint lulu and wait for the investigations.
 
mansauta ninavyokumbuka ni clips moja ilikuwa sana ktk sim ambayo ilikuwa ikionyesha mtu akiwa anachinjwa huku kiwiliwili kikiachana na kichwa ambapo partisipant walikuwa waarabu

na shine maana yake nini?
 
Kwanza kabisa nimpongeze Mkuu MUJUMBA kwa moyo wake wa kujitolea hii inaonyesha Dalili ya uungwana....Mimi si mmoja wa Familia ya Lulu na wala sifurahishwi na Tabia zake Lulu ila limtokeopo janga Mwanadamu mwenzio hatuna budi kumsikitikia na kumsaidia kwani yote hayo ni Mapito na mafundisho.....kwa hiyo Bro, Mujumba Big up kwa sanaaaaaa.

Hebu niwakumbushe/kuwajuza kuhusu POMBE kutoka katika kitabu kiitwacho ''YAMPASAYO KILA MUISLAMU KUJUA KUHUSU TAWHID,HADITH, FIQH, NA MENGINEYO''.

Ya kuwa kati ya madhara ya pombe ni kwa wale wanaokunya kwa matatizo ya Kinafsi, nao wanakunywa wakihisi kupata pumbazo na kuepukana na udhia na ugumu wa hali inayowakabili lakini wakati wa kuondoka adhari ya pombe inarejea hali yao ya matatizo na hivyo ndivyo wanavyokuwa mateka wa pombe, kwa hivyo matatizo ya Kibinafsi hayaondoki kwa kunywa pombe, huondoka kwa kuzitia nguvu hisia za kitabia na subra na swala na utakatifu wa kiroho.

Hivyo pombe husahilisha hali ya kupanda juu kwa msukumo wa damu (pressure) hivyo madhara huwa makubwa kwa mtu mwenye msukumo mkubwa wa Damu na kiwango cha Pombe kinapozidi kinatosheleza kuzusha Mtingishiko unaozidisha katika kuleta msukumo kufika daraja ambayo mishipa ya ubongo kupasuka/kukatika hali ambayo mtu anaweza kupooza baadhi ya sehemu au apoteze uhai.MY WORD IS MY BOND.....
 
Katika shauri hili kuna mambo muhimu ambayo itabidi pande zote tatu iyaangalie kwa makini ili kumtendea haki LULU.

1) Je kulikuwa na kinywaji(pombe ya aina yoyote) katika chumba kile alichofia marehemu Kanumba?(Pengine kanumba mwenyewe alilewa-contributory negligence).
2) Je tabia ya Kanumba ilikuwaje juu ya kulewa pombe?(his previous conduct).
3) Kama Lulu ndiye aliye msikuma, Je was there any provocative statements made by Kanumba?
4) How is the expert opinion from the doctors(medical report on the same)?
5) Je Lulu ni under 18 or above?

My humble legal opinion:
Lulu ana nafasi kubwa sana ya kushinda kesi hii( she is going to be discharged) kwa sababu upande wa prosecution utakosa ushahidi. Kesi ya jinai lazima iwe proved beyond reasonable doubt so as to convict the accused. Itakuwa vigumu sana kwa upande wa prosecution ku prove beyond reasonable doubt.
Pili, kama huyo Lulu yuko under 18, basi prosecution yake lazima izingatie The Law of the Child(the interest of the child is paramount). Facts zote hizo zinatuongoza kuwa Lulu kwa namna yoyote ile kisheria hata tiwa hatiani.Hata serikali ifanye nini.Labda wamfisadi jaji, kama ilivyo ada.
 
Kesi nyingi za kuua bila kukusudia nyingi adhabu zake ni kifungo kinacho'range kati ya miaka mi'5 mpaka 7 Gerezani,kwa uzoefu wa kesi zilizowahi kutokea hapa Tanzania Mshtakiwa hutumikia Gereza katika kipindi kisichopungua miaka 8 na kuendelea ksbb ile ikishathibitika Mshtakiwa anahusika tu Gerezani akisubiri hukumu hukaa kwa kipindi kisichopungua miaka mi'3 mpaka mi'5 ndo hukumu inakuja kutolewa anafungwa rasmi sasa hiyo miaka kati ya mi'5 hadi 7 niliyoisema hapo awali.

kwahiyo jumla ya miaka ambayo tuko likely kumkosa Ka'dada wetu(ikiwa mambo yatakwenda kama ilivyozoeleka) ni kati ya miaka 8 hadi 12,anyway ksbb bado ana miaka 17/18 atatoka bado anadai kidogo labda msosi umzeeshe kule Segerea,kipindi hicho labda unaweza kukuta Ray yuko kama Mzee Chilo kwahiyo atakuwa anendelea kubembea kama kawaida
 
Alitanua kama hana kesi na pia katikati ya kesi hii amekaribishwa juzi sijui jana kwenye sherehe za mabinti waliomaliza form four.. naona kama vile kuna kaheshima fulani kanakosekana kwa wanaomwalika bila kusubiri ksi iishe na pia yeye bila kujitulizia. Ni kama hajali kilichotokea kivyovyote vile...
 
Kesi nyingi za kuua bila kukusudia nyingi adhabu zake ni kifungo kinacho'range kati ya miaka mi'5 mpaka 7 Gerezani,kwa uzoefu wa kesi zilizowahi kutokea hapa Tanzania Mshtakiwa hutumikia Gereza katika kipindi kisichopungua miaka 8 na kuendelea ksbb ile ikishathibitika Mshtakiwa anahusika tu Gerezani akisubiri....
Lulu kazaliwa 1993
 
Nashauri subirini taarifa ya dakitari kuhusu chanzo cha kifo. Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Lulu alimsukuma, inawezekana kwenye purukushani hiyo, ni Kanumba mwenyewe ali bugi step akateleza na kuanguka bila kusukumwa na yoyote!...
Leo pia ni kumbukumbu ya kifo cha Stephen Kanumba . RIP Stephen Kanumba.

P
 
Nashauri subirini taarifa ya dakitari kuhusu chanzo cha kifo. Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Lulu alimsukuma, inawezekana kwenye purukushani hiyo, ni Kanumba mwenyewe ali bugi step akateleza na kuanguka bila kusukumwa na yoyote!.

Hata kama ni kweli Lulu alimsukuma, chanzo cha kifo sio lazima kiwe kimetokana na kusukumwa!. Inawezekana Kanumba alikuwa na heart problem, pressure etc, hivyo alipokasirika pressure zikapanda, au akapata heart failure ndipo akaanguka!.

Hata kama ni kweli alijigonga, subirini madaktari wathibitishe chanzo cha kifo ndipo tuendelee kujadili!.

Najua msiba huu ni huzuni kubwa, lakini nawaombeni sana, lets not be judgemental kwa Lulu!.

Mimi ni miongoni mwa waumini wakubwa wa the doctrine of "karma", kuwa there is nothing new under the sun, hakuna coincidence wala bahati mbaya, lolote ambalo limetokea, lilikuwa litokee tuu, yaani siku ya mpendwa wetu Kanumba ndio ilikuwa imefika, saa ilipotimia Mungu akamuita, hata asingesukumwa, angefia usingizini!.

After all, there is life after life and life before life!, death ni change tuu ya life form from physical body to spiritual body!.

Rip Kanumba.

Pasco
Leo ni imetimia miaka 10, toka kifo cha nyota huyu wa Bongo Movies, Steven Kanumba, na mpaka Leo, sio tuu pengo lake halijazibika, bali hajapatikana star mwingine yoyote wa kuvaa viatu vyake vikamfiti.

RIP Steven Kanumba, tutakukumbuka milele!.
Paskali
 
Back
Top Bottom